Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,882
35,901
"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."

Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:

1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.

2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa kinayo nafasi ya kufanya maboresho.

3. Kwamba ndani ya changamoto zilizopo, hatimaye tutafika.

4. Haipo siri kuwa katika siku za karibuni hali inataka kuelekea kubaya badala ya kuliko tarajiwa (changamoto safarini).

5. Kauli za kushangaza (kibri, matusi, kejeli, nk) kutokea kwa baadhi ya wenye kujinasibu kuwa wanachama, zimekuwa zikisikika.

6. Imekuwa ni kama zogo la magenge ya wahuni.

7. Hali hii haiwezi kuwavutia wenye akili zao kwa binafsi zao au hata kwa makundi yao.

9. Ukombozi unahitaji uungwaji mkono kutokea makundi mbalimbali hasa asasi za dini, kiraia, nchi, vyama washirika, nk.

10. Uhuni au wahuni hawawezi kuwa sehemu, kwenye uvutiaji wa uungwaji mkono huo.

11. Hali hii haipaswi kuachwa kuendelea au hata kuvumiliwa.

12. Ni muhimu zikachukuliwa hatua sahihi zenye kuonekana ili kuweka nidhamu kamili chamani.

13. Wahuni hawawezi kuachwa kujinasibu kwa niaba ya chama kwenye lolote lisilokuwa na ridhaa ya chama.

14. "Lissu, Mbowe chukueni jukumu hili sasa."

CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.

Mhuni ni mhuni tu!
 
Wahuni wote wenye matusi wapo upande wa Mbowe yaani ukimgusa mbowe utatukanwa mpaka basi. Lissu nina aminj hata uchaguzi ujao ana kazi kubwa kushinda maana yeye hana siasa Za kinafki kama za viongozi wengine.

Wahuni hawana vitambulisho wala utambulisho. Kulikoni kutaka kuwafungamanisha na awaye yote ambaye hajasema au kukwambia wahuni unaowasema ni wake?

Nikukumbushe pia, mada haihusu uchaguzi. Zaidi sana nikuitishe kujikita kwenye mada Mkuu.

Vinginevyo maCCM makaanga mbuyu huwa hayachelewi ku kujikaribisha "uninvited" na upotoshaji wao uliopitiliza.

Waungwana imhotep, Elli, Zawadini, denoo JG, Pascal Mayalla, WALOLA VUNZYA, Rabbon, Pakawa, johnthebaptist na wenye nchi wenzangu angalau kupeana mashamba darasa wandugu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kuna mjinga wao mmoja yupo kule twitter kazi yake ni kuwatukana watu mbalimbali wakiwemo viongozi wastaafu kama chadema wangekuwa watu makini Yule kijana mjinga angeshafukuzwa kitambo.
Huyu mjinga anakatisha Tamaa Sana na siasa zake za matusi
CHADEMA chukueni hatua dhidi ya kijana wenu Martin Masese huyu jamaa anawaharibia Sana na amevunja umoja wenu na wanachama wenu

Chama makini hakiwezi kuwa na wajinga kama huyo na msitegemee vijana kuwaunga mkono Kwa wapumbavu kama Martin
 
Kuna mjinga wao mmoja yupo kule twitter kazi yake ni kuwatukana watu mbalimbali wakiwemo viongozi wastaafu kama chadema wangekuwa watu makini Yule kijana mjinga angeshafukuzwa kitambo.
Huyu mjinga anakatisha Tamaa Sana na siasa zake za matusi
CHADEMA chukueni hatua dhidi ya kijana wenu Martin Masese huyu jamaa anawaharibia Sana na amevunja umoja wenu na wanachama wenu

Chama makini hakiwezi kuwa na wajinga kama huyo na msitegemee vijana kuwaunga mkono Kwa wapumbavu kama Martin
Wao wenyewe ndio walimvimbisha kichwa
 
"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."

Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:

1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.

2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa kinayo nafasi ya kufanya maboresho.

3. Kwamba ndani ya changamoto zilizopo, hatimaye tutafika.

4. Haipo siri kuwa katika siku za karibuni hali inataka kuelekea kubaya badala ya kuliko tarajiwa (changamoto safarini).

5. Kauli za kushangaza (kibri, matusi, kejeli, nk) kutokea kwa baadhi ya wenye kujinasibu kuwa wanachama, zimekuwa zikisikika.

