Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
kule vyuo vikuu wanasema CHADEMA kajipiga technical sup....kwani angeleta watatu tuu kungekua na shida gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ni janga la demokrasia hapa nchiniDemokrasi ya kupigia kura za hapana kwa wagombea wa Chadema tu! Kweli hii ni demokrasi! Wakati wagombea wengine hakuna hata mmoja aliyeambulia kura za hapana!
CCM wengi ni wazee cha ajabu wazee wa CCM wana mambo ya kukomoana kihuni kuliko vijana, wenzetu wazungu wakiwa wazee huwa na hekima sana lakini Africa wazee wengi huwa wachawi na kuwa na roho mbaya.Bado hujaelewa hiki pambano mkuu,ccm walivyo na chuki hata ukiweka jiwe ligombee na masha ccm wange pigia hilo jiwe kwa ajili ya chuki.hivyo chadema waliliona hilo mapema ndo mana wakabana
Mkuu fuatilia nilikuwa najibu nini kabla ya kuchangia. Ninachosema kama tafsiri ya kanuni imepishana CDM wanahaki ya kwenda mahakani kuomba tafsiri. Mahakama ikisha amua kitafuata utekelezaji. Sasa hayo mengine mkuu umeyatoa wapi? Matokeo yanaweza yakakubaliana na CDM au yakakataa huo msimamo.Umekuwa mtabiri wa matokeo mahakamani? au napo mtapeleka kuhonga pesa za viwanda kama mnavyotumia pesa za Safari za nje na zile za kubana matumizi kuwahonga watu wamlinde Daud Bashite, Ni vigumu maendeleo kuja endapo CCM wataendelea na style hii mbovu.
Hio ya CUF walijua kukubali makundi yote watampigia CUF LIPUMBA. Hili nalo laweza kwenda mahakani kwa uamuzi. Ni uhuni wa bunge.Ni kweli inawezekana Chadema walipaswa kuwa na wagombea zaidi ya wawili lakini Sheria hakusema hivyo na wala kanuni hasemi hivyo kwamba majina mangapi yapelekwe! Kinachosemwa ni utamaduni kwamba wangekuwa zaidi ya wawili! Kuhusu hapana siyo kwamba hawafai au hawana uwezo si hivyo pia sema siasa za kwetu hapa Tanzania hatujui mambo ya nchi na mambo ya vyama! Bunge la Africa mashariki zaidi ya ulaji lakini pia unajenga na kuonesha image ya nchi. Kenya wana strong opposition parties na Kwao za muhimu ni nchi siyo vyama. Sisi bado tunawaza vyama! Uchaguzi ukiisha tunapaswa kupata team ya kutetea maslahi ya Tanzania. Kwa nchi yetu tatizo kubwa siyo raisi ni bunge ambalo limegawanyika vipande vya wao na sisi, wabunge wa ccm wanaona hawahitaji Chadema kwa namna yeyote ile.
Ebu waza kabisa bunge ambalo lina tings Sheria linasema limepokea majina ya CUF A na B hivi vyama vimesajiliwa lini? Ni lini vilitambuliwa kama vyama viwili vya siasa? Sheria inasema lazima form zisainiwe na katibu mkuu wa Chama sasa CUF ina makatibu wakuu wawili? Kisheria uchaguzi ulikuwa batili kwa hoja ya CUF mahali penye Sheria unaweza kufutwa wote kwamba Sheria hazikufuatwa! Bado tuna safari ndefu Maana CCM wanapenda vyama hivi viweze kutawaliwa kama wanavyowaza wao. Wale wabunge hawaendi kuwa wapinzani wa CCM, tungewakata kwa ubovu wake ingekuwa sawa!
Wafungue kesi mahakama ya Afrika Mashariki ili haki itendeke. Kwenye mahakama zetu nina mashaka.Baada ya Wagombea waliopendekezwa na CHADEMA Wenje Na Masha kupigiwa kura nyingi sana za HAPANA kuwania kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki
Mbowe ameibuka na kuongea na wanahabari na kusema kuwa wanapinga matokeo hayo, na wanajiandaa kufungua kesi mahakamani kupinga matokeo hayo!
CCM waanze hiyo katiba kwani CCM ni zidumu fikra za Mwenyekiti wa chama hata akiamua kujaza wasukuma watupu Lumumba hakuna wa kuthubutu kumuuliza.
CCM ni sunu ya maendeleo nchini pesa za viwanda zote, pesa za Safari za nje zote, pesa za kubana matumizi zote zimeliwa na Lipumba na Bashite kwa visingizio vya kuwalinda kuwatetea na huyo Profeselii mjinga mjinga anadai anazitumia kuua CUF, kwa kweli Tanzania itabakia kuwa Nchi ya vioja maendeleo tutayasikia kwenye bomba.Hio ya CUF walijua kukubali makundi yote watampigia CUF LIPUMBA. Hili nalo laweza kwenda mahakani kwa uamuzi. Ni uhuni wa bunge.
Sifa za kuwa mbunge wa EALA ni zipi mkuu?Waliokuwa kwenye uchaguzi wanajua. wewe huhusiki chochote, achana na ushabiki wa kinyumbu utaumiza roho yako bure... Pilipili ya shamba wewe inakuwashia nini?
Basi nikwambie tu, Huyo Masha hata halalamiki hadi sasa, anajua hiyo ni democrasia/
Ok, nikwambie tu mtu kuwa mbunge wa bunge la JMT na pia kupewa uwaziri sio sifa ya kuwa mbunge wa bunge la africa mashariki. Tumia akili sio kuharisha tu
Sifa gani ambazo hawana?
Utaratibu unabidi ubadilishwe, wabunge wa east Africa wawe wanapitishwa na vyama vyao tu bungeni waingie kwa ajili ya kuelezea matarajio yao na ahadi watakazoifanyia nchi katika bunge hilo. Na si vinginevyo.
Kwani CCM hamuoni upumbavu wenu kabla ya kuhoji wa wengine? Hiyo Tabia ya kuwakomoa watu mtaacha lini? nyie ni watu wazina acheni mambo ya kihuni tuijenge Nchi kwani maendeleo yamedumaa kisa CCM wanatumia pesa za viwanda kudhoofisha upinzani.Huu nao ni aina mojawapo ya upumbavu.
Kwamba kila ukihoji ujinga wa CHADEMA utetezi unakuwa CCM hivi CCM vile.
Kwa nini msiungane basi kama mna-share kila kitu?
Anapinga hapana ataweza? Kama kweli kasema hivyo nitamshangaa sana. Itabidi akapimwe akili MilembeBaada ya Wagombea waliopendekezwa na CHADEMA Wenje Na Masha kupigiwa kura nyingi sana za HAPANA kuwania kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki
Mbowe ameibuka na kuongea na wanahabari na kusema kuwa wanapinga matokeo hayo, na wanajiandaa kufungua kesi mahakamani kupinga matokeo hayo!
Aibu kubwa hii, Mtanzania halisi tena Mswahili unasema KURA na KULA ni sawa!!!!! sitaki kuamini umeandika ukimaanisha ulichoandika.Yote sawa hujaelewa nn kama ni mwlm fungua darasa tuje tusome ndg
Demokrasi ya kupigia kura za hapana kwa wagombea wa Chadema tu! Kweli hii ni demokrasi! Wakati wagombea wengine hakuna hata mmoja aliyeambulia kura za hapana!