Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

Status
Not open for further replies.
Kweli EL ni bubu na dhaifu. Amekuwa mhudhuriaju mzuri wa bunge. Wakati upinzani wanaibua ufisadi bungeni kama escrow Mhe. Huyu anayetaka nchi hakusikika kukemea wala nn. Mana yake alikuwa analinda maslah ya chama (wezi) na kushindwa kutetea maslah mapana ya taifa.
Hii mana yake hana uzalendo na ni mmoja kati ya wapigaji wa raslimali za watanzania. Kwa hili EL na yeyote awaye toka CCM hana sifa kuwa Rais wetu.
njoo tena usome comment yako mkuu.
 
Ama kweli pesa mwanaharamu....Mwenyekiti alisema Edo ni bubu na dhaifu...Edo akaingia mfukoni, alipoibuka kauli ikabadilika....Edo ni strong na muongeaji.

Gold diggers katika ubora wao.
 
Hivi haya mathread ya kale, mwaka jana ni nani anayeyaibua?

Kama ni MODS basi kuna walakini.
 
Hivi haya mathread ya kale, mwaka jana ni nani anayeyaibua?

Kama ni MODS basi kuna walakini.
Moderator hawahusiki, hta wewe ukitaka kuibua thread unaibua tu, unasaka thead kupitia google kisha unafungua na ku commet kitu kinaibuka, huyu mdau anayeitwa technically ndio amekuwa wa kwanza ku comment leo kwa hiyo ndio kaibua
 
Kweli EL ni bubu na dhaifu. Amekuwa mhudhuriaju mzuri wa bunge. Wakati upinzani wanaibua ufisadi bungeni kama escrow Mhe. Huyu anayetaka nchi hakusikika kukemea wala nn. Mana yake alikuwa analinda maslah ya chama (wezi) na kushindwa kutetea maslah mapana ya taifa.
Hii mana yake hana uzalendo na ni mmoja kati ya wapigaji wa raslimali za watanzania. Kwa hili EL na yeyote awaye toka CCM hana sifa kuwa Rais wetu.
Patriote njoo utuhubirie haya tena
 
Alimsema hivyo kabla hajajua atamuhitaji eeeeeh
Sijui leo anaweza kuyarudia hayo....mmmmm
 
Kujenga ofisi pia imewashinda kwa miaka mingi sana mnapanga
 
Lowassa akiwa Rais akasimama jukwaa akikemea rushwa watu watakauka kwa vicheko na mishangao! Itabidi rushwa ihalalishwe tu kwny taasisi za umma maana Rais mwenyewe ndio fisadi #1 ???
Kweli Mkuu.
 
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.

Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.

Source:Tanzania Daima page no.5

Ule wakati mtu unatamani ungelikua Mwanamazingaombwe!!! kuna post ungeshazipiga abra kadabra pyuuu!! zinapotea..

ha ha ha hah ahhahhaaaa... Napita tuu!!!
 
Mimi nasoma komenti Za members kwenye huu uzi nabaki nacheka tu!
Watanzania sie wengi wetu hatuko serious kabisa! Ni bendera fuata upepo unakovuma!!
 
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.

Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.

Source:Tanzania Daima page no.5
Huu unafiki sijui utaisha lini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom