KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Ahahahhaaha!! Wewe ndiyo utakuwa mnazi kuna watu walimtukana Lowassa kama Chadema au unajitoa ufahamu mapenzi kitu kibaya sana.
Vijana wa CDM akili zao zimeshikwa na Mbowe....wamepoteza hata uwezo wa kutafakari mambo madogo tu....
Mbaya wa Mbowe automatically naye ni mbaya wao....na rafiki wa Mbowe naye ni rafiki......
Ndio hao hao waliokuwa wakishangilia Mbowe akimuita Lowasa fisadi na kila aina ya tusi.....na ndio hao hao wanaoshangilia Mbowe akimuita Lowasa ni kamanda na mpambanaji......hadi hapo unaweza kuona ni jinsi gani taifa hili ukombozi wake upo mbali......
CCM kumeoza na kunatoa funza....na funza wengine wamedondokea CCM chana ambacho tuliamini kuwa ndio mkombozi wetu.....ndio hao hao funza wanaoitafuna CDM ya sasa....