Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

PERFECT,

Mkuu, hayo yote yametoka wapi tena?

Kumuomba Mbowe ashirikiane na polisi ni unafiki na uchonganishi?

Kuhusu uzushi nadhani uelekeze tuhuma hizi za Slaa, kwani yeye ndiye amekuwa akijitutumua kuwa na intelijensia mathubuti kumbe hana lolote.
Mkuu wewe ni mnafiki sana! Mungu atawaumbua tu! Mnajua fika kinacho endelea lakini mnataka kupindisha mambo. Wenzenu wengine wamekamatwa na mabastola huko sijui na hao mnatuambiaje.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kuwa ndani ya CHADEMA ni kama kuwa ndani ya gereza la fikra.

Kwahiyo sasa hivi hamtaki tena kauli wala ushahidi wala kujua anayo yajua Mbowe kuhusu tukio la mlipuko?

Hata kama tumefiwa na tunaendelea kuuguza majeruhi, haituzuii kuwatafuta wahusika wa tukio.

Wewe ubongo wako umeunganishwa na tumbo la kinyesi na maandiko yako. Nenda Lumumba ukasikilize tamko tuandikie hapa.
 
Mkuu Hamy D husiwe mwepesi wa kuleta thread bila utafiti wa kutosha. Niseme tu maelezo yako yanatia kichefu chefu. Ata kama ni kufia chama au Lumumba project sio kwa tukio kama hili.
 
Kweli kuwa ndani ya CHADEMA ni kama kuwa ndani ya gereza la fikra.

Kwahiyo sasa hivi hamtaki tena kauli wala ushahidi wala kujua anayo yajua Mbowe kuhusu tukio la mlipuko?

Hata kama tumefiwa na tunaendelea kuuguza majeruhi, haituzuii kuwatafuta wahusika wa tukio.

Mwambie Mwigulu atoe tamko. Kwani ndiye aliyesema watu wa Arusha wasipoichagua ccm watakufa.
 
kitendo walicho kifanya hao wapumbavu ni kukiongezea nguvu CHADEMA
 
Mbowe akizungumza katika hospitali ya Selian jana aliwataka wanachama wa chama hicho watulie kwa sababu tukio hilo ni kubwa na lina mambo mengi ndani yake.

Alisema wanachofanya sasa ni kuhakikisha kuwa watu waliojeruhiwa katika tukio hilo wanapata matibabu kwanza.

Mbowe aliwataka watu wote waliopotelewa na ndugu kufika katika hospitali zote za mji wa Arusha kutambua ndugu zao waliojeruhiwa.

Alisema Chadema itagharimia matibabu ya watu wote waliojeruhiwa katika tukio hilo.

Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

My take;

Mhe Mbowe, watanzania wote tungependa kujua hayo mambo mengi yaliyo ndani ya tukio la mlipuko uliotokea kwenye mkutano wako wa kufunga kampeni ni yapi hasa.

Ni vyema ukaweka hisia zako juu ya jeshi letu la polisi pembeni, na ushirikiane nao kuwapa ushahidi usio na shaka ili waweze kuwabaini wahusika wakuu wa tukio hilo la mlipuko.

Cheki na askari walio lipua mabomu ya machozi na kupiga rasi hewani kutawanya waliotawanyika watakuwa na habari nzuri zaidi kwa ajili yako.
 
katika nchi hii usalama wa taifa na jeshi la polisi hakuna kazi wanayo ifanya zaidi ya kutekeleza matakwa ya ccm kupambana na chadema.
 
Hatua zipo nyingi za kuchukua, kama kweli Mbowe ana ushahidi wa wahusika, apeleke nakala polisi na nyingine azisambaze kwenye vyombo vya habari, na kwa sasa vipo vingi mno, telesheni, redio na hata mitandao ya kijamii. Zaidi ya yote Mbowe ni mbunge, na anaweza akatumia hiyo nafasi kuliwasilisha ili suala kwenye mhimili huu wa dola.

Natoa haya yote kwa lengo jema, muhusika apatikane.

Apeleke nakala polisi?!Polisi hawa hawa ambao hata ukiwapa ushahidi hakuna kinachofanyika?!
 
Mbowe akizungumza katika hospitali ya Selian jana aliwataka wanachama wa chama hicho watulie kwa sababu tukio hilo ni kubwa na lina mambo mengi ndani yake.

Alisema wanachofanya sasa ni kuhakikisha kuwa watu waliojeruhiwa katika tukio hilo wanapata matibabu kwanza.

Mbowe aliwataka watu wote waliopotelewa na ndugu kufika katika hospitali zote za mji wa Arusha kutambua ndugu zao waliojeruhiwa.

Alisema Chadema itagharimia matibabu ya watu wote waliojeruhiwa katika tukio hilo.

Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

My take;

Mhe Mbowe, watanzania wote tungependa kujua hayo mambo mengi yaliyo ndani ya tukio la mlipuko uliotokea kwenye mkutano wako wa kufunga kampeni ni yapi hasa.

Ni vyema ukaweka hisia zako juu ya jeshi letu la polisi pembeni, na ushirikiane nao kuwapa ushahidi usio na shaka ili waweze kuwabaini wahusika wakuu wa tukio hilo la mlipuko.

Wewe ni Mpumbavu sana tangu jana umekazania kupost thread ambazo moja kwa moja zinaonyesha umefurahia sana tukio hilo, napenda nikuonye unaweza ukajiona uko salama lakini haujui utakufaje, SAITOTI alimyofoa macho na kumchoma moto AUKO akijua yeye hawezi kufa lakini alikufa kifo kibaya ambacho hata sura yake haikutambuliwa zaidi ya kutumia DNA kwa hiyo chunga sana ndugu.
 
Ni vema Mh. Mbowe ukatoa tamko kama chama kwa haraka iwezekanavyo. Kwasasa katika jamii zimezagaa habari nyingi zenye mkanganyiko na zingine zikiwahusisha CHADEMA ukiwemo wewe mwenyekiti wake. Mbona POLISI wao wamekwisha toa tamko lao, kwanini kama chama msikae maramoja na kutoa kauli.

View attachment 97831

Kwa nini Serikali ya CCM nayo haojatoa tamko?
 
mapambano dhidi ya wadhalimu wa haki Tz ni magumu lakini tusivunjike moyo Mungu yupo upande wetu hakika tutashinda vita hii dhidi ya DHULUMA, POLENI WANA-ARUSHA MLIOPOTEZA WATU WENU NA WATANZANIA KWA UJUMLA, MUNGU IBRIKI TANZANIA NA WOTE WANAOITAKIA MEMA NCHI YETU.
 
Mhe. Mbowe you are right. These beasts are out to kill you. BUT we are encouraged by the fact kwamba ukombozi umekaribia. Hawa jamaa sasa wako desperate, hawajali tena uhai wa raia wao, wanajali kuendelea kuwepo madarakani tu. Remember a senior minister who said "kwani Kibanda ni nani?". Kwa hiyo to them "mtanzania wa kawaida ni nani?" "Just kill them." The Hague is calling.
 
Mbowe akizungumza katika hospitali ya Selian jana aliwataka wanachama wa chama hicho watulie kwa sababu tukio hilo ni kubwa na lina mambo mengi ndani yake.

Alisema wanachofanya sasa ni kuhakikisha kuwa watu waliojeruhiwa katika tukio hilo wanapata matibabu kwanza.

Mbowe aliwataka watu wote waliopotelewa na ndugu kufika katika hospitali zote za mji wa Arusha kutambua ndugu zao waliojeruhiwa.

Alisema Chadema itagharimia matibabu ya watu wote waliojeruhiwa katika tukio hilo.

Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

My take;

Mhe Mbowe, watanzania wote tungependa kujua hayo mambo mengi yaliyo ndani ya tukio la mlipuko uliotokea kwenye mkutano wako wa kufunga kampeni ni yapi hasa.

Ni vyema ukaweka hisia zako juu ya jeshi letu la polisi pembeni, na ushirikiane nao kuwapa ushahidi usio na shaka ili waweze kuwabaini wahusika wakuu wa tukio hilo la mlipuko.

kwenye red! "kweli Tanzania is the greatest country in the world!" seru.rope you!
 
Polisi wanajua suala zima, walihusika katika kuratibu na hata aliyerusha hilo bomu wanamjua. Mambo mengine wanayofanya ni kutaka kuhadaa umma wa Watanzania tu na hakuna la ziada.




attachment.php


Kweli nimeamini funika kombe mwanaharamu apite. Yani masaa 24 yamepita tangu tukio kubwa kama hili litokee hamna hata mtuhumiwa aliyekamatwa..Uchunguzi mnaofanya ni kuzidi kupoteza fedha za walipa kodi tu kwani ukweli mnao wenyewe. Hongereni Policcm kwa kulinda raia na mali zake.
 
Ukijemga nyumba lazima utajua ilivyo na mambo mengi ndani yake,tafakari chukua hatua.
 
Watu wakitaka waelewe wataelewa lakini kama hawataki kuelewa hawataelewa,hiyo ni chadema tafakari chukua hatua.
 
Ni vema Mh. Mbowe ukatoa tamko kama chama kwa haraka iwezekanavyo. Kwasasa katika jamii zimezagaa habari nyingi zenye mkanganyiko na zingine zikiwahusisha CHADEMA ukiwemo wewe mwenyekiti wake. Mbona POLISI wao wamekwisha toa tamko lao, kwanini kama chama msikae maramoja na kutoa kauli.

View attachment 97831
weye ndiye kenge, mbwe atahusikaje? Wewe hujui muuaji ni mwigulu?
 
Back
Top Bottom