wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,171
- 1,129
Mkuu ukiona hivyo tambua sheria ya Tanzania ni onevu kwa mtu ambaye hayumo ndani ya chama tawala ana kesi gani inayoweza mfanya akose dhamana sema ubabe wa kusema sisi tunayo madaraka ya kuweka watu ndaniTazameni gwiji wenu wa sheria leo kalala ndani kwa upuuzi wake kisha mdai tena kuwa ukawa mnaonewa