johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Katika hili nampongeza Freeman Mbowe kwa sababu hajawahi kuwa mjamaa na amesimamia itikadi yake.
Njoo CCM sasa, utamkuta Hamis anatembea na kifimbo cha kama mwalimu Nyerere yaani fix tu.
Kangi anavaa koti la bendera ni yale yale.
Waziri anavaa tai ya bendera nyuma ya pazia ukwasi wake hauhesabiki.
Na kadhalika...... nk!
Njoo CCM sasa, utamkuta Hamis anatembea na kifimbo cha kama mwalimu Nyerere yaani fix tu.
Kangi anavaa koti la bendera ni yale yale.
Waziri anavaa tai ya bendera nyuma ya pazia ukwasi wake hauhesabiki.
Na kadhalika...... nk!