Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,322
- 7,161
Ulikuwepo wewe shabiki maandazi?Mbona tumeanza tena kupangiana cha kufanya?? Mmesahau kuwa tumegawana majukumu? Wengine wanasifia ilhali sisi tunaponda?? Kama kazi zenu zimeisha semeni tuwape nyingine!
Mdude walipomkamata mara ya pili na kumweka kwenye gari walianza kumpiga kichwani na chupa na mateke alipopiga kelele “Mungu wangu” mmoja akamwambia “Mwambie aje akusaidie”
Baadaye walimng’ing’iniza na kumpiga shoti za umeme!
Wew ni hopeless kabisa