Kama msaliti angalihamia ccm..lkn yupo kimyaUsaliti, Tamaa, ndio mambo yatakayo zamisha taifa hili..
Ni tofauti sana na Chikwete mstaafu aliyegoma kustaafuSijawahi kumuona mwanasiasa aliehudumu ktk siasa miaka 40 hafla kukosa uongozi akakaa kimya Kama mbowe.
Sio Tanzania, China au hata Japan.
Hakuna mwanasiasa anagoma kustaafu ghaflaNi tofauti sana na Chikwete mstaafu aliyegoma kustaafu
Kitendo cha kurudinyuma ili kukwamisha harakati ni usaliti zaidi hata kwenda huko fisiem.Kama msaliti angalihamia ccm..lkn yupo kimya
Mbowwe kanuna.. alitaka afie CDM, na angeupata urais tungejuta,asingeachia NCHISijawahi kumuona mwanasiasa aliehudumu ktk siasa miaka 40 hafla kukosa uongozi akakaa kimya Kama Mbowe.
Sio Tanzania, China au hata Japan
kwa mazingira haya kukaa kimya ni usaliti piaKama msaliti angalihamia ccm..lkn yupo kimya
Ccm kumenajisiwa vibaya sana na ccm ..mbowe ni muhuni tuKama msaliti angalihamia ccm..lkn yupo kimya
Msaliti, hata lipumba alipoisaliti Cuf hakuhamia ccm. hizo ni tools za ccm hutumika pale inapohitajika.Kama msaliti angalihamia ccm..lkn yupo kimya
Labda wewe ndio mshamba, kukaa kimya baada ya kuhudumu mrefu kitu cha ajabSijawahi kumuona mwanasiasa aliehudumu ktk siasa miaka 40 hafla kukosa uongozi akakaa kimya Kama Mbowe.
Sio Tanzania, China au hata Japan