Mbowe hafai kuwa KUB

Mbowe hafai kuwa KUB

Kama alivyobadili gia ya angani wakati wa Sakata la Escrow Account hadi Mawaziri etc wakapigwa chini
 
Kuna watu wanajua kusema ... michango itaitishwa tena tuone km wewe kujiondoa kwako kutakuwa na upungufu wa mabilioni ya michango..!
 
Mbowe amesababisha CCM kuangushwa kwenye sanduku la kura ... CCM hawana Uhalali wa kutawala kwani wamebaka demokrasia ... Dunia inajua na wananchi wanajua kuwa CCM imechakachua ...
 
Sasa hivi tunashughulikia uraia wa kiongozi mkuu zzk

Yule mwanamkakati wa Lowasa kesharudishwa kwao Kenya.......meanwhile zitto has already been sworn in as Kigoma urban MP.
 
Mbowe amesababisha CCM kuangushwa kwenye sanduku la kura ... CCM hawana Uhalali wa kutawala kwani wamebaka demokrasia ... Dunia inajua na wananchi wanajua kuwa CCM imechakachua ...

Kweli kabisa na kwa mwana ccm yoyote lazima atamchukiana kumuogopa mbowe
 
Yule mwanamkakati wa Lowasa kesharudishwa kwao Kenya.......meanwhile zitto has already been sworn in as Kigoma urban MP.

Tunazungumzia uraia au kiswahili kinagonga? Walamutse😆
 
Back
Top Bottom