Mbowe: Mwulizeni zitto niliko mtoa

Mbowe: Mwulizeni zitto niliko mtoa

Hivi mwaka 2003 ZZK alikuwa na umri wa miaka 16?
 
As if yeye kadondoka toka mbinguni!!!!
Yeye kalelewa na nani??!!!
Role models hana??!!!
Kazaliwa anajua siasa sio??!!!


Ni aina gani ya kiongozi sasa anayetaka historia ziwe sehemu ya maamuzi???!!!!Why now kutoa hiyo taarifa???!!!Uswahilini tunaita kusimanga huku!!!!

ukikosa shukrani (kama zitto) lazima usimangwe?
 
Nimeidharau sana taarifa hii. Hivi na John Mnyika naye amesoma chuo Kikuu cha Dar es salaam?
Sio kila kitu unajua mnyika nimesoma nae pale BA BUSINESS ADMINISTRATION but alivyotangaza kugombea ubunge 2005 wakamuundia zengwe! so is true it was evening programmes!
 
Mzee slaa alisha sema mjadala umefungwa lakini naona wao wenyewe wanauendeleza. Zitto ametulia kimya bila kumsema mtu vibaya,na yeye akifunguka si itakua mvurugano.hawa jamaa hekima imewapita kushoto kabisa.

Afunguke nn???Afunguke mara ngapi??C alishafunguka hadi mathuthu yakathuthuka eti bila yy hakuna 'Ma PEOPLE' wakuthukuma movement !!!?Na kwa hilo la hekma,"WATANZANIA WENGI NA HASA WA MIJINI WANAIAMINI CHADEMA",hata wasiposema kwa mdomo wanaikubali 'Mioyoni' kwa sbb wanasikia,wanaona na kuamini (sio kudhani) wana hekma.>>>"Uthi huu ni wa kuwapiga brush yale madhudhu ya kudhudhuka".
 
Kweli nchi hii iko na matunumba wengi wapi amesema kuwa MNYIKA ni wa chuo kikuu soma uelewe kila neno acha kukurupuka ndugu, hisia zinakuharibu


Mkuu maneno haya hapa chini maana yake nini labda huenda hata mimi sijamuelewa Mh. Mwenyekti!!


“Nikiwa katika harakati zangu za
kukijenga chama, nilipita Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam
…nilibahatika kuwapata
kina John Mrema, Halima Mdee, Zitto
Kabwe, John Mnyika wakiwa viongozi

ambao walipenda siasa ya mabadiliko,
nami nikaondoka nao bila ya kusita,”
alisema.
 
Swala la kujenga chama Mboe halina ubishi,pia demokrasia ipewe nafasi yake
 
Hata kama amekula hela ya chama kwa miaka hiyo yote kazi ya kuzila hela hizo inaonekana na ndiyo maana unatoa maoni yako juu ya chama ambacho wengine wamekula hela na wewe unadandia gari kwa mbele. Kazi aliyoifanya inaonekana na tatizo lako ni wivu. ulitaka uwe wewe, lakini haiwezekani. Anzisha chama chako ambacho wewe hautakula hela za chama. Thibitisha kama ulikuwa unamlipa mshahara.
 
Lizaboni unashangaa nini kuhusu mnyika? Huamini kama kasoma udsm. Acha kushabikia hoja mulize mnyika kama huamini mbowe anajua anachokizungumza.
 
Nilikutana nao 2006,walikuwa very close,something happened,something happened there after...kuna waliokuwa na wivu/nia mbaya na chadema ambao walimvuruga kijana kichwa.Alianza RA.
 
Unajua nashindwa kuelewa hizi siasa za bongo maana zitto anasema ameingia chadema akiwa na miaka 16 na mbowe nae anasema amemtoa zitto chuoni sasa sijui zitto alikuwa pale udsm akiwa na miaka 16 hii sasa imekuwa hatari kwanini wanasiasa wa nchi zetu sio wakweli.....ndio maana nachukia huu upuuzi napenda professional yangu maana ndio siasa ya kweli kuliko kutoka povu kusikokuwa na faida yeyote.....
 
tuko nyuma yako tuliyopenda siasa zako na chadema kwa ujumla wake, nakumbuka nilikusikia kwa mara ya kwanza 1995 ukiwa unagombea ubunge kule ijapokuwa haukushinda lakini watu wengi walielewa nini ulikuwa una maanisha. Una hoja za nguvu na wala hakuna wa kukuyumbisha.... ndiyo maana maccm yanataka uachie uenyekiti ili waingize mapandikizi yao...ukikiachia cham hichi mikononi mwa wanafiki na mandumilakuwili damu na hatama ya watanzania itakuwa juu yako. Najua umejenga chama na sasa kuna makamanda wengi akiwamo Dr. Wilbroad Slaa au mzee wa philosophy, Mnyika, Lema, Msigwa, Halima, christowaja, leticia, wenje, na wengine wengi ambao siyo wabunge. MWISHO NAKUOMBEA KWA MUNGU ILI MALENGO YA CHADEMA YATIMIE
 
Kama haya ndo yote aliyosema Mbowe basi alipaswa kuwa objective zaidi na kutambua jinsi yeye alivyopewa fursa na waasisi wakongwe; akakua kisiasa. Hahitaji kujisifu kwa kuwagroom vijana kwa sababu ni sehemu ya mkakati endelevu wa makuzi ya kisiasa. Hahitaji kupewa asante bali kuwa appreciated kwa juhudi zake na watangulizi wake. Anahitaji kutambua kuwa "non is better than the rest in the team" asije fanya makosa yale yale yaliyofanywa na zzk; atambue madhaifu makubwa kwa vijana km Lema, Msigwa, Kileo na nk ambao ni wepesi wa kutoa matamko ambayo si kauli ya chama.

Kwa kifupi alitakiwa kuwa balanced ktk kuzungumzia suala hili kwani kila aliyezaliwa na mwanamke ana madhaifu yake wakiwemo wasaliti na waharibifu wakubwa ambao chama kinaendelea kuwasitiri.

Viva CHADEMA!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom