Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

Natoa haya yote kwa lengo jema, muhusika apatikane.

Una jema gani kwa watanzania zaidi ya kutetea wehu wenzio?

Naamini hata CCM mmezidiana weredi na hekima itafika muda mtaanza kunyoosheana vidole, maana si wote ni wehu kama Nchemba na Nape.
Jiandaeni kuvuana chupi!
 
Una jema gani kwa
watanzania zaidi ya kutetea wehu wenzio?

Naamini hata CCM mmezidiana weredi na hekima itafika muda mtaanza
kunyoosheana vidole, maana si wote ni wehu kama Nchemba na Nape.
Jiandaeni kuvuana chupi!

kwa busara na uimara wa ccm, watanzania wamekuwa wamoja kwa muda mrefu. limekuja janga la taifa, chadema, watanzania sasa wanafarakana na kuitana kila aina ya majina mabaya
 
Ninaposoma comments humu mpaka unapandwa na hasira, hivi kweli tukio hili lilivyotendeka unaweza kuleta thread kama hii na ukawa na ujasiri wa kuifuatilia kwa maneno yasiyojali utu badala yake yamejaa ubinafsi na uccm. Wananchi wa Arusha wanaujua ukweli, ule umati wa watu waliohudhuria mkutano wameona tukio vizuri sana, na wameona wale wanaojiita walinda amani na usalama walichokifanya baada ya tukio. Hivi ninajiuliza tukio hili lingefanyika kwenye mkutano wa ccm sasa hivi kungekuwa na hali gani!
 
Sawa kamanda Mbowe wasikuhadae hao wauaji maana kwa sasa wanahaha kutafuta namna ya kuficha ukweli. Tushughulikie kwanza majeruhi.
 
Back
Top Bottom