Hizi ni diversions tu ili mzidi kutuibia
Hizi ni diversions tu ili mzidi kutuibia
Okay, JF senior member!! ukitaka kupost uzi mpya, nenda sehemu inayoitwa home bofya hapo then utaona vitengo tofauti tofauti kama jukwaa la siasa nk, chagua unaloona linakufaa bofya hapo, then kwa chini kabla ya maada kuna sehemu inaonyesha "post a new thread" utaweza kuturushia hii maada. kama nimekosea maelezo mnisaidie wakuu.WANAJF.kwanza niombe radhi kupost sehemu ambayo si sahihi kwani nimeshindwa kupost kama post mpya.nia yangu nikupata kutoa kero yangu na kuwaomba watu ambao wanaweza kutusaidia sisi walimu tulioajiriwa kama walimu wa lesen.kwani tulikuwa tunalipwa 80% ya mshahara wa diploma na bila makato yeyote kama sheria zinavyo sema.lakini cha ajabu serikali imeamua kutukata tunaombeni msaada wenu.najua kuna watu wengi ambao watakuwa na uelewa na hili suala hasa tunawaomc wabunge watusaidie katika kipindi hichi cha bajeti ya wizara ya elimu.pia tunapojiendeleza uzoefu wetu kazini hauzingatiwi.tunahitaji msaada wenu.
Watawala wanatafuta njia ya kuendelea kutawala kwa kuwachafua wale wenye nguvu ya umma. Cha ajabu ni kuwa impact ya haya mambo yanatokea katika level ya juu tu. HuKu uswazi kwetu watu wanaamini kila baya linalosemwa dhidi ya wapinzani ni mpango mahsusi kuwachafua.....
My take: vita ya maneno makali ndani yabunge yanatupeleka wapi kisiasa?
Je kuandikiana vi-memo na kutupiana manenomakali mbungeni kuna athari za moja kwa moja na kutupiana maneno makali kwenye majukwaa ya kisiasa nje ya mbunge?
Je hakuna athari za mauaji ya kisiasa yanayotokea katika uwanja wa siasa nchini?
Nini kifanyike kuondoa hali hii????????
Are you sure with what you have just posted buddy?Jamani msishangae kutukanwa,kukejeliwa na kushambuliwa pale utakaposema ukweli kuhusu chadema na viongozi wake, wanaofanya kazi hiyo ni vijana wa chadema wasiojitambua wako pale makao makuu ni kikosi kazi kinaongozwa na Mnyika hawa vijana wanapewa Posho kwa kazi ya kuitetea chadema na kuisemea mazuri mitandaoni wakati huo huo wanaishambulia CCM na serikali yale lendo kuui kuidhoofisha kwa wananchi ili waichukie na kuja kuipa madaraka ya utawla chadema yani wanapandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya CCM na serikali yake usifikiri wako vijana wengi hapana ni vijana wachache wanejisajili kwa IDs tofauti tofauti hiyo ndiyo chadema yenye mikakati michafu ya kushika dola ukionganisha na ule mkakati wa kushawishi,kudhamini na kuchochea migomo na fujo zote hapa nchini kwa Madaktari,Wanafunzi vyuoni na walimu! SHAME ON U CHADEMA Kwa mbinu chafu zinazoumiza watanzania!
@MAMA POROJO, Ikiwa ulikusudia kupiga porojo ninakusamehe bure, vye3nginevyo naomba ujibu 1 na 2:- Naona mkakati wako kisiasa ndani na nje ya bunge umekuwa more and more attack onmyself ( personal) and my family!
- mindyou i dont mind being criticised, but not on ficticious accusations withmalice intentions targetting, my personal life and my family!
My take: vita ya maneno makali ndani yabunge yanatupeleka wapi kisiasa?
1. Je kuandikiana vi-memo na kutupiana manenomakali mbungeni kuna athari za moja kwa moja na kutupiana maneno makali kwenye majukwaa ya kisiasa nje ya mbunge?
2. Je hakuna athari za mauaji ya kisiasa yanayotokea katika uwanja wa siasa nchini?
3. Nini kifanyike kuondoa hali hii????????
nimeamua kuandika kwa kusoma uongo na umbea wako eti wapo vijana wachache wewe sijui unaishi nchi gani wewe eti id tofauti ivi una akili kweli kaka kuwa makini watanzania si wa kudanganywaJamani msishangae kutukanwa,kukejeliwa na kushambuliwa pale utakaposema ukweli kuhusu chadema na viongozi wake, wanaofanya kazi hiyo ni vijana wa chadema wasiojitambua wako pale makao makuu ni kikosi kazi kinaongozwa na Mnyika hawa vijana wanapewa Posho kwa kazi ya kuitetea chadema na kuisemea mazuri mitandaoni wakati huo huo wanaishambulia CCM na serikali yale lendo kuui kuidhoofisha kwa wananchi ili waichukie na kuja kuipa madaraka ya utawla chadema yani wanapandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya CCM na serikali yake usifikiri wako vijana wengi hapana ni vijana wachache wanejisajili kwa IDs tofauti tofauti hiyo ndiyo chadema yenye mikakati michafu ya kushika dola ukionganisha na ule mkakati wa kushawishi,kudhamini na kuchochea migomo na fujo zote hapa nchini kwa Madaktari,Wanafunzi vyuoni na walimu! SHAME ON U CHADEMA Kwa mbinu chafu zinazoumiza watanzania!