Mbowe: Haturudi nyuma

Mbowe: Haturudi nyuma

Tazameni gwiji wenu wa sheria leo kalala ndani kwa upuuzi wake kisha mdai tena kuwa ukawa mnaonewa
Mkuu ukiona hivyo tambua sheria ya Tanzania ni onevu kwa mtu ambaye hayumo ndani ya chama tawala ana kesi gani inayoweza mfanya akose dhamana sema ubabe wa kusema sisi tunayo madaraka ya kuweka watu ndani
 
serikali inatumia gharama isiyo ya lazima kabisaa!
wazo langu: tumbua majipu yaliyobaki, ondoa mfumuko wa bei kwa bidhaa! simamia mkulima asitozwe ushuru mazao yake, wape wamachinga na wafanya biashara wadogo kile wanachohitaji, halafu uone nani anawasikilza ukawa! ila mbinyo huu unaoendelea sasa, wananchi watapata shaka na kujiuliza nini kinaogopewa hadi kuwabana hivi hawa wapinzani!? mnawapromoti wenyewe some times!!
 
Nyie makapi ya ccm mnatoa wapi ujasiri wa kumkebehi Dr Slaa ??

Mmeikuta chadema imesimama juu ya damu ya Slaa, alafu mnaleta visebengo vyenu Vya kuijua sana chadema??

Nani kati yenu aliyevuja damu kwa ajili ya chadema??..

Leo chadema imekuwa chama cha kutetea mafisadi, majambazi, watukana matusi na wakwepa kodi Laana ya kubadili gia angani inawatafuna na bado.
 
Safari hii mtakoma maana zero ndiyo kashika akili zenu. Tena ningekuwepo mimi hapo kahama ningewachapa zaidi, mnatakiwa mukomeshwe kwa akili zenu za kizezeta! Sasa tunahitaji kufanya kazi na siyo maandamano au kueneza chuki. Yaani mpaka 2020 hamtakuwa na wafuasi maana sasa kila mwananchi anamkubali Dr Magufuli
Use brain and not stomach
 
Mkuu ukiona hivyo tambua sheria ya Tanzania ni onevu kwa mtu ambaye hayumo ndani ya chama tawala ana kesi gani inayoweza mfanya akose dhamana sema ubabe wa kusema sisi tunayo madaraka ya kuweka watu ndani

Niambie mtu gani wa chama tawala au UDP na vyama vinginevyo nje ya ukawa vinavunja sheria kwa kuutukana utawala uliopo?
 
Niambie mtu gani wa chama tawala au UDP na vyama vinginevyo nje ya ukawa vinavunja sheria kwa kuutukana utawala uliopo?
Hakuna Mtu ambaye anatukana ila hakuna namna ya kumtia mtu hatiani ndo inatengenezwa kila aina ya sababu ikiwamo visingizio vya matusi
 
Hapa ndo pale tunaposema maiti inamkaba muoshaji na wazungu nao wanasema it is easier for a camel to pass through the eye of a needle if it's lightly greased sijasema mm jamen
 
Mwana sheria wa serikali kung'ang'aniza lissu asipewe dhamana huoni kama hapo kuna walakini

Isipokuwa pale sheria inazuia, Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya mwisho kutoa dhamana. Hivyo Wakili wa Serikali alitimiza wajibu wake kwa kupinga dhamana. Kuna tatizo hapo?
 
Isipokuwa pale sheria inazuia, Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya mwisho kutoa dhamana. Hivyo Wakili wa Serikali alitimiza wajibu wake kwa kupinga dhamana. Kuna tatizo hapo?
Kama ilitimiza wajibu Sawa
 
Nyumbu wala hawayaoni haya.

Chadema kwa miaka 20 wamepanga jengo chafu pale ufipa.!! Lkn ukihoji sababu ni nini unaambiwa wewe ni msaliti!!
 
70de51473b8f8c618ee941315d028f30.jpg
 
Bosi wao ENL alisema sasa anataka kuanza kuibadili CDM kutoka chama cha wana harakati kuwa chama siasa. mbona kimya. awape some basi waelewe.
 
Back
Top Bottom