Mbowe kuhusu baraza la mawaziri

Samahani mkuu hebu nijuze, kweli kuna mtu (sorry, zezeta au mbumbumbu) ambaye amesema hili baraza ni size ya kutosha au hili baraza ni dogo

Kwenye tv maprofesa wamelipongeza, hawakulalamika kuwa ni kubwa. Baadhi ya magazeti leo watu wamejojiwa kupongeza, pamoja na wengini waliolalamikia ukubwa. Kwenye radio tangu jana wengi wanasifu wachache wanalalamikia ukubwa. Nimeona CSO statements zimekuwa released leo zinapongeza, labda zitatoka magazetini kesho.
 
Hakuna jipya ni magufuli kurudishwa ujenzi na mwakyembe ndo kafanya watu walione jipya
 
Kwenye tv maprofesa wamelipongeza, hawakulalamika kuwa ni kubwa. Baadhi ya magazeti leo watu wamejojiwa kupongeza, pamoja na wengini waliolalamikia ukubwa. Kwenye radio tangu jana wengi wanasifu wachache wanalalamikia ukubwa. Nimeona CSO statements zimekuwa released leo zinapongeza, labda zitatoka magazetini kesho.
Wewe kupongezwa unakuchukuliaje kwa sura zao au, mtu anaweza kumpongeza mkeo kwa sura lakini tabia yake ikawa mbovu and vice versa.
 
Ze Comedy wamesema JK asingeweza kupunguza ukubwa wa baraza wakati aliahidi kukuza ajira na maisha bora kwa kila mtu. Ameanza rasmi kutekeleza sera zake hizo.
 
Ze Comedy wamesema JK asingeweza kupunguza ukubwa wa baraza wakati aliahidi kukuza ajira na maisha bora kwa kila mtu. Ameanza rasmi kutekeleza sera zake hizo.

Hao Ze Comedy are supposed kuwa Funny. Funny enough am not laughing. Kukuza ajira kwa watu wachache kwa kutumia kodi ya wengi wakati wengi wanakufa njaa is not maendeleo. Infact is daylight robbery
 
Wether ni kubwa au dogo si hoja maana hiyo ni serikali ya ccm. Tunachotarajia ni mawaziri vivuri kushine. Ningependa kuona baada ya bunge ili kuvunjwa tunamjua waziri kivuri ktk wizara ya ujenzi, wizara ya ardhi, wizara ya Africa mashariki yaani tunakaba ng'adu kwa ng'adu. Miaka mitano wafanye kazi ili wafanyiwe kazi. Mbowe ajiandae kwa hilo. Hatutaki mambo mepesi.
 
Its just a matter of names and titles, kama haukuwa na mawaziri wengi, utakuwa na idara nyingi.

Kuwa na Wizara nyingi ni motivational factor kwa walioteuliwa. Its all psychological and philosophical it increases productivity rather than ku-dimish.

Its a good move from JMK.
 
Je mbowe kataja structure na muundo wa serikali kama CHADEMA kama ingekuwa chama tawala?

Ningependa kusikia Idadi na Majina ya Wizara chini ya CHADEMA tunayoidream.

Isije ikawa CHADEMA hawajifunza kutokana na makosa ya CCM. 40 years in leadership yet no stable structure ya CABINET.
 
achangia nini na huku haitambui serekali ? au ndio anatambua kimtindo ?

Nadhani wengi hamja elewa cdm wanamaana gani, unaolaumiwa ni mchakato wa urais siyo k'wete labda km me sikuwaelewa!
Nawakubali Mgufuri na mwakyembe. Tibaijuka hajawahi kufanya kazi ya siasa tumpe muda ndo tumjudge!
 
Mbona wananchi walio wengi wanalipongeza? Tuna safari ndefu kweli kweli

Watanzania wengi wamefanya wajinga kiasi kwamba hata walipoibiwa kura walibaki wanashangilia na kuwapongeza wezi wenwewe!
Tuna matatizo sana ktk akili na utashi ktk kujitambua 'consciousness' tunahitaji nini na tukipewa ninindio tunachohitaji au la. Ndio matokeo yake, hata tukipewa 'chochote' tumebakia kushangilia na kupongeza bila dira.

