embu fikiria kidogo tu, mfano kauli hii angeitoa lema sijui angekuwa selo gani. Hapo ndipo tunapolichoka jeshi letu la polisi na tambo zake za polisi jamii.
Emmanuel Nchimbi ni waziri wa mambo ya ndani na ni mjumbe wa kamati kuu CCM, Mwigulu Nchemba ni naibu katibu mkuu wa CCM, sijui IGP Mwema na timu yako mnatoa wapi ujasiri wa kumchunguza Mwigulu?
wadau namba ya simu ya IGP SAID MWEMA naiweka vizuri muione ni hii: 0754 78 55 57
kwa wanaowajua wahusika wajaribu kumtumia IGP message, kisha tuone ujasiri wa polisi wa kuwashughulikia wahusika wa unyama huu.
Kauli ya msipoichagua ccm mtakufa...inaweza kuwa na maana nyingi na sidhani kama inatosha kumuunganisha mwigulu na kesi ya bomu.ila lolote lawezekana,japo pia naona kama vile cdm wana capitalise kwenye hilo tukio,isije kuwa wamejilipua wao wenyewe..SIASA NI MCHEZO MCHAFU.
nchemba baada ya maisha haya mafupi kuna maisha ya milele
Emmanuel Nchimbi ni waziri wa mambo ya ndani na ni mjumbe wa kamati kuu CCM, Mwigulu Nchemba ni naibu katibu mkuu wa CCM, sijui IGP Mwema na timu yako mnatoa wapi ujasiri wa kumchunguza Mwigulu?
Mwingulu chemba aliyeachiwa nchi na kuuvaa ugenerali ndiye haswa. Mweama huhitaji kupepesa macho. Somebody took your powers unceremoniously . Sijui kama inteligensia yenu inawapaga uwezo wa kuona mambo in the inteligent way. Ncehmba ni rebel. Take from me. Once CCM is out, the man will go into the forests.
huyu siasa zimemshinda, bora arudi kwenye kazi ya udj, wewe kama kiongozi wa chama unakuja ya hadithi kama hizi? Hizo risasi na bomu vyote visimpate yeye na lema? Labda hiyo smg alipewa kipofu.
tuko pamoja sana kamamda wetu katika wakati huu mgumu kamanda usichoke kuwatumikia wananchi wako tuko pamoja
Muuwaji ni Lameck akamatwe mara moja.
ujumbe kupitia simu yake ya mkononi namba 0754
78 55 57 na kwamba uhusika wao utafanywa kuwa
siri. IGP Mwema pia alisema watachunguza kauli ya
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
bara, Mwigulu Nchemba aliyowaambia wakazi wa
Kimandolu kuwa wasipoichagua CCM katika
uchaguzi wa madiwani wa Jiji la Arusha
ulioahirishwa jana, watakufa. Mwema alisema watachunguza kauli hiyo baada ya
kuulizwa swali la hatua zilichochukuliwa kabla na
baada ya mlipuko huo dhidi ya kauli ya Nchemba. Juzi katika mkutano wa kufunga kampeni za
udiwani kwa CHADEMA uliofanyika kwenye viwanja
vya Soweto, kitu kinachodhaniwa ni bomu kilipuka
na kuua watu watatu na wengine kujeruhiwa.
Huyu recruit wa mwezi mmoja wa JKT anatafuta makubwa.