Mbowe: Sikumtangaza Dr. Slaa mgombea urais 2015

Im verry dispointed na mbowe, angeweza sema aliteleza ulimi kwakuwa ni kweli aliongea.atatia aibu cku ukiwekwa mkanda wa kideo hapa na mtakosa namna ya kumtetea. Halafu jf mna mambo,watu washabadilika humu,mlikuwa mnamtetea na kusifia alichosema leo kageuka na nyie mnageuka, mejiabisha kwakweli.

Mkuu, ulikuwepo mkutanoni au na wewe uliipata hii article through media? kama una clip hiyo ya video na inasema tofauti na aliyoasema (au kama alivyo nukuliwa na Gazeti la Tanzania daima) si ungeweka tu hapa na sisi tusikie kama ni uongo au kweli? Mambo ya kusema itakuja kuwekwa clip ya video sijui nini, sometimes inakuaga kama majungu hivi, Nape aliwahi kutwambia (zaidi ya mara moja) kuwa anazo risiti za michango ya uanachama, nafikiri wote hado leo tunajua nini kinacho endelea.
 
- Nice sasa amesoma alama za nyakati na kujua kwamba alipotoka kuamua nani awe mgombea, all under Operation Chaos lakini the damage is done tayari!! too late!

Le Mutuz!

Huyu nae kafufukia wapi? Damage gani iliyofanyika wakati habari yenyewe ilipikwa na makanjanja kama wewe?
 
- Nice sasa amesoma alama za nyakati na kujua kwamba alipotoka kuamua nani awe mgombea, all under Operation Chaos lakini the damage is done tayari!! too late!

Le Mutuz!

Naona kauli ya Mwenyekiti Mbowe imewapa kupumua kidogo,maana mkisikia jina Dr.Slaa mnachanganyikiwa
mpaka wajukuu zenu. Hata Mbowe asipotangaza ukweli utabaki palepale kuwa chaguo la watanzani kwa urais
ni Dr.Peter Slaa. Kaeni mkao wa kunyolewa hii haina mjadala.
 
Sihitaji kuwa na multile IDs. Zitanisaidia nini mimi, kwani ninalipwa kwa kushirki kwenye JF? Wewe mwenye multiple ID ni mfano wa wanafiki ambao kwenye ID moja anajifanya member wa CHADEMA ID nyingine CCM. Mnatusumbua bure. This is Mr Freshthinking, non aligned, tunachangia kutoka na uhalisia wa mambo kwa manufaa ya taifa letu. Sio bendera fuata upepo kudumisha fikra za mwenyekiti.

bado sana mna kazi ya kutushawishi.
 
le mutuz kabadilisha picha..ile aliyovalia nguo ya laana ya kijani kaitoa na kuvaa ya joho siku aliyopokea cheti cha ubaharia..you can't fool us,we know your true colors
 
Kuna wakati waasisi wa vyama huingilia kati endapo watu wengi especially wasiokuwa na sifa (mfano Zitto) wanapojitokeza kugombea nafasi za juu za uongozi kwa lengo la kulinda maslahi ya chama husika. Tukumbuke mwaka 1995 Mwl. Nyerere akiwa muasisi wa chama cha magamba alilazimisha Mkapa agombee nafasi ya Urais na kumtosa dhaifu kwa sababu aliujua udhaifu wa dhaifu. Lakini Mwalimu alipofariki, magamba wakampitisha dhaifu awe raisi wao. Na dhaifu bila ajizi amewaonyesha watanzania udhaifu wake. Mzee wetu Mtei ameona mbali. Pamoja sana Mzee wetu Mtei.
 
Daima Tutakukumbuka!

A1-MWANAHALISI-GAZETI+LA+MWANAHALISI-SAED+KUBENEA-TANZANIA+NEWSPAPERS-MAGAZETI+YA+TANZANIA-HABARI+ZA+TANZANIA-TANZANIA+NEWS-PRESS.JPG
 
Sihitaji kuwa na multile IDs. Zitanisaidia nini mimi, kwani ninalipwa kwa kushirki kwenye JF? Wewe mwenye multiple ID ni mfano wa wanafiki ambao kwenye ID moja anajifanya member wa CHADEMA ID nyingine CCM. Mnatusumbua bure. This is Mr Freshthinking, non aligned, tunachangia kutoka na uhalisia wa mambo kwa manufaa ya taifa letu. Sio bendera fuata upepo kudumisha fikra za mwenyekiti.

