Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Kwa mtazamo wako neno irrelevant ni tusi/uzalilizashaji?
Neno irrelevant maanake,hailingani au haina maana sawa,upoooo Lipumba kwa sasa hana maana sawa na UKAWA,tokana na matendo atendayo.
 
Kama alisema ameondoka UKAWA sababu Lowassa amekuja. Leo unarudi kwa Lowassa ameondoka UKAWA na CUF wameondoka kwenye huu umoja?

Regarding him as Irrelevant politician it's typical perfect hit spot.. Yes he is..
Yes mbona tamko ameshalitoa mwwnyekiti Lipumba kuwa cuf imejitoa ukawa.?? Mnadhani atakubali kukaa meza moja na watuhumiwa wa ufisadi. Khaaa! !
 
Kwa mtazamo wako neno irrelevant ni tusi/uzalilizashaji?
Neno irrelevant maanake,hailingani au haina maana sawa,upoooo Lipumba kwa sasa hana maana sawa na UKAWA,tokana na matendo atendayo.
Mbowe anataka kutuaminisha kuwa Lipumba hana maana kisiasa??Hili ni tusi kubwa....
 
Mtaalamu wa mapanga nshaaa amekacha kwenda UN!!!
Sababu kuu ni uwezo usiridhisha wa kujieleza kwa kimombo!!! UNABISHAA!?
Hapa elimu nayo ni tatizo.Mbowe anaona fahari kutamka maneno ya kiingereza ambayo nina uhakika kwake anaona kaongea sana lakini hajui thamani ya neno na madhara yatokanyo.Jamani jaribuni khchagua viongozi wenye shule kichwani.
 
DJ alishabadili gia angani tena.!!

Kwa hali hii ya ubadilishaji gia mwaka 2020 Lugumi wanaweza kuwa mgombea urais wa Chadema na sisi wild beast tukaamlishwa na DJ tumsafishe kama tulivyolazimishwa kumsafisha Lowasa.
Hii ni mbinu moja ya kivita,KUMPOTEZA ADUI MWELEKEO.

Na chadema itafaulu kumpoteza adui mwelekeo sababu,platoon iliopo nyuma ya kamanda mbowe,ina utii na usikivu
 
Msajili wa Vyama vya siasa hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya vyma lakini chams cha siasa kinaweza kuingilia mambo ya ndani ya chama kingine! Only in tz. Big up sana Longido water supply authority(LOWASA)
8.jpg
 
Yeah,Prof.Pumba ni Irrelevant kwani irrelevant ina maana ya kitu kutokuwa relevant,na kitu huwa irrelevant endapo tu hakitajali wakati,mahali na rasilimali zilizopo.kwa mfano: Prof.Pumba si mahala pake kwenye ofisi kuu za CUF,na ukiangalia wakati bado Prof.ni irrelevant since he resigned on his own wills with no force,no power and he declared it in public with journalists press conf.
Prof.Pumba is irrelevant to CUF this time onwards,and once he get access to his position he will derstroy all efforts made by Maalim Seif Sharrif Ahmad.
Prof.Pumba is no longer an asset,he is a liabity for the well-being of CUF and UKAWA in general.
 
Kwa hiyo kuwasaidia CUF kuondokana na hii "Comedy" ni kuingilia mamlaka ya chama kingine?
Seriously?
 
Sheria ya kazi inasemaje pale mtu anapokosa kazi kwa mda mrefu? Alikuwa wapi asionekane ofisini kama mwenyekiti? Amejidhalilisha yeye mwenyewe, ni mchumi first class, tunamtegemea kwa ushauri na UN wanamkubali kwa ushauri, leo anajizalilisha na unuekiti wa chama ambacho hakina msaada kwake..... Kwa kweli anazeeka vibaya Mr. Irrelevant
 
Tatizo la Mbowe ni kuvaa miwani ya giza usiku.....muangalie kwenye hiyo picha.
 
Msajili wa Vyama vya siasa hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya vyma lakini chams cha siasa kinaweza kuingilia mambo ya ndani ya chama kingine! Only in tz. Big up sana Longido water supply authority(LOWASA)
View attachment 410108
Na ccm wanayo........

Ya kumsindikiza na police mpaka offisini na kumluusu alale humo
 
Mwenyewe nimeshangaa sana kwa kweli Chadema wanaingilia mambo ya ndani ya CUF.. Je ikitokea CUF wakasema hawamtaki Mashinji au Lisu je Chadema watalizia au hii kwa Chadema tu ndio wananguvu hiyo
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Kwa ninavyomjua Lipumba hatamjibu Mbowe kwasababu he is too junior kwake. Mbowe unatafuta umaarufu kupitia kwa Lipumba baada ya UKUTA kubuma!
 
Nanukuu: "Tanzania sio kisiwa.Ndio maana chama kiliona Umuhimu wa kutuma ujumbe Mzito kwenye ziara maalumu nchi za Ulaya .Nchi za Ujerumani na Denmark kuendelea kuujulisha Ulimwengu juu ya ukandamizaji mkubwa wa haki za binadamu na Demokrasia kinyume na jinsi ambavyo serikali imekua ikijipamba kuwa ya amani na Utulivu

Hiyo ilikua ziara ya awamu ya kwanza
Bado Ujumbe Mwingine utatumwa kwenye nchi nyingine kama Uingereza,Marekani,Canada , Malaysia,Japan na hata ndani ya Umoja wa Afrika na kwenye mtangamano wa kikanda kama SADC na EAC"

Mwisho wa kunukuu.

Hawa Wakoloni hawakosei kututaka tuwe Mashoga. Hivi wangewajibu, enendeni mkakubali kuwa mashoga tutawatetea na hatimaye mtachukua dola wangekataa?
 
Lowasa hana pesa wala hajampa mtu pesa yupo upinzani kutokana na vioja alivyofanyiwa na kikwete hahitaji kujilinda na pesa kwa sababu yy akiwa chadema hana haja na cheo ujumbe unamtosha hivyo hakuna mtu wa kumsumbua, hiyo propaganda ya pesa za lowasa ilitengenezwa na akina February na membe wakaisambaza kila kona wale Wajanja walijua ni uzushi wakapotezea lakini wajinga hadi leo wakekariri pasipo kujua kuwa wenzao walitengeneza huo Uzushi walilipwa pesa nyingi sana kueneza kila kona.
Hujui unachokiandika
 
Back
Top Bottom