Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
basi kuna chombo cha habari kimepotosha na kusema wameenda libya kwenye huo mkutano
hicho chombo kitakuwa ni either new habari corp au gazeti la uhuru.
basi kuna chombo cha habari kimepotosha na kusema wameenda libya kwenye huo mkutano
Hivi, kwanini asingekwenda kiongozi mmoja tu wa juu na mwingine akabaki? Au ndiyo uroho wa safari tu? Maana hapa akisafiri JK tu nongwa,, haya sasa hawa, mwenyekiti na katibu wote hao! Vipi tena hapa??? Ingeleta tija zaidi kama angekwenda Slaa na mtu kama Wenje au Mbowe na mwingine yeyote mpya kama Lissu aua Sugu ili kumjengea uzoefu wa kimataifa. Sasa magwiji yote mawili yanafuatana! Safari tamu jameni,, maana hapa tusimseme mwenzetu tu wa mlango wa pili. Ama labda kama kwa "Babu" dozi haikufua dafu wanafuata nyingine huko.
Napita tu lakini wakuu.
Wewe nani unipangie namna ya kukuelewesha? Mimi si sawa na Dr...YEYE ANAUWEZO MARADUFU YANGU...na bado humuelewi. Mimi nimekuelewesha kulingana na ubongo wako finyu...usinichonganishe na kiongozi wangu...niko huru kutoa mawazo yangu nitakavyo na ukipenda unihukumu mimi bila kumhusisha Dr..sawasawa?
Mh.Slaa, salaam:
Nakushukuru sana kwa majibu yako ya kistaarabu yaliyojaa hekima iliyotukuka. Natamani na wafuasi wako humu watakuwa wamejifunza toka kwako namna ya kutoa au kuchangia mada kwa lugha za kistaarabu zisizo na matusi na kashfa.
kikao gani kirefu kiasi hicho? wanaona aibu siyo,
NGELEJA ALALE MKUTANONI KWA GHARAMA YA KODI YETU UGHAIBUNI KWELI HAKI HII??Hivi Ngeleja hajarudi afanye conference pale eapoti au ni siri yake
vyama rafiki , mbona ccm ilialikwa kwenye vyama vya ukombozi kusini mwa africa? na TLP, NCCR mageuzi havikuhudhuria, TLP, CUF,UDP na vyama vile vingine vya ovyoovyo havikualikwa maana internationally, CUF ni chama cha wazanzibar na wapemba tu, mtu wa bara ukienda huko kama rafiki yangu mtatiro au lipumba umeumia unabaki bendera fuata upepo kwa yote anayoamua maalim seif.
UDP ni chama cha family ya cheyo tu hata siyo chama cha watu wa bariadi au wasukuma , majimbo yote huwa wanagombea yeye na wadogo zake Isack na Magembe.
TLP ni chama cha mzee mrema na group la wahuni walioua NCCR mageuzi na kukimbilia TLP, siyo chama ni kundi la wanyanganyi na wapinga demokrasia Tanzania, NCCR mageuzi ni chama kilichokuwa cha wasomi mwanzo ila baada ya mrema kukiuwa waliobaki mle ni wansiasa waliokosa mahali pa kwenda na WENYE NJAA KALI , MFANO MBATIA NA DAVID KAFULILA na ninawapromise next election ya chama NCCR mageuzi inakufa maana kafulila anataka kugombea uenyekiti wa chama kumtoa Mbatia na makao makuu kuhamishia kigoma
Chama cha DEMOCRAT tunacho kimoja 2. Na mkutano ulikuwa wa democrats.ni nzuri kuwa expose kwa mataifa mengine ili wakianza kutawala wawe tayari wamejulikana.... vipi Mrema?? Lipumba?? Cheyo?? na Dovutwa wao hawajaitwa???