Mbowe ni mtu wa ajabu sana

Mbowe ni mtu wa ajabu sana

Si alisema akishindwa ataacha siasa ? Wewe unamdai nini sasa , na mlivyokuwa mnamtukana?
 
Sijawahi kumuona mwanasiasa aliehudumu ktk siasa miaka 40 hafla kukosa uongozi akakaa kimya Kama Mbowe.

Sio Tanzania, China au hata Japan
Alifanya chama kama mali yake. Wanachama walipochukua chama chao akaona ajitenge.
Hii kitu imemuumiza sana. Anajuta kupigania uhai wa kamanda Lissu baada ya lile shambulio la kutaka kumuua.
 
Sijawahi kumuona mwanasiasa aliehudumu ktk siasa miaka 40 hafla kukosa uongozi akakaa kimya Kama Mbowe.

Sio Tanzania, China au hata Japan
maridhiano bila TUNDU LISU? Thubutu (anaandaka Nyanyoro Kichere)
 
Moja ya wanasiasa walio tukanwa mbowe ana nafasi yake.
Upande alio uchagua ni sahihi.
 
Back
Top Bottom