Mkuu wangu,
Wewe si miongoni wa wale waliojiunga ile siku ya kukumbukwa - 20/12/2012? Bahati mbaya sana ni kwamba, wale waliojiunga siku hivyo, wengi wao, walikuwa na kampeni maalum. Na tangu hapo posts zao haziaminiki tena. Angalia mwenyewe, utaona trend na content ya posts za wote waliojiunga siku hiyo.

Cc Facilitator, Taswira, Ben Saanane, Juliana Shonza, Mchange, [MENTION]unyakhae[/MENTION], Mtela Mwampamba, Crashwise
 
Last edited by a moderator:
mwenyekiti wa taifa wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) amenukuliwa akikanusha kutanganza kuwa dkt. Slaa atakuwa mgombea wa urais kupitia chadema 2015. Alifafanua kuwa, alichokisema katika mkutano wa hadhara karatu mwishoni mwa wiki ni kuwa;

1. Chadema haina mgogoro bali ni mitazamo tofauti baina ya watu (hali ya kawaida panapokuwa na wengi)

2. Hana nia ya kugombea urais 2015.

3. Yeye na dkt slaa hawagombanii urais 2015. Dkt slaa amefanya mengi katika chama na hata uchaguzi wa 2010 alisaidia kupatikana kwa wabunge wengi.

4. Akiwa mwenyekiti wa chama, atasimamia upatikanaji wa wagombea bora wa urais, ubunge na udiwani.

Source: Tanzania daima 03/01/2013.

My take

1. Gazeti la mwananchi limekuwa mstari wa mbele kuandika habari za upotoshaji kuhusu chadema.
2. Gazeti la mwananchi huibua habari bila ya ku-balance mambo au kutupa mwendelezo(continuity).
3. Nia ya mwananchi si kuongeza tu readership/circulation, bali ni kupotosha kwa malengo wanayoyajua wao. Mfano habari ya mh. Arfi, habari ya lema. Habari ya mh. Lema

mtaendelea kutokwa na povu kutwa kupinga ukweli..... Cdm tayari vipande viwili mbowe,mtei tayari wameshatangaza dr.slaa ndio mgombea mtei kaenda mbali zaidi kuwa vikao vimeshapitisha...... We endelea kushindana na ukweli utaumia akili....chadema inawenyewe wenyewe ndo sisi mbowe,mtei .lema ,dr.slaa
 
hivi hilo la kumtangaza dr Slaa limekua kubwa kwa chadema,vip kuhusu kauli ya vijana wa ccm kuwa mgaombea wa urais hatoki kaskazini?
 
Wengi wenu hamkuhoji uhalali wa habari, ila mlimsupport mwenyekiti; Mbowe kwamba ana vision! Rejea ile thread, JF huwa hawafuti. Msiwe Mandumilakuwili. Jee na hii ya Mtei ya mwananchi ya leo vipi, imechakachuliwa?

Fuata hii post "Kwangu, Zitto Mbunge wa kipekee mwaka 2012" kawajibu wenzako huko
 
mtaendelea kutokwa na povu kutwa kupinga ukweli..... Cdm tayari vipande viwili mbowe,mtei tayari wameshatangaza dr.slaa ndio mgombea mtei kaenda mbali zaidi kuwa vikao vimeshapitisha...... We endelea kushindana na ukweli utaumia akili....chadema inawenyewe wenyewe ndo sisi mbowe,mtei .lema ,dr.slaa

Ulitaka atangazwe zitto?!
 
Ndio maana hizi propaganda zilipoanza kuenezwa nilimwomba Tumaini Makene atuwekee clip ya hotuba ya mh.mbowe alipokuwa akihutubia huko karatu.Kwa jinsi ninavyomfahamu mbowe nisingetegemea atoe kauli ile hasa ukizingatia CDM ndio wanajipambanua kwa wananchi kuwa wanademokrasia.
 
Fuata hii post "Kwangu, Zitto Mbunge wa kipekee mwaka 2012" kawajibu wenzako huko

Calculator, 'love your enemy'. sihami post kirahisi sana. I deal with current issues. Tuko kwenye urais kwa sasa, ubunge baadae. Sina shida na mtu yeyote, ninachosema tuwe huru kutoa mawazo yetu kwa kuangalia uhalisia wa mambo. Tusiwe mandumilakuwili. Hoja hiyo hiyo akitoa Calculator jamii inamuandama, lakini the same issue akiitoa Computer, watu wanamshambulia kwa kashfa zisizokuwa na msingi. Tujadili hoja na sio mtu. CHADEMA kama taasisi inatakiwa kuwa makini kabla ya kutoa kauli kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom