Leo wana CCM na katawi kao ka ACT wanataka watuchagulie KUB,wamezijua siasa uchaguzi wa 2015,hawajui taratibu na kanuni kuwa KUB anatoka chama kilicho na wabunge wengi wa upinzani,Mbatia atakueje KUB wakati wana mbunge mmoja,CUF wanao wachache kuliko CHADEMA,mmesahau kuwa hakuna chama cha siasa kinaitwa UKAWA,you people mmechoka sana hadi mnashindwa kuwaza,ni aibu kwangu kuchangia mada iliyoletwa na mpuuzi anaeiwazia CHADEMA,tulieni mchomwe sindano ziwaingie vizuri,CDM ni mpango wa mungu kama mmeshindwa kuiua kipindi kile chama hakina ruzuku ya kujiendesha msiote kuiua CDM ya sasa yenye ruzuku ya zaidi ya mil 800 kwa mwezi....