Makinda,
get a man..
Get a life,
una mapungufu
Huyu mwanamke Makinda ameonyesha roho mbaya sana!!
Utadhani mchawi...!! Inaonekana hajaguswa kabisa na tukio lile....hii inaonyesha kweli lilipangwa na wate kina makinda walikuwa na habari juu ya nini kitatokea Arsh!
Mwanamke Kama huna mtoto huna mume si lazima uwe na chuki na Dunia, jini lina afadhali kuliko huyo kisafuru Kinda
Hivi hamuumjui huyo mama nini,ana roho mbaya kuliko sura yake.ulizeni marajirani zake kijitonyama jinsi alivyowanyanyasa kwa kufunga barabara ya mtaa
Kwani CDM mnawajua wabunge wa upinzani wa vyama vingine? Leo hata NCCR wamekuwa Wema kwenu lakini wabaya ck za Usoni. Mmegawana wenyewe madaraka mmewatupilia ya mbali wapinzan wengine.....Ni kweli hata baada ya wabunge wa Nccr kuomba bunge lisitishe au lijadili suala hilo spika alipinga!
Hata wabunge wa ccm hawakuonyesha kuguswa hata kidogo!
Bunge haliendeshwi kwa hisia wewe ni kanuni. Hv wewe mbowe wakati unatoa maagizo kuwa wabunge wote wasihudhurie vikao vya bunge na badala yake waende Arusha ulimtaarifu spika? Au uliondoka kama unaondoka kwa mkeo? Viongozi wengine bwana wanaropoka tuu bila kupima mambo. Utovu wenu wa nidhamu pelekeni huko huko barabarani.
Huyu mwanamke Makinda ameonyesha roho mbaya sana!!
Utadhani mchawi...!! Inaonekana hajaguswa kabisa na tukio lile....hii inaonyesha kweli lilipangwa na wate kina makinda walikuwa na habari juu ya nini kitatokea Arsh!
We JINGA,
kama mtovu wa nidhamu kwa nini asichukuliwe hatua?hivi! Mumeo akiondoka kwenda matembezi bila kukuaga,akigongwa na gari akafa kwako hakuna msiba eeh!?akili ndogo sana inaweza kutambua kuwa lazima kuna uhusika kwa namna moja au nyingine,huitaji maprofesa,hayo ndiyo maChChEm!!
nimefuatilia yote huu moyo usiothamini uhai wa mtu na kuona damu ya mtu kama damu ya mbuzi imetoka wapi?
Tutavuna laana kwa Mungu.
Freemani Mbowe amesema amesikitishwa na kitendo cha spika Anne Makinda kushindwa hata kumpigia simu kwa janga lililowakuta.
Ameendelea kusema amestushwa na Spika kuendelea na vikao vya bunge bila kujali kama kuna tukio baya kama yalivyokuwa matukio ya bom kanisani, kifo cha padri zanzibari na fujo mtwara vilivyosababisha bunge kuahirisha vikao vyake..
V.o.a
yaelekea huyu mama hana mtoto ndio maana hana roho ya kushtuka anapoona damu za watoto zikimwagika
hayo ni matokeo ya alliance zilizo fanywa na ccm mara tu baada ya uchaguzi mkuu, sidhani kama unakumbuka wapinzani wengine wali side upande upi,Kwani CDM mnawajua wabunge wa upinzani wa vyama vingine? Leo hata NCCR wamekuwa Wema kwenu lakini wabaya ck za Usoni. Mmegawana wenyewe madaraka mmewatupilia ya mbali wapinzan wengine.....