Mbowe na Dr. Slaa,the greatest combination!


Tatizo Mbowe na Slaa hawana nyota
 
Mbowe pamoja na dr slaa ndio viongozi wanaotakiwa hapa nchini
 
Hivi voucher ya pesa za kuwa motivate haija mature? Naona juhudi ya kuwatetea masters wenu kwa hoja imepungua sana!

I am self motivated bro kumbe nyie mnapata gawio la ruzuku sikujua hili asante. Kuna hoja na vihoja kusifia mtu kusafiri nje ilikuwa enzi za mwalimu. Slaa anatekeleza mkataba wake tu kwamba mbowee akienda nje na yeye lazima aende.
 
mbona hamueleweki kubali msikubali ccm km kw madarakani october mwaka huu au cy makamanda
 
Dr Slaa could not discuss the constitution in the parliament, he is discussing the same in US. CRAZY. He only wants to be heard by imperialist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…