Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,775
- 90,487
Magufuli ndio funga kazi ana makampuni ya ujenzi kabisa, na ndege zote kalipa cash ili kuvuta ile commission ya middle Man.Pole pole yeye kaiga sauti ya Nyerere kwny kuongea
Joseph Butiku yeye kaiga kukunja uso kwny paji la Uso ila Bepari anaemiliki ma shule
Warioba ana kimpango chake nakihifadhi
Usanii usanii mwingi tu