Mbowe na Dr. Slaa,the greatest combination!

na kwa jinsi walivyokuwa wakisafiria nyota ya wenzao kwa kweli sasa wataendelea kuwa too locl hivi umeona na sampuli ya watu wanaofuatana naye duh
 
nashukuru mkuu
 

Craaaaap!
 
Zamani alikua anaongea fresh tu,au labda alishadead,akamwachia urithi wa ID mtoto wake nini?
 
ata mi cjamuelewa mtoa post anamaansha nn kumbe kushinda mitandaon ni shida wengne mtaanza kuandika kichina apa eb kuwa huru cm yako iyo
 
ata mi cjamuelewa mtoa post anamaansha nn kumbe kushinda mitandaon ni shida wengne mtaanza kuandika kichina apa eb kuwa huru cm yako iyo

Kwa akili zenu ndogo za Lumumba B7 mtaelewaje mambo makubwa kama Haya?
Vichwa vyenu havina uwezo wa kutunza kumbukumbu kama mwenzenu huyo kiongozi wa Wasalit.i au YUDA Iskarioti.
 
wanitume nini sasa wakati nyie US yenu ipo vijijini?


Nimecheka Sana hii slogan yao!!!

Hivi huyo mwehu hawezi anzisha vitu vipya mpaka atembee nyuma ya akina Dr. Slaa??

Marekani yake iko vijijini kwa dhana IPI?
 
100%,aliyemcheka mwenye kengeza kumbe yeye ana chongo.Tutaona mengi.
 
Ubarikiwe sana,nakutakia afya njema na maisha marefu mkuu.
 

hakuna ubunge wa viti maalum kwa wanaume, acha sifa zisizokuwa na mashiko kauze sera kwa wananchi.
 
Nimecheka Sana hii slogan yao!!! Hivi huyo mwehu hawezi anzisha vitu vipya mpaka atembee nyuma ya akina Dr. Slaa?? Marekani yake iko vijijini kwa dhana IPI?
haha..ndio Dira yake..Mara nyingi hata watu washamba huwa kuanzia ujenzi,mavazi,wanawake ,na kila kitu huchukia ktk vile vilivyo wazengua kipindi fulani na kuwaamsha macho.Ayatoullaha hadi kufa hawezi kwenda mbele bila kuangali Mbowe na Dr.Slaa au CDM nzima inakwenda wapi na kufanya nini?
 
hakuna ubunge wa viti maalum kwa wanaume, acha sifa zisizokuwa na mashiko kauze sera kwa wananchi.

Hivi voucher ya pesa za kuwa motivate haija mature? Naona juhudi ya kuwatetea masters wenu kwa hoja imepungua sana!
 
Ok..huna kingine kabisa cha kusema?
 
na kwa jinsi walivyokuwa wakisafiria nyota ya wenzao kwa kweli sasa wataendelea kuwa too locl hivi umeona na sampuli ya watu wanaofuatana naye duh
Haha..kaamua kwenda kinyumbenyume..huyu dogo zijui mtu utastandardize kiasi gani ili aweze vuka viwango vya watu wenye akili timamu.
 
na kwa jinsi walivyokuwa wakisafiria nyota ya wenzao kwa kweli sasa wataendelea kuwa too locl hivi umeona na sampuli ya watu wanaofuatana naye duh
Haha..kaamua kwenda kinyumenyume..huyu dogo zijui mtu utastandardize kiasi gani ili aweze vuka viwango vya watu wenye akili timamu.
 
mbona mnatoka nje ya mada hivi ikitokea ccm imechukua urais mwezi wa kumi tareh 30 mwaka huu itakuwaje ila sishangai kwani kwenye kitongoji changu chadadema ilishinda wiki kabla ya uchaguzi hatima tukawacharaza tatu bila
 
mbona mnatoka nje ya mada hivi ikitokea ccm imechukua urais mwezi wa kumi tareh 30 mwaka huu itakuwaje ila sishangai kwani kwenye kitongoji changu chadadema ilishinda wiki kabla ya uchaguzi hatima tukawacharaza tatu bila

Wewe una kitongoji? Ungesema una fisi ningekuelewa, kumbe huku kwetu bado mpo watu wa aina yako? Tuna safari ndefu sana garma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…