Mbowe: Haturudi nyuma

Mbowe: Haturudi nyuma

Kweli dunia imeisha mtu unatumika kwa kiroba
Vibarua vyenyewe ndio hivyo vimetoka wamepewa wenye chama wewe wamekuacha ukilalalama tu,hujui asubuhi hii chai utaipata wapi wala chakula cha mchana.ulicho ambulia ni hizo tshirts na kofia wakati wadogo zako kijijini kwenu wanateseka kwa kusomea chini ya mibuyu
1467175923870.jpg
 
Hiki ni kipindi kigumu sana kwa viongozi wetu wa vyama vya upinzani hasa cdm na ukawa kwa ujumla kutokana na misuko suko wanayo ipata na kwa kufikishwa mahakamani na si ajabu kuna wengine wanaweza kufungwa,lkn hayo yasiwavunje moyo maana huo hasa ndio upinzani wa kweli kumbukeni kuwa hakuna mtawala aliye kabidhi madaraka kwa mpinzani wake kwa sherehe, jikumbushe yaliyo tokea kwa Nelson Mandela, nasi wananchi tupo bega kwa bega nanyi kwa maombi na sala......mungu awabariki sana.....
Vizuri unavyojipa moyo
 
Hapo ndiyo uwezo wako wako wa kufikiria umekomea,hakuna mtu wa kukulaumu

ulitakaje? nionyeshe uwezo wangu wote hapa ili iweje? hata ukiamua kunilaumu ntapungua nini? sindano imekuingia utakuwa mmoja wa majirani zako wale
 
ulitakaje? nionyeshe uwezo wangu wote hapa ili iweje? hata ukiamua kunilaumu ntapungua nini? sindano imekuingia utakuwa mmoja wa majirani zako wale
Ndio maana nimesema kuwa huo ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiria, sasa hizo ngumi unazorusha hewani zitakusaidia kitu gani?
 
Back
Top Bottom