Mbowe hakupaswa kusema vile, kisiasa aliteleza

Wazungu wanasemaga "over my dead body" kuonyesha msisitizo. Tafsiri isiyo rasmi ikiimaanisha "itabidi mniue kwanza ili mfanikishe lengo lenu". Labda moyoni Mh. Mbowe alitaka kusema hawawezi kuiua Chadema yeye akiaangalia tu kama Mwenyekiti labda mpaka awe amesharest in peace.
 
Acheni kuweka fikra zenu kwenye vichwa vya watu.

Rudia kusikiliza hiyo hotuba kama mara kumi ndio utaelewa Mbowe alikuwa anamaanisha nini

Sentensi moja umeigeuza ndio ujumbe mzima wa alichohutubia kha!

Alisisitiza hawezi kukubali chama kufa atafanya kila awezalo kukilinda chama. Kwamba, bora asishuhudie chama kikifa labda itokee baada ya yeye kuuacha ulimwengu huu.
So far Mbowe ni miongoni mwa wana upinzani wenye uthubutu

Mbowe ni sauti ya wengi wenye kutafuta mabadiliko ana mapungufu yake kama mwanadamu lakini anasimamia anachoamini Petro E. Mselewa
 
CCM pambaneni na hali zenu
30c70972afa1137b29ee89cf4c754ead.jpg
 
Michango yote ya proccm ni frustration za kumshindwa Mbowe. Mnastahiri pongezi kwa kutoka hadhani na frustration zenu.
 
Nimebahatika kusikiliza kipande cha hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe aliyoitoa huko Mtwara. Ni katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata ya Reli mkoani humo. Mwenyekiti huyo wa CHADEMA alizungumza mambo mengi yakiwemo ya kivyama, kimaisha na kadhalika. Niseme wazi kuwa Mbowe alitoa hotuba nzuri na ya kuvutia.

Naipongeza hotuba ya Mbowe kwakuwa ilitumia lugha ya tahadhari na staha. Pia, Mbowe alikuwa akizungumza kwa hoja na kwa kutaka kutoa somo kwa wapigakura-hatua kwa hatua. Binafsi, naiona sehemu kubwa ya hotuba ya Mbowe kama bora, yenye ukomavu wa kisiasa, umahiri na ujuzi wa mambo mengi yakiwemo ya kimaisha kwa watanzania.

Lakini, kuna kitu kimoja Mhe. Mbowe hakupaswa kukisema kadiri alivyokisema. Alikuwa akijenga hoja kuwa katika vyama vya siasa vya upinzani kuna juhudi za kuvidhoofisha au hata kuvisambaratisha. Akawa anatolea mfano mtifuano unaoendelea ndani ya Chama cha Wananchi almaarufu kama CUF.

Mhe. Mbowe akasema, pamoja na mambo mengine, kuwa CHADEMA 'itauwawa' siku akifa yeye na si akiwepo. Hapo ndipo penye tatizo. Pamoja na kuwa yeye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na kiongozi wa juu kabisa wa chama chake, anapaswa kujua kuwa chama si mtu, chama ni mfumo. Kauli yake hiyo inaonyesha wazi kuwa yeye ndiye CHADEMA na CHADEMA ndiye yeye.

Hilo si jambo jema. Akiwa ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini anapaswa kujenga chama kimfumo zaidi kuliko watu. Asikijenge chama chake katika kuwategemea watu ambao 'wakifa' na chama kinakufa. Ingawa mimi si mwanasiasa, naamini kuwa chama si watu pekee. Ni itikadi. Hata chama chenye wanachama wachache chaweza kushinda uchaguzi kwa itikadi.

