Spika ajea hatakua na chama! Makinda ni CCM, bunge kalifanya kuwa taasisi ya CCM
Mbowe hebu aache umburura, yani mauaji apange mwenyewe kwa faida zake za kishetani halafu anataka bunge liahirishwe???? After all waliokufa hawajafa kwa maslahi ya nchi bali kwa maslahi ya cockroaches. Acha wafu wazikane
Mbowe hebu aache umburura, yani mauaji apange mwenyewe kwa faida zake za kishetani halafu anataka bunge liahirishwe???? After all waliokufa hawajafa kwa maslahi ya nchi bali kwa maslahi ya cockroaches. Acha wafu wazikane
Kwani wewe huoni bajeti ya serikali inavyojadiliwa kwa kuweka uswahiba mbele bila mikikimikiki ya majembe ya Chadema yakiwa mjengoni!!! hiyo iliplaniwa ili bajeti ipite smooth bila kikwazo!!! hapo sasa ndio watanzania tujifunze umuhimu wa kuwa na wabunge wengi wa upinzani otherwise tutakuwa tunadanganywa kila siku na nchi yetu inaendelea kufilisiwa rasilimali zake!!!!Kama waliplan na wakatekeleza yanini wapoteze muda wao kuahirisha vikao na washaahidi wataendelea kututawala kwa garama yoyote ile.