6. Imekuwa ni kama zogo la magenge ya wahuni.

7. Hali hii haiwezi kuwavutia wenye akili zao kwa binafsi zao au hata kwa makundi yao.

9. Ukombozi unahitaji uungwaji mkono kutokea makundi mbalimbali hasa asasi za dini, kiraia, nchi, vyama washirika, nk.

10. Uhuni au wahuni hawawezi kuwa sehemu, kwenye uvutiaji wa uungwaji mkono huo.

11. Hali hii haipaswi kuachwa kuendelea au hata kuvumiliwa.

12. Ni muhimu zikachukuliwa hatua sahihi zenye kuonekana ili kuweka nidhamu kamili chamani.

13. Wahuni hawawezi kuachwa kujinasibu kwa niaba ya chama kwenye lolote lisilokuwa na ridhaa ya chama.

14. "Lissu, Mbowe chukueni jukumu hili sasa."

CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.

Mhuni ni mhuni tu!
CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.
CCM ndio wanafanya fitina zote hizi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahuni hawana vitambulisho wala utambulisho. Kulikoni kutaka kuwafungamanisha na awaye yote ambaye hajasema au kukwambia wahuni unaowasema ni wake?

Nikukumbushe pia, mada haihusu uchaguzi. Zaidi sana nikuitishe kujikita kwenye mada Mkuu.

Vinginevyo maCCM makaanga mbuyu huwa hayachelewi ku kujikaribisha "uninvited" na upotoshaji wao uliopitiliza.

Waungwana imhotep, Elli, Zawadini, denoo JG, Pascal Mayalla, WALOLA VUNZYA, Rabbon, Pakawa, johnthebaptist na wenye nchi wenzangu angalau kupeana mashamba darasa wandugu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Tutajitahidi kuwaelimisha mpaka wataelewa na kubadilika maana kwao wanaona maisha bila ccm maisha hayawezi songa,dhana hiyo tunastahili kwa pamoja kutoa darasa ili kupunguza idadi ya wahuni.
 
Wahuni hawana vitambulisho wala utambulisho. Kulikoni kutaka kuwafungamanisha na awaye yote ambaye hajasema au kukwambia wahuni unaowasema ni wake?

Nikukumbushe pia, mada haihusu uchaguzi. Zaidi sana nikuitishe kujikita kwenye mada Mkuu.

Vinginevyo maCCM makaanga mbuyu huwa hayachelewi ku kujikaribisha "uninvited" na upotoshaji wao uliopitiliza.

Waungwana imhotep, Elli, Zawadini, denoo JG, Pascal Mayalla, WALOLA VUNZYA, Rabbon, Pakawa, johnthebaptist na wenye nchi wenzangu angalau kupeana mashamba darasa wandugu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ni vizuri chama kuchukua hatua kudhibiti nidhamu ndani ya chama.

ANGALIZO: Hatua hizo zifuate HAKI ya mwanachama kuitwa na kuhojiwa, kamwe hatua hizo zisiwe chanzo Cha kuminya DEMOKRASIA na uhuru wa Kutoa maoni.

Tutafika tu.
 
Yule martin masese anawaharibia sana CDM sijui kama wanalijua hili? Mwanasiasa mwenye kujielewa huwezi kuendekeza siasa za majitaka kama zile. Mwisho wa siku ataishia kupewa likes za twitter lakini kama kuna mahali anahisi yale matusi yatampeleka basi ajitafakari vizuri.
 
"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."

Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:

1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.

2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa kinayo nafasi ya kufanya maboresho.

3. Kwamba ndani ya changamoto zilizopo, hatimaye tutafika.

4. Haipo siri kuwa katika siku za karibuni hali inataka kuelekea kubaya badala ya kuliko tarajiwa (changamoto safarini).

5. Kauli za kushangaza (kibri, matusi, kejeli, nk) kutokea kwa baadhi ya wenye kujinasibu kuwa wanachama, zimekuwa zikisikika.

6. Imekuwa ni kama zogo la magenge ya wahuni.

7. Hali hii haiwezi kuwavutia wenye akili zao kwa binafsi zao au hata kwa makundi yao.

9. Ukombozi unahitaji uungwaji mkono kutokea makundi mbalimbali hasa asasi za dini, kiraia, nchi, vyama washirika, nk.

10. Uhuni au wahuni hawawezi kuwa sehemu, kwenye uvutiaji wa uungwaji mkono huo.

11. Hali hii haipaswi kuachwa kuendelea au hata kuvumiliwa.

12. Ni muhimu zikachukuliwa hatua sahihi zenye kuonekana ili kuweka nidhamu kamili chamani.

13. Wahuni hawawezi kuachwa kujinasibu kwa niaba ya chama kwenye lolote lisilokuwa na ridhaa ya chama.

14. "Lissu, Mbowe chukueni jukumu hili sasa."

CHADEMA inaweza kufanya vizuri zaidi na mno, kuliko kumwendekeza mhuni yeyote.

Mhuni ni mhuni tu!
ni chaguo la muda mrefu la wapenda matusi na watukanaji hodari.......

na hii ni sifa namba moja na utambulisho muhimu wa chadema....
 
Back
Top Bottom