Najua, Mhe. Mbowe alikuwa kwenye jukwaa la kisiasa. Kwa kusema vile, hakika, aliteleza. Hakupaswa kusema vile. Kauli ya kuonyesha kuwa 'akifa' yeye ndipo chama chake kitaanza kudhoofishwa au kuuwawa si kauli njema kisiasa. Kwa ukomavu, umahiri na ubobezi wake katika ulingo wa kisiasa, naamini atakuwa makini zaidi!
kiuhalisia Mbowe alimaanisha kuwa hawezi kukubali kuiona Chadema inakufa wakati yu hai.
sema tu mambo ya siasa kila mtu na tafsiri yake.....kitu hiko hiko kimoja, huku wengine wanapulizia perfume na wale kule wanajambia ushuzi!!
 
Nimebahatika kusikiliza kipande cha hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe aliyoitoa huko Mtwara. Ni katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata ya Reli mkoani humo. Mwenyekiti huyo wa CHADEMA alizungumza mambo mengi yakiwemo ya kivyama, kimaisha na kadhalika. Niseme wazi kuwa Mbowe alitoa hotuba nzuri na ya kuvutia.

Naipongeza hotuba ya Mbowe kwakuwa ilitumia lugha ya tahadhari na staha. Pia, Mbowe alikuwa akizungumza kwa hoja na kwa kutaka kutoa somo kwa wapigakura-hatua kwa hatua. Binafsi, naiona sehemu kubwa ya hotuba ya Mbowe kama bora, yenye ukomavu wa kisiasa, umahiri na ujuzi wa mambo mengi yakiwemo ya kimaisha kwa watanzania.

Lakini, kuna kitu kimoja Mhe. Mbowe hakupaswa kukisema kadiri alivyokisema. Alikuwa akijenga hoja kuwa katika vyama vya siasa vya upinzani kuna juhudi za kuvidhoofisha au hata kuvisambaratisha. Akawa anatolea mfano mtifuano unaoendelea ndani ya Chama cha Wananchi almaarufu kama CUF.

Mhe. Mbowe akasema, pamoja na mambo mengine, kuwa CHADEMA 'itauwawa' siku akifa yeye na si akiwepo. Hapo ndipo penye tatizo. Pamoja na kuwa yeye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na kiongozi wa juu kabisa wa chama chake, anapaswa kujua kuwa chama si mtu, chama ni mfumo. Kauli yake hiyo inaonyesha wazi kuwa yeye ndiye CHADEMA na CHADEMA ndiye yeye.

Hilo si jambo jema. Akiwa ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini anapaswa kujenga chama kimfumo zaidi kuliko watu. Asikijenge chama chake katika kuwategemea watu ambao 'wakifa' na chama kinakufa. Ingawa mimi si mwanasiasa, naamini kuwa chama si watu pekee. Ni itikadi. Hata chama chenye wanachama wachache chaweza kushinda uchaguzi kwa itikadi.

Najua, Mhe. Mbowe alikuwa kwenye jukwaa la kisiasa. Kwa kusema vile, hakika, aliteleza. Hakupaswa kusema vile. Kauli ya kuonyesha kuwa 'akifa' yeye ndipo chama chake kitaanza kudhoofishwa au kuuwawa si kauli njema kisiasa. Kwa ukomavu, umahiri na ubobezi wake katika ulingo wa kisiasa, naamini atakuwa makini zaidi!


Hii shahuku ya kutaka kila mara kuanzisha thread uonekane unajua kujenga hoja,itawafanya siku moja muwe wanafaki au wachawi.
 
WEWE NAwe tangu umekuwa popoma unahorojoa kweli kweli
Kauli ya Mbiowe haina shida yoyote hapo..inaonesha ni jinsi gani yuko tayari kukifia chama....anamaanisha Thamani ya chama ni zaidi ya uhai wake...thats it
Tatizo sio kauli ya mbowe ,..tatizo ni akili yako MB 8 iliyoshindwa kuelewa
Kama Petro amesoma hapa, basi, hana haja ya kuzitafsiri kauli za Mbowe kwa kadiri ya mapenzi yake. Atakuwa mpotoshaji tu.
 
