Hiyo kauli ya Mwema ni ya kisiasa,na hata hiyo namba ya simu aliyotoa kwa kumwomba yeyote mwenye taarifa,zinaweza kufanikisha kuwakamata walioratibu mauaji ya Arusha,nayo ni danganya Tito.
Kama yeye mwenyewe IGP,amethibitisha bila shaka yoyote kuwa Mwigulu Nchemba,alitamka kwenye mkutano wa kampeni huko Arusha kuwa kama wakazi wa huko,hawataki kuichagua CCM,hakika watakufa,na imetokea kweli wamekufa.
Sasa swali tunalomuuliza IGP Mwema,anafanya uchunguzi gani mwingine,wakati imethibitika,maneno hayo aliyatamka Mwigulu Lameck Nchemba?!!
Ukiona mpaka CHAGONJA anapelekwa ujue hakuna kesi. Wanatafuta tu namna ya kumnasua mwana CCM MWENZAO!... Kesi ya mwana-CCM kama NCHEMBA inabaraka za wakubwa zake atalindwa tu kama KAMUHANDA alivyoagiza MWANGOSI AULIWE!...