Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

Mkuu wewe sio level yangu, tunatofautiana kwa mbali sana. Wewe unaishi kwa hisani but me najisimamia kwa kila kitu. Penye ukweli tuweke ukweli tuu haijarishi ni nani anachafuliwa ama anasafishwa. Wewe endelea kushabikia uchama tuu huku wenzio wanakula hela za kodi yako huku wamekupofusha na uchama.

Kama hutaki kukishighulisha kichwa chako kwa suala jepesi kama hilo basi wewe hutufai humu jamvini.
Kweli mkuu mie siyo level yako mkuu pesa nazotumia kutunza mbwa wangu 3 chakula na maradhi unakula wewe na familia yako miaka miwli.
 
Kweli sometimes ukitaka kujua watu wamelalia wapi, we lete mana unayohusu mtu binafisi.
Kama mbowe ni jipu bas na walitumbue but time will tell.
 
Ukisikia toilet papers ndio kama hili linalojiita jamvi la habari. Mimi nikadhani amehamisha fedha za umma pale BoT kupeleka kusikojulika kumbe amehamisha kutoka katika akaunti yake kupeleka kwenye akaunti yake nyingine! Hakuna sheria inayozuia mtu kufanya hivyo. By the way Tume ya Warioba walikuja na wazo hilo kwenye Katiba Mpya magamba wakalipiga chini.


Mihemko ya kisiasa isitufanye tukawa mazwazwa... Una uhakika gani kama hizo sio fedha za umma?

Kama shule hatukwenda tuwe tuna Google basi tusome money laundering kwa undani sio tunatumia internet kuangalia porno tu
 
Ukisikia toilet papers ndio kama hili linalojiita jamvi la habari. Mimi nikadhani amehamisha fedha za umma pale BoT kupeleka kusikojulika kumbe amehamisha kutoka katika akaunti yake kupeleka kwenye akaunti yake nyingine! Hakuna sheria inayozuia mtu kufanya hivyo. By the way Tume ya Warioba walikuja na wazo hilo kwenye Katiba Mpya magamba wakalipiga chini.
Alafu pesa zimetolewa bank ya falme za kiarabu kwenda nchi zingine.tatizo la ubongo tz ni kubwa kuliko tunavyojua.
 
hapa naunga mkono hoja ya mkapa
kwamba watanzania ni wavivu wa kufikiri.
huyu mtu ni mfanyabiashara
sasa kafisadi nini hapo wakati anahamisha ela zake na pia ni 2billion.
lakini kuna watu wameamisha matilion na ni watumishi wa uma lakini watz wamekaa kimya
ama kweli tz ni nchi ya kipuuz kweli
Hii inchi matahaira wengi sana ndugu.na viongozi wengi wameamua kuongozwa na chuki ktk utendaji kuliko haki.
 
Habari kama hizi utazikuta kwenye front page za magazeti ya Tz tu...

Na kwakuwa wanajua wengi wao huwa wanasoma tu vichwa vya habari na kuondoka bila kununua gazeti, watakuwa wamefanikiwa kiasi fulani kuwakamata wajinga...
 
mcubic kama nyinyi ni wakweli mbona hamsemi amkamete Chenge mwenye kashifa ya Radar!!
Kashifa iko wazi, fedha zilipowekwa panaeleweka, rushwa ilithibitika hadi Uingereza ikarudisha baadhi ya fedha za rushwa!!
Watu kibao wameiba fedha zetu, wamepokea rushwa wameficha mabillion ulaya hadi Uswiss wanashangaa!!
Mbowe ni mfanya biashara, hajaiba fedha za umma, nchi imeruhusu biashara, shida iko wapi!!
Kamata wezi wenye offshore ACCT kibao, walioliibia taifa letu wacha majungu!!
Mtumishi.shetani atoi shetani.
 
Last edited by a moderator:
Pesa za tembo toka waanze kuuwawa na za madawa ya kulevya wakamatwe kwanza kwani wanakesha nao!!Ndio mwenyekiti wa chadema...
Watanzania huwa nawashangaa sana kama wanaakili timamu.
Eti pesa za mboye ongelea pesa za madini yetu tunayoachiwa mashimo trillions of money unaongelea pesa za watu za urithi.
Baba yako amekukabidhi nini na umeendeleza ukafikia wapi...acha porojo...angalia Akina Mohamed Interprises za pesa za urithi.Elimu ni shida kwa Tanzania.Kazi kukremisha na kununua vyeti tu ndio uwezo wao!
 
Inaonekana umeielewa hiyo habari. Huyo Bw. Junaid anafanya kazi benki gani hapa nchini? Kwa mujibu wa taarifa hii, Mbowe ana biahara/kampuni/makampuni huko Dubai. Je, ni kosa kwa Mtanzania kuwekeza nje ya nchi? Pesa zilihamishwa kutoka hapa nchini au kutoka Dubai kwenda Hong Kong? Kwa nini mwandishi haelezi bayana ni sheria gani iliyovunjwa na Mbowe atakamatwa na kushtakiwa kwa kutumia sheria ipi? Je, BoT waliridhia uhamishaji huo wa fedha? Kama hawakuridhia, iliwezekanaje kuhamisha fedha hizo?
Hii level uliyomjibu riz unamuonea unambebesha tan 30 uwezo wake tan 1 tu.
 
Pesa za tembo toka waanze kuuwawa na za madawa ya kulevya wakamatwe kwanza kwani wanakesha nao!!Ndio mwenyekiti wa chadema...
Watanzania huwa nawashangaa sana kama wanaakili timamu.
Eti pesa za mboye ongelea pesa za madini yetu tunayoachiwa mashimo trillions of money unaongelea pesa za watu za urithi.
Baba yako amekukabidhi nini na umeendeleza ukafikia wapi...acha porojo...angalia Akina Mohamed Interprises za pesa za urithi.Elimu ni shida kwa Tanzania.Kazi kukremisha na kununua vyeti tu ndio uwezo wao!
Na ndipo tunapokwamia hapo kama taifa.
 
Interest yangu ilikuwa kufahamu serikali imepoteza nini kutokana na muamala huu, tuambiwe kwa makadirio ya fedha zilizotoroshwa kiasi gani cha kodi tumepoteza, tuambiwe kama ikithibitika adhabu inayoweza kumkabili ni ipi na mwisho tuambiwe maoni ya wanasheria juu ya hili
 
hapa naunga mkono hoja ya mkapa
kwamba watanzania ni wavivu wa kufikiri.
huyu mtu ni mfanyabiashara
sasa kafisadi nini hapo wakati anahamisha ela zake na pia ni 2billion.
lakini kuna watu wameamisha matilion na ni watumishi wa uma lakini watz wamekaa kimya
ama kweli tz ni nchi ya kipuuz kweli
Mm nafikiri ww ndo mpuuzi
 
walioruhusu twiga watolewe mbugani na kusafirishwa nje ya nchi kwanza.wanaofanya dili za meno ya tembo kwanza!
 
Back
Top Bottom