Lowasa hana pesa wala hajampa mtu pesa yupo upinzani kutokana na vioja alivyofanyiwa na kikwete hahitaji kujilinda na pesa kwa sababu yy akiwa chadema hana haja na cheo ujumbe unamtosha hivyo hakuna mtu wa kumsumbua, hiyo propaganda ya pesa za lowasa ilitengenezwa na akina February na membe wakaisambaza kila kona wale Wajanja walijua ni uzushi wakapotezea lakini wajinga hadi leo wakekariri pasipo kujua kuwa wenzao walitengeneza huo Uzushi walilipwa pesa nyingi sana kueneza kila kona.Mbowe akili zake zitarudi sawa sawa pale Fedha za Lowasa zitakapo kwisha.. Lowasa ni kirusi upinzani... Ila Fedha zake ndio zinamlinda