tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,671
- 19,181
Bwashee umemsahau mwigulu anaevaa benderaKatika hili nampongeza Freeman Mbowe kwa sababu hajawahi kuwa mjamaa na amesimamia itikadi yake.
Njoo CCM sasa, utamkuta Hamis anatembea na kifimbo cha kama mwalimu Nyerere yaani fix tu...