Nimebahatika kusikiliza kipande cha hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe aliyoitoa huko Mtwara. Ni katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata ya Reli mkoani humo. Mwenyekiti huyo wa CHADEMA alizungumza mambo mengi yakiwemo ya kivyama, kimaisha na kadhalika. Niseme wazi kuwa Mbowe alitoa hotuba nzuri na ya kuvutia.

Naipongeza hotuba ya Mbowe kwakuwa ilitumia lugha ya tahadhari na staha. Pia, Mbowe alikuwa akizungumza kwa hoja na kwa kutaka kutoa somo kwa wapigakura-hatua kwa hatua. Binafsi, naiona sehemu kubwa ya hotuba ya Mbowe kama bora, yenye ukomavu wa kisiasa, umahiri na ujuzi wa mambo mengi yakiwemo ya kimaisha kwa watanzania.

Lakini, kuna kitu kimoja Mhe. Mbowe hakupaswa kukisema kadiri alivyokisema. Alikuwa akijenga hoja kuwa katika vyama vya siasa vya upinzani kuna juhudi za kuvidhoofisha au hata kuvisambaratisha. Akawa anatolea mfano mtifuano unaoendelea ndani ya Chama cha Wananchi almaarufu kama CUF.

Mhe. Mbowe akasema, pamoja na mambo mengine, kuwa CHADEMA 'itauwawa' siku akifa yeye na si akiwepo. Hapo ndipo penye tatizo. Pamoja na kuwa yeye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na kiongozi wa juu kabisa wa chama chake, anapaswa kujua kuwa chama si mtu, chama ni mfumo. Kauli yake hiyo inaonyesha wazi kuwa yeye ndiye CHADEMA na CHADEMA ndiye yeye.

Hilo si jambo jema. Akiwa ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini anapaswa kujenga chama kimfumo zaidi kuliko watu. Asikijenge chama chake katika kuwategemea watu ambao 'wakifa' na chama kinakufa. Ingawa mimi si mwanasiasa, naamini kuwa chama si watu pekee. Ni itikadi. Hata chama chenye wanachama wachache chaweza kushinda uchaguzi kwa itikadi.

Najua, Mhe. Mbowe alikuwa kwenye jukwaa la kisiasa. Kwa kusema vile, hakika, aliteleza. Hakupaswa kusema vile. Kauli ya kuonyesha kuwa 'akifa' yeye ndipo chama chake kitaanza kudhoofishwa au kuuwawa si kauli njema kisiasa. Kwa ukomavu, umahiri na ubobezi wake katika ulingo wa kisiasa, naamini atakuwa makini zaidi!
sasa ataachaje kife wakati ndo kinampa ruzuku nzuri leo hii kama unabiashara yako nzuri inakulipa utakubali kweli ife common sensi tu
 
WEWE NAwe tangu umekuwa popoma unahorojoa kweli kweli
Kauli ya Mbiowe haina shida yoyote hapo..inaonesha ni jinsi gani yuko tayari kukifia chama....anamaanisha Thamani ya chama ni zaidi ya uhai wake...thats it
Tatizo sio kauli ya mbowe ,..tatizo ni akili yako MB 8 iliyoshindwa kuelewa
Ndo maana mimi nasemaga huyu jamaa hajielewagi, mbona kauli tata za mwenyekiti wa CCM hazichambuagi.
 
kwa chadema ni sawa mkuu,kifupi Mbowe karithi chama,nafasi na madeni yote ya chama,so ngumu kwa cdm kupata mtu atakaye beba dhamana hizo,( mtazamo wangu)
Mbowe amefanya kazi kubwa sana kukifikisha chama kilipo. Pamoja na kipindi kigumu ambacho cha kinapitia bado kimeendelea kuwa imara.
Mbowe ni kiongozi imara. Mungu ampiganie.
Kuna watu ambao tuliwaamini kama zito na slaa. Lakini walikoishia kila mtu anajua.
Kati ya watu waliotoa mchango kwa Taifa mbowe ni miongoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom