Mbowe na Dr. Slaa,the greatest combination!

Mbowe na Dr. Slaa,the greatest combination!

Hivi Mbatia, Prof Lipumba kumbe hawana lolote UKAWA ni drama tu.

Nani kakuambia kwa kuwepo UKAWA basi vyama hivyo vimekufa? Hata ndoa na mkeo mnashirikiana mambo mengi kusonga mbele ila maisha yenu binafsi kila mmoja yanaendelea. Mr Ritz na Mrs Ritz bado kila mmoja ataendelea na majukumu yake yale ya kibinafsi. Ndio maana kila chama usajili wake unaendelea.
Mbona hujauliza ya SUK kule Zenji?
 
Kweli tutaon amengi sana ktk hii nchi iliyo chini ya CCM..wendawazimu kwa kwenda mbele.Waliosema kwamba Dr.Slaa na Mbowe ni Too Local sasa, wao ndio wanataka hodhi kuwa wao ndio too local.Tutacheka sana mwaka huu..tutaona vichaa waliojificha ktk ustaarabu wakivaa chupi kichwani,tunashuhudia mitikisiko itakavyovua nguo vichaa,magaidi,wezi na wachawi wote..bahati mbaya n nzuri mawingu nayo yanaanza chomoza.lazima paka,vichaa na paka kujaa ktk vituo vyao vya afya.
 
Hivi wewe jamaa ni mzima kweli? Au wewe ni robot? Sasa huyo aliyeku-program hajui Kiswahili? Maana uandishi wako ni mbovu haijawahi kutokea hapa JF.
 
Hivi wewe jamaa ni mzima kweli? Au wewe ni robot? Sasa huyo aliyeku-program hajui Kiswahili? Maana uandishi wako ni mbovu haijawahi kutokea hapa JF.
un ahofu gani?Kwanini usishukuru tuu kwa kukusaidia ili uweze nyooka..na uache jikanganya.CDm ni wazuri sana wanmwombea adui yao wanamsaidia asivunjike ili kupunguza mizigo njiani.
 
Kila kinywa kitakiri kuwa NDIE bwanaNDIE MKOMBOZI.
 
Kama Mbowe na Slaa wamekutuma kuja kuwatetea humu JF basi unawadhalilisha sana.
 
mkuu unaongelea nini? hubu weka habari vizuri ueleweke.....unaandika as if wote tupo kwenye ubongo wako?
 
Maccm na vibaraka vyake yataumbuka hapo october
 
Huyu kijana bana?,kama ndo shule sikuhizi zinatoa watu sampuli hii,kweli taifa liko mahututi
 
Hivi wewe jamaa ni mzima kweli? Au wewe ni robot? Sasa huyo aliyeku-program hajui Kiswahili? Maana uandishi wako ni mbovu haijawahi kutokea hapa JF.
Mimi nashangaa mabandiko ya huyu mkongwe mwenzangu. Amejiunga JF tangia 2006 bado tu hajajua kuwasiiana. Mwanzoni nilidhani ni under age lakini kwa kujiunga JF 2006 naondoa hiyo dhana. Kuna kingine zaidi ambacho nashindwa kukibaini. Labda kweli ni pro.
 
mkuu unaongelea nini? hubu weka habari vizuri ueleweke.....unaandika as if wote tupo kwenye ubongo wako?

Ngoja ni kukumbushe kuna kipindi Zitto aliwahi kujisifia kuwa yeye siasa zake ni za kimataifa akadiriki kuwaambia Slaa na Mbowe siasa zao ni za hapahapa tu yaani too local. Saa jana au juzibaada ya kusikia Slaa yuko marekani akitoa mihadhara yeye kageuka tena eti sasa hivi anajifanya yeye siasa zake ni za vijijini yaani eti anawaambia watu yeye atafanya mihadhara yake huko vijijini siyo marekani.

Zitto hana memory nzuri mara nyingi husema kitu baada ya muda anakuja kujicontradict yena mwenyewe. Kuna kipindi alisema hata gombea ubunge baadaye tena akataka, aliwahi kusema pia wanasiasa tusiwaamini halafu yeye anataka aaminiwe leo kuwa siyo msaliti.

Kimsingi kuna mambo mengi sana jamaa husema sijui kwa ajili ya kujipa ujiko tu kwa wakati fulani halafu baadaye anakuja kusema tena kinyume. Jamaa ni full mnafiki hana anachokisema kikatokea moyoni mwake he is just there to fool the foolish and get what he want at that time!
Full ubinafsi na uongo all the time!
 
We mangi hebu acha gongo, andika kiswahili wenzio kichagga hatukielewi
 
Back
Top Bottom