fred madowo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 236
- 83
Kweli dunia imeisha mtu unatumika kwa kirobaNa wala yeye hana haja ya kusifiwa na wewe mtumwa wa lumumba
Kweli dunia imeisha mtu unatumika kwa kirobaNa wala yeye hana haja ya kusifiwa na wewe mtumwa wa lumumba
Kwako wewe unaona ni heri utumike kwa ahadi ya kupewa kibarua?Kweli dunia imeisha mtu unatumika kwa kiroba
Vibarua vyenyewe ndio hivyo vimetoka wamepewa wenye chama wewe wamekuacha ukilalalama tu,hujui asubuhi hii chai utaipata wapi wala chakula cha mchana.ulicho ambulia ni hizo tshirts na kofia wakati wadogo zako kijijini kwenu wanateseka kwa kusomea chini ya mibuyuKweli dunia imeisha mtu unatumika kwa kiroba
Vizuri unavyojipa moyoHiki ni kipindi kigumu sana kwa viongozi wetu wa vyama vya upinzani hasa cdm na ukawa kwa ujumla kutokana na misuko suko wanayo ipata na kwa kufikishwa mahakamani na si ajabu kuna wengine wanaweza kufungwa,lkn hayo yasiwavunje moyo maana huo hasa ndio upinzani wa kweli kumbukeni kuwa hakuna mtawala aliye kabidhi madaraka kwa mpinzani wake kwa sherehe, jikumbushe yaliyo tokea kwa Nelson Mandela, nasi wananchi tupo bega kwa bega nanyi kwa maombi na sala......mungu awabariki sana.....
Sheria IPI, kwani wametiwa hatiani?Washaurini waache ukorofi dhidi ya sheria
Hata afrika ya kusini kulikuwa na wa afrika wa aina yako,lkn mwisho wa siku walikombolewaVizuri unavyojipa moyo
Vipi viroba vya Lumumba? Bado unavinywa?Aliyetoa hiyo post nilikuwa namuona anaakili kumbe ameshikiwa na viroba vya Ufipani
Hapo ndiyo uwezo wako wako wa kufikiria umekomea,hakuna mtu wa kukulaumuwamejifunga wenyewe wameanza na midomo! watamlalamikia nani?
Hapo ndiyo uwezo wako wako wa kufikiria umekomea,hakuna mtu wa kukulaumu
Ndio maana nimesema kuwa huo ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiria, sasa hizo ngumi unazorusha hewani zitakusaidia kitu gani?ulitakaje? nionyeshe uwezo wangu wote hapa ili iweje? hata ukiamua kunilaumu ntapungua nini? sindano imekuingia utakuwa mmoja wa majirani zako wale
Ndio maana nimesema kuwa huo ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiria, sasa hizo ngumi unazorusha hewani zitakusaidia kitu gani?

Sikushangai kwa bandiko lako hili,unajua nini maana ya uwakilishi?au ulitaka wote twende bungeni?
Ukorofi upi huo dhidi ya sheria unao usema?
Tatizo sheria ya Tanzania iko kama panga sio msumeno inawahusu wapinzani tu
Sheria IPI, kwani wametiwa hatiani?
Wewe ndio huelewi, una damu ya ccmHata huelewi unajibu nini
Hapana ukali wa sheria imukumbe mpinzani lakini ikimkumba mwenzetu itapindishwa pindishwa weee mpaka basiHapana. Wapinzani ndio wameamua kuvunja sheria kwa makusudi
Hapana ukali wa sheria imukumbe mpinzani lakini ikimkumba mwenzetu itapindishwa pindishwa weee mpaka basi
Nyie mnataka ushahidi uliopindishwaNani sheria imepindishwa dhidi yake?
Nyie mnataka ushahidi uliopindishwa