Mbowe na Slaa wamesusiwa chama?

kwa hiyo unachotaka kuona ni maslahi ya chama na sio taifa mimi napinga hoja yako eti slaa na mbowe wamesusiwa chama wabunge kazi yao imekuwa ni kushughulikia hoja binafsi, au umetumwa nini
 
Mimi binafsi sikubaliani na mtazamo wako japo nauheshim. mfano hujafanya utafiti kuhusu machemri ni mmoja wa wa bunge ambao kazi yao ni nzuri sana imagine mtu alimwangusha getrude mongela kazi yake ni nzuri jimboni. benson mbona is active. Nadhani ulikua huna habari lakini hongera kwaku wa alert.
 
Nawewe umegundua kazi unayo ifanya? Hapa wewe una kijenga?

Mbowe kasusiwa chama????
Yawezekana ndio sababu ya mbowe kuanza kumuta sumaye aje amsaidie???
Duuuh mbowe naye kwa hasira ameamua kupeleka nguvu zake kwa kikwete yaani amenyoosha mikono juu na kusema kikwete wewe ndiye rais pekee niliyekuona tangu nianze siasa.
Dr.slaa yeye kazi yake ni kutoa matamko tu siku hizi tena akiwa amejifungia ofisini
dr.slaa yeye amevunjika moyo jabisa baada ya kubamizwa kwenye chaguzi za kata alipoambulia patupu kata zote alizopewa atembelee na kufanya mikutano
 
Mtoa mada na kuonea huruma sijui kama unajua maana ya hoja binafsi!

Hivi unadhani ikiitwa hoja binafsi ataongelea kuhusu mafilia yake?

Hebu twambie hoja binafsi ambayo imewasilishwa na hao wabunge ambayo haigusi maslai ya wananchi!

Kwa swala la kusema viongozi wamesusiwa chama ni uongo mtupu!
 
Habari za jioni wakuu,




nimeona nidondoke upya tena hapa jukwaani kueleza kwa kina hasa yale yaliyo moyoni na pia yanayokisibu chama changu pendwa CHADEMA

Kama ni mtafiti huru wa siasa za nchi yetu utaweka fikra zako juu ya mustakabali wa CHADEMA na kama ni mkweli na huru wa fikra hutakawia kujua anguko zito ambalo CHADEMA wasipobadilika litawakumba

Tukianzia bungeni wabunge wengi wa CHADEMA wameanza kujisahau na hasa kusahau kilichowapeleka bungeni na kushindwa kutetea maslahi na maendeleo ya majimbo yao,wengi sasa wamejikita katika kuendesha hoja zao binasfi na sio za chama tena hapa nawazungumzia wale machachari kama Zitto, Mnyika, Wenje, Sugu na wasemaji wengine. Kazi ya kubeba chama imebaki kwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Mbowe ambaye peke yake ndio anapigania maslahi ya chama, pia wapo wabunge wa chama ambao hawana msaada wowote katika kazi na hata hoja za chama bungeni wao wameshashindwa na wanasubiri tu mwaka ujao wa uchaguzi wakabidhi majimbo kwa CCM hawa ni kama kina Machemli, Kasulumabayi, Dr Mbasa na profesa Kahigi wakiwepo pia wengi wa viti maalum ambao hawabebi ajenda yeyote ya chama bungeni hivyo kuifanya sasa CHADEMA ionekane ya kawaida sana bungeni kwa hiyo kwa upande wa bunge ni kama wabunge wote wa CHADEMA wamemsusia Mbowe na kumfanya yeye peke yake abebe chama akisaidiwa kidogo na Mh Lissu

Katika kazi za nje za chama napo kuna mgomo baridi kwa mtazamo wangu kawa sasa kurugenzi zote za chama zimelala pono nahisi ni hangover za uchaguzi uliopita wakuregenzi wengi hasa baada ya kukabidhiwa mashangingi wapo busy kuandaa majimbo ya uchaguzi na kusahau shughuli za kujenga chama hali ambayo inamfanya katibu mkuu Dr Slaa awe peke yake katika kubeba ajenda za chama hapa wakurugenzi walio kwenye mgomo ni kama kina Kigaila, Lwakatare, Mrema na Komu, wote sasa hawafikirii chama na badala yake wanawaza hatma zao kisiasa.

Nasema hayo kwa uchungu mkubwa na ndio maana nikaleta utafiti huu hapa jamvini ili wajitekebishe na kuokoa chama chetu pendwa dhidi ya anguko linalokuja na tuache kuwasusia Mbowe na Slaa wao peke yao ndio wabebe ajenda za chama

Nitasema ukweli daima


Haya tushakusikia na hongera kwa kusema yaliyopo moyoni mwako, turudi kule kwenye mada yetu ya kumhusu HECHE ukajibu hoja zetu tunakusubiri mkuu. fanya fasta.
 
Akili gan hizi za huyu jamaa ambazo taifa letu linapata kutoka na shallow mind ya kiasi hiki?
Hivi unadhani CHADEMA ni dhaifu kwa jinsi unavyodhani wewe? Unamjua vyema Benson kigaila na makanda wote uliowataja?
 
kazi ya molemo ni kutibua tibua yaani yeye hanaga hoja hata siku moja...ataishia kulialia tu kwamba mnamsema mbowe na dr.slaa
molemo uwezo wake wa kuchambua hoja na kuzijibu accordingly ni nusu kaputi.
Mkuu TUNTEMEKE nashukuru sana kwani nilikuwa simfahamu Molemo kwa tabia hizo....next time sitapata tabu.
 
Hata maana ya hoja binafsi hajui!

kwa hiyo unachotaka kuona ni maslahi ya chama na sio taifa mimi napinga hoja yako eti slaa na mbowe wamesusiwa chama wabunge kazi yao imekuwa ni kushughulikia hoja binafsi, au umetumwa nini
 
Tubadilike nini? Fafanua au unadandia hoja bila kutafakari?
Kuhusu alicho sema kuhusu hoja binafsi unakubaliana nacho?
Au na wewe maana ya hoja binafsi imekupiga chenga kama mtoa mada!
Umesema kweli kamanda!cdm tubadilike!
 
Kumbe na wewe ni miongoni mwa wenye akili za samaki?.
Habari za jioni wakuu,

nimeona nidondoke upya tena hapa jukwaani kueleza kwa kina hasa yale yaliyo moyoni na pia yanayokisibu chama changu pendwa CHADEMA

Kama ni mtafiti huru wa siasa za nchi yetu utaweka fikra zako juu ya mustakabali wa CHADEMA na kama ni mkweli na huru wa fikra hutakawia kujua anguko zito ambalo CHADEMA wasipobadilika litawakumba

Tukianzia bungeni wabunge wengi wa CHADEMA wameanza kujisahau na hasa kusahau kilichowapeleka bungeni na kushindwa kutetea maslahi na maendeleo ya majimbo yao,wengi sasa wamejikita katika kuendesha hoja zao binasfi na sio za chama tena hapa nawazungumzia wale machachari kama Zitto, Mnyika, Wenje, Sugu na wasemaji wengine. Kazi ya kubeba chama imebaki kwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Mbowe ambaye peke yake ndio anapigania maslahi ya chama, pia wapo wabunge wa chama ambao hawana msaada wowote katika kazi na hata hoja za chama bungeni wao wameshashindwa na wanasubiri tu mwaka ujao wa uchaguzi wakabidhi majimbo kwa CCM hawa ni kama kina Machemli, Kasulumabayi, Dr Mbasa na profesa Kahigi wakiwepo pia wengi wa viti maalum ambao hawabebi ajenda yeyote ya chama bungeni hivyo kuifanya sasa CHADEMA ionekane ya kawaida sana bungeni kwa hiyo kwa upande wa bunge ni kama wabunge wote wa CHADEMA wamemsusia Mbowe na kumfanya yeye peke yake abebe chama akisaidiwa kidogo na Mh Lissu

Katika kazi za nje za chama napo kuna mgomo baridi kwa mtazamo wangu kawa sasa kurugenzi zote za chama zimelala pono nahisi ni hangover za uchaguzi uliopita wakuregenzi wengi hasa baada ya kukabidhiwa mashangingi wapo busy kuandaa majimbo ya uchaguzi na kusahau shughuli za kujenga chama hali ambayo inamfanya katibu mkuu Dr Slaa awe peke yake katika kubeba ajenda za chama hapa wakurugenzi walio kwenye mgomo ni kama kina Kigaila, Lwakatare, Mrema na Komu, wote sasa hawafikirii chama na badala yake wanawaza hatma zao kisiasa.

Nasema hayo kwa uchungu mkubwa na ndio maana nikaleta utafiti huu hapa jamvini ili wajitekebishe na kuokoa chama chetu pendwa dhidi ya anguko linalokuja na tuache kuwasusia Mbowe na Slaa wao peke yao ndio wabebe ajenda za chama

Nitasema ukweli daima
 
Mbowe kasusiwa chama????
Yawezekana ndio sababu ya mbowe kuanza kumuta sumaye aje amsaidie???
Duuuh mbowe naye kwa hasira ameamua kupeleka nguvu zake kwa kikwete yaani amenyoosha mikono juu na kusema kikwete wewe ndiye rais pekee niliyekuona tangu nianze siasa.
Dr.slaa yeye kazi yake ni kutoa matamko tu siku hizi tena akiwa amejifungia ofisini
dr.slaa yeye amevunjika moyo jabisa baada ya kubamizwa kwenye chaguzi za kata alipoambulia patupu kata zote alizopewa atembelee na kufanya mikutano
Wewe ni mwanachama wa chama gani?
 
kama kawaida yao wanasubiri matukio ndo wa bwabwaje majukwaani na kwenya vyombo vya habari jipya hakuna na mawazo mapya ya kujenga uchumi hakuna
 
Mbowe kasusiwa chama????
Yawezekana ndio sababu ya mbowe kuanza kumuta sumaye aje amsaidie???
Duuuh mbowe naye kwa hasira ameamua kupeleka nguvu zake kwa kikwete yaani amenyoosha mikono juu na kusema kikwete wewe ndiye rais pekee niliyekuona tangu nianze siasa.
Dr.slaa yeye kazi yake ni kutoa matamko tu siku hizi tena akiwa amejifungia ofisini
dr.slaa yeye amevunjika moyo jabisa baada ya kubamizwa kwenye chaguzi za kata alipoambulia patupu kata zote alizopewa atembelee na kufanya mikutano

Are you pretending to be great thinker or full of teit a teit?
 
Hivi bungeni wabunge wanaenda kutetea maslai ya chama au wanainchi, Molemo anataka hoja za wabunge wachadema zilenge zaidi chama(chadema) He is very wrong?
 
me ni mwanachama asiye na mawaa wa chadema ambaye kwangu itikadi ni zaidi ya kusema ukweli na kutetea uhai wa chama
 
Back
Top Bottom