Mbowe: Haturudi nyuma

Ohhh lala! Mzee wa kubadilishia GIA ANGANI bado yupo..... sasa hivi anakanyaga klach za BODA BODA
 
 
Mshaija toka bunge la bajeti lianze kuna habari ipi hujaisikia?
Wahaya mnadai nyie ni vichwa,yaani umeingia mkenge kuwaamini wasanii

Sijayasikia au kuona mengi sana kwa kuwa kuna tofauti kubwa kati ya live coverage na edited and recorded broadcasting.
Hapo ndiyo tafauti yako na Mshaija maana anajuwa tofauti.
 
Huyu mbowe anamaanisha nini hivi, mbona kila siku upinzani unarudi kaburini kwa kiasi?
 
"Hawa jamaa kumbe huwezi kuwahonga ili wabadilishe nyeusi kuwa nyeupe!"
Hayo ni maneno yaliyokuwa yanasemwa na abiria mmoja ndani ya departure Lodge ya uwanja wa ndege Mwanza wakati wa mjadala juu ya msimamo wa wabunge kugoma kuingia iwapo Tulia yupo mpaka suala lake litakapo shughulikiwa.
Wengi wamepongeza msimamo huo pamoja na kuambiwa watakatwa posho.
Hii imeonyesha wananchi kuwa hawakufuata posho na pia kukosekana kwao bungeni kumetoa picha halisi ni wabunge wa aina gani hao waliobaki kutokana na michango yao isiyo na faida kabisa.
Abiria mwingine alisema hata debate sessions za Shule za sekondari ni bora zaidi ya vikao vinavyo endelea baada ya kutoka Ukawa.
 
Duh! Mkuu, ina maana hiyo departure ya airport ya Mwanza imekuwa local zaidi kiasi ambacho mijadala kama hiyo hujadiliwa? Only in Tanzania. Sijapata kuona uwanja wowote wa kimataifa kunaibuka mijadala ya aina hiyo labda kwenye stand ya basi ama kituo cha daladala
 
Watu watatu au wanne mnaojuana hamuwezi kuwa na jambo mnaliongea? Au uhuru huo wananyimwa?
Chakaza ameidaka na kama ilivyo kawaida ya JF, kitu kizuri kula na wenzako
 
Kwanza siku zote haki haitolewi kama sadaka hupiganiwa kurudi nyuma ni mwiko makamanda
 
Hiki ni kipindi kigumu sana kwa viongozi wetu wa vyama vya upinzani hasa cdm na ukawa kwa ujumla kutokana na misuko suko wanayo ipata na kwa kufikishwa mahakamani na si ajabu kuna wengine wanaweza kufungwa,lkn hayo yasiwavunje moyo maana huo hasa ndio upinzani wa kweli kumbukeni kuwa hakuna mtawala aliye kabidhi madaraka kwa mpinzani wake kwa sherehe, jikumbushe yaliyo tokea kwa Nelson Mandela, nasi wananchi tupo bega kwa bega nanyi kwa maombi na sala......mungu awabariki sana.....
 
Ni kweli kupata haki ni ngumu lazima uwe na roho ngumu mapambano yaendelee
 

Watu mu wanafiki sana. Unayewapa pole hata jina tu hutaki kujitaja. Halafu unaongea nyuma ya keyboard. Kuwasaidia uwashauri wasivunje sheria.
 
Kabisa mkuu maana kipindi hiki ndio haswa upinzani unaonekana kuliko kipindi chote kwani kila siku utasikia mbunge fulani kafikishwa mahakamani

Washaurini waache ukorofi dhidi ya sheria
 
Watu mu wanafiki sana. Unayewapa pole hata jina tu hutaki kujitaja. Halafu unaongea nyuma ya keyboard. Kuwasaidia uwashauri wasivunje sheria.
Sikushangai kwa bandiko lako hili,unajua nini maana ya uwakilishi?au ulitaka wote twende bungeni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…