asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,028
tumsamehe..
makinda isn't normal!
na kweli aseeh!
tumsamehe..
makinda isn't normal!
Ni kweli hata baada ya wabunge wa Nccr kuomba bunge lisitishe au lijadili suala hilo spika alipinga!
Hata wabunge wa ccm hawakuonyesha kuguswa hata kidogo!
Wabunge walio wengi wa ccm ni wachawi.
Kwani watu wa Arusha nao ni Watanzania? Au wachadema?
waniulie watu wangu mbele ya macho yangu alafu niage.ok Shetani kutetea Shetani ni kawaida sikushangaiBunge haliendeshwi kwa hisia wewe ni kanuni. Hv wewe mbowe wakati unatoa maagizo kuwa wabunge wote wasihudhurie vikao vya bunge na badala yake waende Arusha ulimtaarifu spika? Au uliondoka kama unaondoka kwa mkeo? Viongozi wengine bwana wanaropoka tuu bila kupima mambo. Utovu wenu wa nidhamu pelekeni huko huko barabarani.
Freemani Mbowe amesema amesikitishwa na kitendo cha spika Anne Makinda kushindwa hata kumpigia simu kwa janga lililowakuta.
Ameendelea kusema amestushwa na Spika kuendelea na vikao vya bunge bila kujali kama kuna tukio baya kama yalivyokuwa matukio ya bom kanisani, kifo cha padri zanzibari na fujo mtwara vilivyosababisha bunge kuahirisha vikao vyake..
V.o.a
Tuko katika wakati mgumu, na msiba uliotokea sio wa chama chochote bali ni waa watanzania wote, Lakini tusisahau kuwa hatufungi kazi nchi nzima kwa kila tukio, maisha yanendela , na ndio kawaida ya uwanadamu. Sasa mimi sioni sababu ya kumlaumu Spika kutusitisha bunge kwa hilo.
Mbona Slaa akuvunja safari yake kama msiba ni wa chadema,