Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Yaani kumkataa fisadi ni kuuvunjia heshima upinzani?

Heshima ya upinzani wa leo ni kukumbatia mafisadi na wakwepa kodi?
....soma vizuri niliyoainisha kisha njoo na hoja ya msingi, alafu naomba takwimu za fisadi yeyote aliyepandishwa mahakamani kwenye mahakama ya mafisadi, vinginevyo kuanzisha kitu halafu unaongelea uvunguni na wewe ni roroso tu....
 
Mbona hata yule aliekuwa mwenyekiti wa chama cha wajinga, mzee wa Malofa, aliwahi kumwita Lipumba ni Professa Uchwara! Ngoja hadi hapo siku Lipumba atakapojihidhirisha rasmi (Kama vile alivyofanya jaji Ramadhani) kwamba sasa anautaka uenyekiti wa CCM jee utasema yeye ni relevant?
Kuna aina ya watu wanaweza kumuita profesa Uchwara lakini Mbowe hatakiwi kuwa mmoja wao.
 
....soma vizuri niliyoainisha kisha njoo na hoja ya msingi, alafu naomba takwimu za fisadi yeyote aliyepandishwa mahakamani kwenye mahakama ya mafisadi, vinginevyo kuanzisha kitu halafu unaongelea uvunguni na wewe ni roroso tu....
Takwimu za huyo fisadi ziko kwenye makabrasha pale ufipa...
 
Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Mafanikio ya kisiasa na maisha kati ya Mbowe (darasa la saba) na Lipumba (profesa) unayalinganishaje?-Hebu waombe TWAWEZA wakusaidie kufanya utafiti. Halafu ujue kukaririshwa jambo ukiwa hujitambui ni sawa na kuvutishwa madawa ya kulevya-hebu fuatilia shule ya Mbowe halafu uje hapa!
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Hivi mtu na akili zake timamu kabisa anaweza kuhamishia makazi yake kwenye ofisi za chama? Hili kwako unaona liko sawa kabisa?
 
Mkuu acha unazi wa ccm kumtukana lowassa ni kuwatukana ukawa wote, ni sawa mkeo anadhalilishwa ni familia nzima mnadhalilika
Ahahahhaaha!! Wewe ndiyo utakuwa mnazi kuna watu walimtukana Lowassa kama Chadema au unajitoa ufahamu mapenzi kitu kibaya sana.
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Alikosea kumuita irrelevant angemuita disappointment
 
Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Uprofessa haupimwi kwa vyeti peke yake, unaweza ukawa na vyeti vya uprof lkn matendo yako ni km ya std 7
 
Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Professor gani?professor ambae hata mtoto wa darasa la 5 Ana akili kuliko yeye!!haya anayoyafanya Sijui uprofesa aliupata kichawi!!!maana tabora kuna vigagula!!

Coz haendani kabisa na elimu yake.
 
Takwimu za huyo fisadi ziko kwenye makabrasha pale ufipa...
...ushalegea mkuu, so unaongea ukitegemea mawazo ya mtu mwingine, bhahahahhaaaaaa ccm wepesi sana...
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Kwa manyago anayoyafanya Lipumba mi nadhani anastahili matusi zaidi ya hilo. Laiti ningekuwa najuwa kutukana hata mimi ningemtukana.
 
Yes he is irrelevant,na hili sio tusi au tatizo Lugha? ...
Tatizo lako unataka baba azae mtoto ambake au amuue tumuache ati kisa ni baba yake,acha utoto wewe!!
 
Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
kaka itabidi tukurudishe serengeti ukaungane na nyumbu wenzio! Kwahiyo anachokifanya huyo msomi chapendeza machoni kwako? Lini nyie vijana wenzetu mtajielewa tujenge nchi yetu?
 
Mkuu acha ushabiki wa ccm kumtukana lowassa ni kuwatukana ukawa wote, ni sawa mkeo anadhalilishwa ni familia nzima mnadhalilika
Lowasa hakuanzisha UKAWA......yeye anataka urais tu, hajui cha katiba mpya wala ya zamani.....ndio maaana alikimbia mdahalo. Wapinzani hawakimbii midahalo
 
Back
Top Bottom