Baraza la JK ni kubwa namawaziri wachapakazi wachache, hawazidi 8. Ilitakiwa jumla wasizidi mawaziri 26, yaani mawaziri wakuu 16 na manaibu 10. Kwa hiyo MBOWE yupo sahihi, na wote wanaojali jasho la walipa kodi, wakitafakari baraza la bara na zanzibar, watagundua uchungu wa kodi yao ktk kuendesha mawaziri hawa wote wapatao 80? ni uchungu sana kupongeza hali hii.
 
he had given his honest opinions..

but let me say this the majority of tanzanians dont know what are the consequences of such big cabinet.. if we can know their salaries, bonus, car and travel expenses surely we wouldnt like that..

so let not be to content with this issue..
 
Baraza ni kuwa sana kulingana na nchi yetu masikini

source BBC Swahili

My take
Thats what every honest taxpayer thinks


Mi bado suala la wizara ya uwezeshaji linanifanya niwe:A S angry: hii wizara itakua na kazi gani :help:
 
Wether ni kubwa au dogo si hoja maana hiyo ni serikali ya ccm. Tunachotarajia ni mawaziri vivuri kushine. Ningependa kuona baada ya bunge ili kuvunjwa tunamjua waziri kivuri ktk wizara ya ujenzi, wizara ya ardhi, wizara ya Africa mashariki yaani tunakaba ng'adu kwa ng'adu. Miaka mitano wafanye kazi ili wafanyiwe kazi. Mbowe ajiandae kwa hilo. Hatutaki mambo mepesi.

I beg to differ brother, Hii ni issue kubwa sana kwangu.... If the money is wasted kwa matumizi makubwa from CCM OWN POCKETS that's okay. Lakini that is my kodi brother... Its leaving me penniless for some primma donnas to live a luxurious life wakati they are doing Nothing.
 
kwanza hili baraza ni dogo sana ukilinganisha na ukubwa wa nchi! Nadhani hizi ni chuki binafsi na mheshimiwa JK! hicho ni kijicho tu!!! Mbayuwayu wakubwa nyie!!! cheki timu ilivyo kamilika..... tukianzia kwa sophia simba, hawa ghasia, stephen wasira, J magembe, Nchimbi...... etc.
Cheki jirani zetu nchi ya uganda.....Baraza lao lina full ministers 69 hapo bado deputes ministres na nchi yetu geographically ni kubwa zaidi ya mara mbili yake...VoiceOfReason nawenzako mnahitaji kufanya research kabla hamjarusha mada hewani..
---nb...ukitaka kuhakikisha visit...Parliament of Uganda Website :: - CABINET

UG CABINET ---- FULL MINISTRES ONLY
1. First Deputy Prime Minister & Minister for East Africa
2. Second Deputy Prime Minister & Minister of Public Service
3. Third Deputy Prime Minister & Minister of Internal Affairs
4. Minister for Security
5. Minister of Presidency
6. Minister of General Duties (Office of the Prime Minister)
7. Minister of Gender, Labour and Social Affairs
8. Minister of Trade and Industry
9. Minister of Water and Environment
10. Minister of Agriculture, Animal Industry and Fisheries
11. Minister of Defence
12. Minister of Relief and Disaster Preparedness
13. Minister of Lands, Housing and urban Development
14. Minister of Health
15. Minister of Foreign Affairs
16. Minister of Education and Sports
17. Minister of Energy and Minerals
18. Minister of Communication & Information Communication Technology
19. Minister of Information & National Guidance
20. Minister of Local Government
21. Minister Without Portfolio
22. Minister of Finance, Planning and Economic Development
23. Minister of Works
24. Minister of Justice, Constitutional Affairs & Attoney General
25. Government Chief Whip

