Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
....soma vizuri niliyoainisha kisha njoo na hoja ya msingi, alafu naomba takwimu za fisadi yeyote aliyepandishwa mahakamani kwenye mahakama ya mafisadi, vinginevyo kuanzisha kitu halafu unaongelea uvunguni na wewe ni roroso tu....Yaani kumkataa fisadi ni kuuvunjia heshima upinzani?
Heshima ya upinzani wa leo ni kukumbatia mafisadi na wakwepa kodi?