USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Mbowe karibu sana Mbeya mjini ujisikie nyumbani kabisa ila hapa Mbeya mjini swali la msingi kuhusu watu kupotea na kuuawa kipindi cha Magufuli ni moja tu !
Wapi alipo aliyekuwa msaidizi wako binafsi Ben saanane aliyepotea na hajulikani alipo na tangu apotee hujasikika kokote ukisema alipo Ben saanane.
Kuna voice note iliwahi kuletwa hapa ya Antony Komu na saidi Kubenea wakisema Ben alijifanya mkubwa kuliko wakubwa zake lakini pia Kubenea aliwahi kusema Ben saanane yupo kwenye vijiwe vya kahawa anajificha kutafuta kiki ila mpaka leo bado kimya
Haiwezekani msaidizi wako apotee wewe usiwe na lolote unalolijua zaidi ya kusema mabaya ya wengine as if wewe ni msafi sana
Karibu Mbeya mjini
USSR
Wapi alipo aliyekuwa msaidizi wako binafsi Ben saanane aliyepotea na hajulikani alipo na tangu apotee hujasikika kokote ukisema alipo Ben saanane.
Kuna voice note iliwahi kuletwa hapa ya Antony Komu na saidi Kubenea wakisema Ben alijifanya mkubwa kuliko wakubwa zake lakini pia Kubenea aliwahi kusema Ben saanane yupo kwenye vijiwe vya kahawa anajificha kutafuta kiki ila mpaka leo bado kimya
Haiwezekani msaidizi wako apotee wewe usiwe na lolote unalolijua zaidi ya kusema mabaya ya wengine as if wewe ni msafi sana
Karibu Mbeya mjini
USSR