STATE MINISTERS
26. Minister of State for Agriculture
27. Minister of State for Fisheries
28. Minister of State for Animal Industry
29. Minister of State for Higher Education
30. Minister of State for Primary Education
31. Minister of State for Sports
32. Minister of State for Energy
33. Minister of State for Minerals
34. Minister of State for Finance (General Duties)
35. Minister of State for Planning
36. Minister of State for Microfinance
37. Minister of State for Investment
38. Minister of State for Privatization
39. Minister of State for International Affairs
40. Minister of State for Regional Affairs
41. Minister of State for Gender and Culture
42. Minister of State for Youth and Children Affairs
43. Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations
44. Minister of state for Disabilities
45. Minister of State for Health (General)
46. Minister of State for Primary Health Care
47. Minister of State for Housing
48. Minister of State for Urban Development
49. Minister of State for Lands
50. Minister of State for Economic Monitoring (Office of the President)
51. Minister of State for Ethics and Integrity (Office of the President)
52. Minister of State for Relief, Disaster Preparedness (Prime Minister's Office)
53. Minister of State for Nothern Uganda (Prime Minister's Office)
54. Minister of State for Karamoja (Prime Minister's Office)
55. Minister of State for Luweero Triangle (Prime Minister's Office)
56. Minister of State for Trade, Tourism, Wildlife & Antiquities
57. Minister of State for Industry
58. Minister of State for Tourism
59. Minister of State for Water
60. Minister of State for Environment
61. Minister of State for Transport
62. Minister of State for Works
63. Minister of State for Defence
64. Minister of State for Vice-Presidents Office
65. Minister of State for Internal Affairs
66. Minister of State for Justice and Constitutional Affairs
67. Minister of State for Communication and ICT
68. Minister of State for Local Government
69. Minister of State for Public Service
 
Mbona wananchi walio wengi wanalipongeza? Tuna safari ndefu kweli kweli

Watu kisa wamesikia MAGUFULI,TIBAIJUKA,SITTA NA MWAKYEMBE basi rohoo kwatuu, Wamesahau kuna ka-wizara ka-mahusiano ya raisi cjui na akina nani? maana km ni wa nje..Wizara ipo,EA wizara ipo..full usanii! Wizara nyingi hazikupaswa kuwa na manaibu..wizara kama tano tu ndio wangeweka manaibu..la sivyo mkubwa atuambie wanalindana lakini hakuna utendaji pale!..
 
Hapo bado hajachagua Permanent Secretaries wa kila wizara kazi kweli kweli.. Naibu waziri hiki cheo mimi huwa naona hakina msingi kwani hao Permanent Secretaries hawawezi kufanya kazi za unaibu. Hii nchi ina vilaza kupita maelezo. JK na Baraza lake wote ni bure brush hakuna jipya wala ongezeko kwa taifa ni upungufu na kuzidisha umaskini kwa mtanzania aliye maskini na mlipa kodi.
 
Ya Waganda tuwaachie Waganda; All I care about ni Tanzania, na Kubana matumizi now if we can do with a small cabinet why not. Kwanii nimuonee JK kijicho? I dont even know the Guy. What concerns me ni jinsi gani "My hard earned Cash" Kodi yangu inavyotumika. Honestly I dont work hard for some people to decide to throw away my cash, and am sure am not alone on this.

kwanza hili baraza ni dogo sana ukilinganisha na ukubwa wa nchi! Nadhani hizi ni chuki binafsi na mheshimiwa JK! hicho ni kijicho tu!!! Mbayuwayu wakubwa nyie!!! cheki timu ilivyo kamilika..... tukianzia kwa sophia simba, hawa ghasia, stephen wasira, J magembe, Nchimbi...... etc.
Cheki jirani zetu nchi ya uganda.....Baraza lao lina full ministers 69 hapo bado deputes ministres na nchi yetu geographically ni kubwa zaidi ya mara mbili yake...VoiceOfReason nawenzako mnahitaji kufanya research kabla hamjarusha mada hewani..
---nb...ukitaka kuhakikisha visit...Parliament of Uganda Website :: - CABINET
 
kwanza hili baraza ni dogo sana ukilinganisha na ukubwa wa nchi! Nadhani hizi ni chuki binafsi na mheshimiwa JK! hicho ni kijicho tu!!! Mbayuwayu wakubwa nyie!!! cheki timu ilivyo kamilika..... tukianzia kwa sophia simba, hawa ghasia, stephen wasira, J magembe, Nchimbi...... etc.
Cheki jirani zetu nchi ya uganda.....Baraza lao lina full ministers 69 hapo bado deputes ministres na nchi yetu geographically ni kubwa zaidi ya mara mbili yake...VoiceOfReason nawenzako mnahitaji kufanya research kabla hamjarusha mada hewani..
---nb...ukitaka kuhakikisha visit...Parliament of Uganda Website :: - CABINET

UG CABINET ---- FULL MINISTRES ONLY
1. First Deputy Prime Minister & Minister for East Africa
2. Second Deputy Prime Minister & Minister of Public Service
3. Third Deputy Prime Minister & Minister of Internal Affairs
4. Minister for Security
5. Minister of Presidency
6. Minister of General Duties (Office of the Prime Minister)
7. Minister of Gender, Labour and Social Affairs
8. Minister of Trade and Industry
9. Minister of Water and Environment
10. Minister of Agriculture, Animal Industry and Fisheries
11. Minister of Defence
12. Minister of Relief and Disaster Preparedness
13. Minister of Lands, Housing and urban Development
14. Minister of Health
15. Minister of Foreign Affairs
16. Minister of Education and Sports
17. Minister of Energy and Minerals
18. Minister of Communication & Information Communication Technology
19. Minister of Information & National Guidance
20. Minister of Local Government
21. Minister Without Portfolio
22. Minister of Finance, Planning and Economic Development
23. Minister of Works
24. Minister of Justice, Constitutional Affairs & Attoney General
25. Government Chief Whip

STATE MINISTERS
26. Minister of State for Agriculture
27. Minister of State for Fisheries
28. Minister of State for Animal Industry
29. Minister of State for Higher Education
30. Minister of State for Primary Education
31. Minister of State for Sports
32. Minister of State for Energy
33. Minister of State for Minerals
34. Minister of State for Finance (General Duties)
35. Minister of State for Planning
36. Minister of State for Microfinance
37. Minister of State for Investment
38. Minister of State for Privatization
39. Minister of State for International Affairs
40. Minister of State for Regional Affairs
41. Minister of State for Gender and Culture
42. Minister of State for Youth and Children Affairs
43. Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations
44. Minister of state for Disabilities
45. Minister of State for Health (General)
46. Minister of State for Primary Health Care
47. Minister of State for Housing
48. Minister of State for Urban Development
49. Minister of State for Lands
50. Minister of State for Economic Monitoring (Office of the President)
51. Minister of State for Ethics and Integrity (Office of the President)
52. Minister of State for Relief, Disaster Preparedness (Prime Minister's Office)
53. Minister of State for Nothern Uganda (Prime Minister's Office)
54. Minister of State for Karamoja (Prime Minister's Office)
55. Minister of State for Luweero Triangle (Prime Minister's Office)
56. Minister of State for Trade, Tourism, Wildlife & Antiquities
57. Minister of State for Industry
58. Minister of State for Tourism
59. Minister of State for Water
60. Minister of State for Environment
61. Minister of State for Transport
62. Minister of State for Works
63. Minister of State for Defence
64. Minister of State for Vice-Presidents Office
65. Minister of State for Internal Affairs
66. Minister of State for Justice and Constitutional Affairs
67. Minister of State for Communication and ICT
68. Minister of State for Local Government
69. Minister of State for Public Service

Unaweza kunipa distinction kati ya cabinet ministers na ministers of state? who are the ministers of state?
Pia hapo kwenye nyekundu nimefanya research hakuna kitu kama hicho Uganda
 
Back
Top Bottom