Mbowe hovyo kabisa

Mbowe hovyo kabisa

Biasness' za vyama vya siasa vinatupeleka pabaya kama Taifa... Mr. President, Please sitisha hii mijadala kwani kuna kila dalili ya uvunjifu wa amani kunako chagizwa na viongozi kutoka ktk pande mbili zinazokinzana kwa sasa...wote wanamakosa na wametanguliza maslahi ya vyama vyao zaidi...Lukuvi ameingiza udini ambao hatimae sote tutaangamia...Bora tuendelee na katiba iliyopo then baadae tuifanyie research ya kutosha kwanini experiment hii imefeli kiasi hiki...
 
.........zifuatazo sasa ni habari za kimataifa.....................

Ndege inayodhaniwa kupotea ya shirika la ndege la maleshia imesikika mlio wake kwa mara ya kwanza toka ilipo potea.

mashuhuda ambao ni wanachama wa ccm waliokuwa kikaoni wamemweleza mwandishi wa Cable kuwa muungurumo haukuwa na hitilafu yoyote.

aidha Nnape nauye na Mwigulu nchemba ambao ndio walikuwa viongozi wa kikao hicho cha siri wametanabaisha kuwa walimgutia rubani kumtaka aitue ndege hiyo kwenye uwanja wa JNI na siyo KIA ili iweze kuitangaza ccm kimataifa.
 
Ukisoma sababu wanazozitoa ukawa kujitoa bkt kupitia mbowe.lipumba na mbatia utagundua hawa viongozi ni ziro na wana malengo yao. Sababu ya kujitoa et kwa sababu ya kutukanwa na ccm kuleta hoja ambazo hazipo kwa rasimu. Swali hivi matamshi ya s.sharifu kuwa zanzibar hawataki utawala wa watu weusi wanataka utawala wa watu wenye madefu kuzidi yeye toka omani.je hi sio chuki uhaini?.lipumba kuwaita wajumbe wenzake wauaji.je si matusi kejeli?. Tindu lisu kumwita nyerere baba wa taifa kuwa ni tapele,mwongo,alishi kwa mjanjamjanja,muuaji.je hizo kauli sio dhihaka?.machali kusema kuwa viongozi wote watu hovyohovyo.sio kejeli?. Jusa kusema wenzake wajumbe toka zenji wamefyata mkia.sio kejeli matusi?. Ukiangalia wenyewe ukawa walitoa lugha za maudhi lakini wenzao wakavumilia wenyewe wakajiona kama wasafi. Ukawa wananchi ukweli kabisa na mfanye utafiti mtaani wamewachoka na hasa chadema kwa sababu ndio walio anzisha kutaka toka. Tafuteni njia nyingine za kujitangaza. Mana kama chadema njia hiyo ya kuzunguka mtkeo 0

nape kibano.JPG

Nape alifanya nini hadi UVCCM mkamkwida?
 
Mimi nawasiii warudi bungeni

Ni vigumu sana kukaa na intarahamwe kukawa na utulivu. Watu wanajadili katiba mbili mbili tofauti, Kundi moja linajadili katiba ya tume ilivyopendekezwa na wananchi kundi la intarahamwe liko bize kutukana, kueneza udini, kuwabagua watu kwa makabila yao especially wachaga na wapemba alafu unataka warudi wataena kujadili nn? MATUSI?
 
Ukisoma sababu wanazozitoa ukawa kujitoa bkt kupitia mbowe.lipumba na mbatia utagundua hawa viongozi ni ziro na wana malengo yao. Sababu ya kujitoa et kwa sababu ya kutukanwa na ccm kuleta hoja ambazo hazipo kwa rasimu. Swali hivi matamshi ya s.sharifu kuwa zanzibar hawataki utawala wa watu weusi wanataka utawala wa watu wenye madefu kuzidi yeye toka omani.je hi sio chuki uhaini?.lipumba kuwaita wajumbe wenzake wauaji.je si matusi kejeli?. Tindu lisu kumwita nyerere baba wa taifa kuwa ni tapele,mwongo,alishi kwa mjanjamjanja,muuaji.je hizo kauli sio dhihaka?.machali kusema kuwa viongozi wote watu hovyohovyo.sio kejeli?. Jusa kusema wenzake wajumbe toka zenji wamefyata mkia.sio kejeli matusi?. Ukiangalia wenyewe ukawa walitoa lugha za maudhi lakini wenzao wakavumilia wenyewe wakajiona kama wasafi. Ukawa wananchi ukweli kabisa na mfanye utafiti mtaani wamewachoka na hasa chadema kwa sababu ndio walio anzisha kutaka toka. Tafuteni njia nyingine za kujitangaza. Mana kama chadema njia hiyo ya kuzunguka mtkeo 0

Kati ya WATU HOVYO kwenye hii nchi ni wewe pamoja na wapumbavu wengine chama cha majambazi na mafisadi.
HIVI nikuulize nani hovyo kati ya aliyegushi sahihi ya nyerere, karume na huyu anayehoji ujuha wenu wa kupenda kuishi kwa uongo? hao unaowatetea wadini na wabaguzi wakubwa kama nyerere angekuwa hai sidhani hata mngekuwepo Tanzania. sasa hivi mngekuwa wakimbizi.

Wapumbavu wenzako wamekaa kimya katiba ya JMT imevunjwa na kuruhusu zanzibar kujitenga halafu sasa hivi mnanyanyua midomo mirefu baada ya kuumbuliwa. fungeni makopo yenu hayo machafu
 
Wewe nie mshenzi kabisa

Ukisoma sababu wanazozitoa ukawa kujitoa bkt kupitia mbowe.lipumba na mbatia utagundua hawa viongozi ni ziro na wana malengo yao. Sababu ya kujitoa et kwa sababu ya kutukanwa na ccm kuleta hoja ambazo hazipo kwa rasimu. Swali hivi matamshi ya s.sharifu kuwa zanzibar hawataki utawala wa watu weusi wanataka utawala wa watu wenye madefu kuzidi yeye toka omani.je hi sio chuki uhaini?.lipumba kuwaita wajumbe wenzake wauaji.je si matusi kejeli?. Tindu lisu kumwita nyerere baba wa taifa kuwa ni tapele,mwongo,alishi kwa mjanjamjanja,muuaji.je hizo kauli sio dhihaka?.machali kusema kuwa viongozi wote watu hovyohovyo.sio kejeli?. Jusa kusema wenzake wajumbe toka zenji wamefyata mkia.sio kejeli matusi?. Ukiangalia wenyewe ukawa walitoa lugha za maudhi lakini wenzao wakavumilia wenyewe wakajiona kama wasafi. Ukawa wananchi ukweli kabisa na mfanye utafiti mtaani wamewachoka na hasa chadema kwa sababu ndio walio anzisha kutaka toka. Tafuteni njia nyingine za kujitangaza. Mana kama chadema njia hiyo ya kuzunguka mtkeo 0
 
Ukisoma sababu wanazozitoa ukawa kujitoa bkt kupitia mbowe.lipumba na mbatia utagundua hawa viongozi ni ziro na wana malengo yao. Sababu ya kujitoa et kwa sababu ya kutukanwa na ccm kuleta hoja ambazo hazipo kwa rasimu. Swali hivi matamshi ya s.sharifu kuwa zanzibar hawataki utawala wa watu weusi wanataka utawala wa watu wenye madefu kuzidi yeye toka omani.je hi sio chuki uhaini?.lipumba kuwaita wajumbe wenzake wauaji.je si matusi kejeli?. Tindu lisu kumwita nyerere baba wa taifa kuwa ni tapele,mwongo,alishi kwa mjanjamjanja,muuaji.je hizo kauli sio dhihaka?.machali kusema kuwa viongozi wote watu hovyohovyo.sio kejeli?. Jusa kusema wenzake wajumbe toka zenji wamefyata mkia.sio kejeli matusi?. Ukiangalia wenyewe ukawa walitoa lugha za maudhi lakini wenzao wakavumilia wenyewe wakajiona kama wasafi. Ukawa wananchi ukweli kabisa na mfanye utafiti mtaani wamewachoka na hasa chadema kwa sababu ndio walio anzisha kutaka toka. Tafuteni njia nyingine za kujitangaza. Mana kama chadema njia hiyo ya kuzunguka mtkeo 0

Kwahiyo wanaotoa sababu za kuizika Tanganyika kinyume cha matakwa ya wananchi ndiyo wewe umewaona wa maana?
 
Mtoa mada na wenzako hebu wekeni pembeni uchama wenu then tujadili mambo haya nyeti kama Watanzania tunao itakia nchi yetu Amani na Mafanikio. Sio kuandika kwakumshambulia mtu moja kwa moja, unadhani nani atakuwa mvumilivu!!!?
We toa hoja kama Mzalendo sio kama kibaraka wa watu ili watu waweze kutoa mawazo yao. hapo turafika.
 
Ukisoma sababu wanazozitoa ukawa kujitoa bkt kupitia mbowe.lipumba na mbatia utagundua hawa viongozi ni ziro na wana malengo yao. Sababu ya kujitoa et kwa sababu ya kutukanwa na ccm kuleta hoja ambazo hazipo kwa rasimu. Swali hivi matamshi ya s.sharifu kuwa zanzibar hawataki utawala wa watu weusi wanataka utawala wa watu wenye madefu kuzidi yeye toka omani.je hi sio chuki uhaini?.lipumba kuwaita wajumbe wenzake wauaji.je si matusi kejeli?. Tindu lisu kumwita nyerere baba wa taifa kuwa ni tapele,mwongo,alishi kwa mjanjamjanja,muuaji.je hizo kauli sio dhihaka?.machali kusema kuwa viongozi wote watu hovyohovyo.sio kejeli?. Jusa kusema wenzake wajumbe toka zenji wamefyata mkia.sio kejeli matusi?. Ukiangalia wenyewe ukawa walitoa lugha za maudhi lakini wenzao wakavumilia wenyewe wakajiona kama wasafi. Ukawa wananchi ukweli kabisa na mfanye utafiti mtaani wamewachoka na hasa chadema kwa sababu ndio walio anzisha kutaka toka. Tafuteni njia nyingine za kujitangaza. Mana kama chadema njia hiyo ya kuzunguka mtkeo 0


Kwani wewe ulikuwa unahadithiwa hayo au ulikuwa unafuatilia Bunge? Naona kama nakosa hata jinsi ya kuanza kukuelewesha.

By the way sioni uhusiano wa kichwa cha habari na mada iliyofuatia.
 
Back
Top Bottom