Mbowe na wenzake wakata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu iliyowalipisha milioni 350

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,232
VIONGOZI WA CHADEMA WAMEKATA RUFAA. . .  Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na ( 389 X 640 ).jpg


Hii ndio taarifa iliyozagaa kwenye viunga vya mahakama leo , kwamba Mh Mbowe na wafungwa wengine wamewasilisha rufaa yao Mahakama Kuu kupinga hukumu ya kinyama waliyopewa na Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu , iliyowakamua shilingi za Kitanzania mil 350 .

Kazi imeanza upya .

My take : Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuchukua hatua hii ili kuweka kumbukumbu sawa kwa faida ya vizazi vijavyo
 
View attachment 1413258

Hii ndio taarifa iliyozagaa kwenye viunga vya mahakama leo , kwamba Mh Mbowe na wafungwa wengine wamewasilisha rufaa yao Mahakama Kuu kupinga hukumu ya kinyama waliyopewa na Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu , iliyowakamua shilingi za Kitanzania mil 350 .

Kazi imeanza upya .

My take : Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuchukua hatua hii ili kuweka kumbukumbu sawa kwa faida ya vizazi vijavyo
Chadema imeeshakufa hiyo
 
yani imezaga wakati unairipoti saa 6 za usiku na ndo kwanza unaianzisha wewe, sasa kma ingezagaa si tungeiona hata kwenye vyombo vingine vya habari...by the way kwa hiyo wakishinda hiyo hukumu, ule mkwanja waliolipa kwa serikali ya ....unarudishwa? na Jiwe pia atarudishiwa ile yake aliyo mchangia Msigwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana mkuu
 
Hawa jamaa hakuna tofauti na mwizi sugu aliyezoea jela hata siku akitoka gerezani na akirudi uraiani atafanya tena uharifu arudi tena jela aliko zoea.""" Hakika mzimu wa Wilbrod Slaa si wakawaida,,,,,utawatafuna mpaka kaburi lao""

Sent using Jamii Forums mobile app
Rufaa ya Mbowe inakuliza na nini ?
 
Mbowe na genge lake limeshanusa harufu ya kushindwa nafasi za ubunge na urais ivyo wanatafuta sababu ya mahakama iwahukumu tena ili waje waseme mahakama imetumwa na rais
 
View attachment 1413258

Hii ndio taarifa iliyozagaa kwenye viunga vya mahakama leo , kwamba Mh Mbowe na wafungwa wengine wamewasilisha rufaa yao Mahakama Kuu kupinga hukumu ya kinyama waliyopewa na Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu , iliyowakamua shilingi za Kitanzania mil 350 .

Kazi imeanza upya .

My take : Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuchukua hatua hii ili kuweka kumbukumbu sawa kwa faida ya vizazi vijavyo
Naunga mkono hoja
P
 
View attachment 1413258

Hii ndio taarifa iliyozagaa kwenye viunga vya mahakama leo , kwamba Mh Mbowe na wafungwa wengine wamewasilisha rufaa yao Mahakama Kuu kupinga hukumu ya kinyama waliyopewa na Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu , iliyowakamua shilingi za Kitanzania mil 350 .

Kazi imeanza upya .

My take : Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuchukua hatua hii ili kuweka kumbukumbu sawa kwa faida ya vizazi vijavyo
Pesa ikienda kwa mganga hairudi,DPP alisema anafikiria kukata rufaa dhidi ya kesi ya kina Mbowe,awakutegemea wangelipa hizo faini
 
wajipeleke tu tena wakaongezewe faini ambayo itawashinda kulipa maana hela hawana tena washakomba account zote hakuna mtu aliwachangia kiasi hicho sasa watakuwa wafungwa kweli nyie wadanganyeni tu
 
Dkt. Mashinji nae kakata rufaa? Kwa hiyo wakishinda rufaa faini waliotoa itarudi? Kama itarudi, watawarudishia waliowachangia?
 
Back
Top Bottom