MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Memo ya mbowe kwa nchemba imeambatishwa.
Baada ya malumbano ya mbungeni Freeman Mbowe ambaye ni Mkuuwa kambi rasmi ya upinzani bungeni aliandika memo ambayo imeambatishwa kwa Mwigulunchemba, inasomeka kama inavyoonekana hapa chini:-
Mh. MWIGULU (MB)
- Ni dola ngapi umechangia mwanangu kusoma chekechea nje ya nchi?
- Naona mkakati wako kisiasa ndani na nje ya bunge umekuwa ' more and more attack onmyself ( personal) and my family'!
- ' mindyou i don't mind being criticised, but not on ficticious accusations withmalice intentions targetting, my personal life and my family!
My take: vita ya maneno makali ndani yabunge yanatupeleka wapi kisiasa?
Je kuandikiana vi-memo na kutupiana manenomakali mbungeni kuna athari za moja kwa moja na kutupiana maneno makali kwenye majukwaa ya kisiasa nje ya mbunge?
Je hakuna athari za mauaji ya kisiasa yanayotokea katika uwanja wa siasa nchini?
Nini kifanyike kuondoa hali hii????????