Mbowe: Mwulizeni zitto niliko mtoa

Mbowe: Mwulizeni zitto niliko mtoa

Pole sana kaka Mbowe...wasaliti wote ndani ya chama wataondoka ila CDM itaendelea kubaki.
 
Miaka 23 ya kula hela za chama halafu anasema hajalipwa mshahara,hili jamaa jizi kweli

tangu lini msukule ukawa timamu? unajua miaka 10 tu iliyopita cdm ilikuwa ikipewa ruzuku kiasi gani?
 
Tanzania hakujawahi kupata kiongozi kama freeman mbowe, hana ubinafsi na anaiongoza chadema bila chuki, amewaacha wengi wajulikane na hata slogan, mavazi ni ubunifu wake

Alijulikana kipindi kile kama 'sauti ya zege' alikuwa anavaa gwanda, na gwanda likawa sehemu ya vazi la chama

Zitto na wengine wengi wanaoota pembe, wamejisahau mno na hayo majigambo hayatawasaidia, Chadema haiwezi kufa sabbu ya kutoka Zitto, Chadema ni kama bahari, samaki hawezi sema eti bila mimi bahari itakauka! Ila bila bahari samaki atakufa

Zitto bila Chadema, atapotea kwenye medani za siasa za Tanzania labda akafundishe chuo kama alivyosema
 
mbowe yeye ndiye kafikishwa hapo na zitto awambie katolewa wapi na zitto.
 
Tanzania hakujawahi kupata kiongozi kama freeman mbowe, hana ubinafsi na anaiongoza chadema bila chuki, amewaacha wengi wajulikane na hata slogan, mavazi ni ubunifu wake

Alijulikana kipindi kile kama 'sauti ya zege' alikuwa anavaa gwanda, na gwanda likawa sehemu ya vazi la chama

Zitto na wengine wengi wanaoota pembe, wamejisahau mno na hayo majigambo hayatawasaidia, Chadema haiwezi kufa sabbu ya kutoka Zitto, Chadema ni kama bahari, samaki hawezi sema eti bila mimi bahari itakauka! Ila bila bahari samaki atakufa

Zitto bila Chadema, atapotea kwenye medani za siasa za Tanzania labda akafundishe chuo kama alivyosema

Too funny. Hivi ni kwa nini mnajificha kuujua ukweli mnabaki kuwa washabiki wapande hizi mbili?
 
mbowe kazurumu na kula pesa nyingi sana za chadema mpaka kuuzia chama magari mabovu kwa bei kubwa halafu anasema amefanya kazi kwa kujitolea kweli kunawatu wezi kabisa.
 
Tanzania hakujawahi kupata kiongozi kama freeman mbowe, hana ubinafsi na anaiongoza chadema bila chuki, amewaacha wengi wajulikane na hata slogan, mavazi ni ubunifu wake

Alijulikana kipindi kile kama 'sauti ya zege' alikuwa anavaa gwanda, na gwanda likawa sehemu ya vazi la chama

Zitto na wengine wengi wanaoota pembe, wamejisahau mno na hayo majigambo hayatawasaidia, Chadema haiwezi kufa sabbu ya kutoka Zitto, Chadema ni kama bahari, samaki hawezi sema eti bila mimi bahari itakauka! Ila bila bahari samaki atakufa

Zitto bila Chadema, atapotea kwenye medani za siasa za Tanzania labda akafundishe chuo kama alivyosema

hii akili uliyotumia hapa siyo yako kunakitu kimevuruga akili yako.
 
Nimeidharau sana taarifa hii. Hivi na John Mnyika naye amesoma chuo Kikuu cha Dar es salaam?

Kweli nchi hii iko na matunumba wengi wapi amesema kuwa MNYIKA ni wa chuo kikuu soma uelewe kila neno acha kukurupuka ndugu, hisia zinakuharibu
 
Nimeidharau sana taarifa hii. Hivi na John Mnyika naye amesoma chuo Kikuu cha Dar es salaam?

Wewe kama nani hadi dharau zako ziwe na impacts kwa mbowe??? Kwani vhuo kikuu hicho kina nini.. waliosoma Stanford moja ya chuo bora duniani wametulia wewe unabwabwaja tu.
Haya nenda kwa Kapuya ukachukue ada.
 
Miaka 23 ya kula hela za chama halafu anasema hajalipwa mshahara,hili jamaa jizi kweli


Cjui nikuambie neno gani katika kati ya ninayofikiri ila ngoja ninyamaze tu kwn hawa misukule wa ccm wanaweza wakanisababishia ban.

majebere wewe nakuomba acha kutumika kama co..n.do...m
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom