Maulid Daniel
Senior Member
- Jul 4, 2012
- 140
- 70
kwa hiyo unachotaka kuona ni maslahi ya chama na sio taifa mimi napinga hoja yako eti slaa na mbowe wamesusiwa chama wabunge kazi yao imekuwa ni kushughulikia hoja binafsi, au umetumwa nini
Umesema ' habari za jioni wakuu. Nimeona nidondoke upya...' ukadondokea pua!
Mbowe kasusiwa chama????
Yawezekana ndio sababu ya mbowe kuanza kumuta sumaye aje amsaidie???
Duuuh mbowe naye kwa hasira ameamua kupeleka nguvu zake kwa kikwete yaani amenyoosha mikono juu na kusema kikwete wewe ndiye rais pekee niliyekuona tangu nianze siasa.
Dr.slaa yeye kazi yake ni kutoa matamko tu siku hizi tena akiwa amejifungia ofisini
dr.slaa yeye amevunjika moyo jabisa baada ya kubamizwa kwenye chaguzi za kata alipoambulia patupu kata zote alizopewa atembelee na kufanya mikutano
Habari za jioni wakuu,
nimeona nidondoke upya tena hapa jukwaani kueleza kwa kina hasa yale yaliyo moyoni na pia yanayokisibu chama changu pendwa CHADEMA
Kama ni mtafiti huru wa siasa za nchi yetu utaweka fikra zako juu ya mustakabali wa CHADEMA na kama ni mkweli na huru wa fikra hutakawia kujua anguko zito ambalo CHADEMA wasipobadilika litawakumba
Tukianzia bungeni wabunge wengi wa CHADEMA wameanza kujisahau na hasa kusahau kilichowapeleka bungeni na kushindwa kutetea maslahi na maendeleo ya majimbo yao,wengi sasa wamejikita katika kuendesha hoja zao binasfi na sio za chama tena hapa nawazungumzia wale machachari kama Zitto, Mnyika, Wenje, Sugu na wasemaji wengine. Kazi ya kubeba chama imebaki kwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Mbowe ambaye peke yake ndio anapigania maslahi ya chama, pia wapo wabunge wa chama ambao hawana msaada wowote katika kazi na hata hoja za chama bungeni wao wameshashindwa na wanasubiri tu mwaka ujao wa uchaguzi wakabidhi majimbo kwa CCM hawa ni kama kina Machemli, Kasulumabayi, Dr Mbasa na profesa Kahigi wakiwepo pia wengi wa viti maalum ambao hawabebi ajenda yeyote ya chama bungeni hivyo kuifanya sasa CHADEMA ionekane ya kawaida sana bungeni kwa hiyo kwa upande wa bunge ni kama wabunge wote wa CHADEMA wamemsusia Mbowe na kumfanya yeye peke yake abebe chama akisaidiwa kidogo na Mh Lissu
Katika kazi za nje za chama napo kuna mgomo baridi kwa mtazamo wangu kawa sasa kurugenzi zote za chama zimelala pono nahisi ni hangover za uchaguzi uliopita wakuregenzi wengi hasa baada ya kukabidhiwa mashangingi wapo busy kuandaa majimbo ya uchaguzi na kusahau shughuli za kujenga chama hali ambayo inamfanya katibu mkuu Dr Slaa awe peke yake katika kubeba ajenda za chama hapa wakurugenzi walio kwenye mgomo ni kama kina Kigaila, Lwakatare, Mrema na Komu, wote sasa hawafikirii chama na badala yake wanawaza hatma zao kisiasa.
Nasema hayo kwa uchungu mkubwa na ndio maana nikaleta utafiti huu hapa jamvini ili wajitekebishe na kuokoa chama chetu pendwa dhidi ya anguko linalokuja na tuache kuwasusia Mbowe na Slaa wao peke yao ndio wabebe ajenda za chama
Nitasema ukweli daima
Mkuu TUNTEMEKE nashukuru sana kwani nilikuwa simfahamu Molemo kwa tabia hizo....next time sitapata tabu.kazi ya molemo ni kutibua tibua yaani yeye hanaga hoja hata siku moja...ataishia kulialia tu kwamba mnamsema mbowe na dr.slaa
molemo uwezo wake wa kuchambua hoja na kuzijibu accordingly ni nusu kaputi.
kwa hiyo unachotaka kuona ni maslahi ya chama na sio taifa mimi napinga hoja yako eti slaa na mbowe wamesusiwa chama wabunge kazi yao imekuwa ni kushughulikia hoja binafsi, au umetumwa nini
Umesema kweli kamanda!cdm tubadilike!
Habari za jioni wakuu,
nimeona nidondoke upya tena hapa jukwaani kueleza kwa kina hasa yale yaliyo moyoni na pia yanayokisibu chama changu pendwa CHADEMA
Kama ni mtafiti huru wa siasa za nchi yetu utaweka fikra zako juu ya mustakabali wa CHADEMA na kama ni mkweli na huru wa fikra hutakawia kujua anguko zito ambalo CHADEMA wasipobadilika litawakumba
Tukianzia bungeni wabunge wengi wa CHADEMA wameanza kujisahau na hasa kusahau kilichowapeleka bungeni na kushindwa kutetea maslahi na maendeleo ya majimbo yao,wengi sasa wamejikita katika kuendesha hoja zao binasfi na sio za chama tena hapa nawazungumzia wale machachari kama Zitto, Mnyika, Wenje, Sugu na wasemaji wengine. Kazi ya kubeba chama imebaki kwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Mbowe ambaye peke yake ndio anapigania maslahi ya chama, pia wapo wabunge wa chama ambao hawana msaada wowote katika kazi na hata hoja za chama bungeni wao wameshashindwa na wanasubiri tu mwaka ujao wa uchaguzi wakabidhi majimbo kwa CCM hawa ni kama kina Machemli, Kasulumabayi, Dr Mbasa na profesa Kahigi wakiwepo pia wengi wa viti maalum ambao hawabebi ajenda yeyote ya chama bungeni hivyo kuifanya sasa CHADEMA ionekane ya kawaida sana bungeni kwa hiyo kwa upande wa bunge ni kama wabunge wote wa CHADEMA wamemsusia Mbowe na kumfanya yeye peke yake abebe chama akisaidiwa kidogo na Mh Lissu
Katika kazi za nje za chama napo kuna mgomo baridi kwa mtazamo wangu kawa sasa kurugenzi zote za chama zimelala pono nahisi ni hangover za uchaguzi uliopita wakuregenzi wengi hasa baada ya kukabidhiwa mashangingi wapo busy kuandaa majimbo ya uchaguzi na kusahau shughuli za kujenga chama hali ambayo inamfanya katibu mkuu Dr Slaa awe peke yake katika kubeba ajenda za chama hapa wakurugenzi walio kwenye mgomo ni kama kina Kigaila, Lwakatare, Mrema na Komu, wote sasa hawafikirii chama na badala yake wanawaza hatma zao kisiasa.
Nasema hayo kwa uchungu mkubwa na ndio maana nikaleta utafiti huu hapa jamvini ili wajitekebishe na kuokoa chama chetu pendwa dhidi ya anguko linalokuja na tuache kuwasusia Mbowe na Slaa wao peke yao ndio wabebe ajenda za chama
Nitasema ukweli daima
Wewe ni mwanachama wa chama gani?Mbowe kasusiwa chama????
Yawezekana ndio sababu ya mbowe kuanza kumuta sumaye aje amsaidie???
Duuuh mbowe naye kwa hasira ameamua kupeleka nguvu zake kwa kikwete yaani amenyoosha mikono juu na kusema kikwete wewe ndiye rais pekee niliyekuona tangu nianze siasa.
Dr.slaa yeye kazi yake ni kutoa matamko tu siku hizi tena akiwa amejifungia ofisini
dr.slaa yeye amevunjika moyo jabisa baada ya kubamizwa kwenye chaguzi za kata alipoambulia patupu kata zote alizopewa atembelee na kufanya mikutano
Mbowe kasusiwa chama????
Yawezekana ndio sababu ya mbowe kuanza kumuta sumaye aje amsaidie???
Duuuh mbowe naye kwa hasira ameamua kupeleka nguvu zake kwa kikwete yaani amenyoosha mikono juu na kusema kikwete wewe ndiye rais pekee niliyekuona tangu nianze siasa.
Dr.slaa yeye kazi yake ni kutoa matamko tu siku hizi tena akiwa amejifungia ofisini
dr.slaa yeye amevunjika moyo jabisa baada ya kubamizwa kwenye chaguzi za kata alipoambulia patupu kata zote alizopewa atembelee na kufanya mikutano
Nasema hayo kwa uchungu mkubwa