mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Haina tofauti na simba na yanga huko ni kukosa uzalendo kura zimepigwa kwa ushabikiNa wewe kwa akili yako unaamini hawakuwa na sifa!. MACCM walimpitisha vipi Masha kuwa Mbunge kama hakuwa na sifa? Kikwete alimpa vipi uwaziri Masha kama hakuwa na sifa? Au wanakosa sifa wakiwa Chadema tu lakini wakiwa kwa MACCM basi wanakuwa na sifa!? Acha kukurupuka kuandika pumba.