Mbowe hafai kuwa KUB

Mbowe hafai kuwa KUB

Una mengine au ni hayo tu? nakushauri kameze dawa zako ulizopewa pale kitengo maalumu Muhimbili au Mirembe kasha kalale!
 
Nimegundu siasa mchezo mchafu,wakat we ukiangaika na kupiga kelele,watu wanapiga michongo ya pesa!

Achana na siasa mkuu,fanya mambo yako upige pesa na ww sio kulilia hapa
 
Inashangaza wanaccm wanavyolazimisha kutupangia kiongozi wa upinzani bungeni.
Utaratibu unasema kambi rasmi ya upinzani utaundwa na chama pinzani chenye wabunge wengi ambao mpaka sasa na chadema.
Sisi chadema tumeamua KUB awe ni Mh. Mbowe na maamuzi yetu yaheshimiwe.
 
Chadema nayo ni ileile tu kama ilivyo ccm,kila mmoja anayafanya yake kutokana na nafasi aliyopo ila ndiyo walewale tu.
 
Nafikiri huyu sio bure ila apuuzwe sio akili ya mtu mkamilifu, ni viroba, au akili ndogo au uendawazumu.
 
Chadema nayo ni ileile tu kama ilivyo ccm,kila mmoja anayafanya yake kutokana na nafasi aliyopo ila ndiyo walewale tu.

Kwa akili yako ndivyo uonavyo, jiulize CCM walikuwa na viti vingapi uchaguzi uliopita na leo wana vingapi na UKAWA vipi! Ni jambo la kutumia akili yako kwa 5% tu, ila sidhani kama unazo sawasawa.
 
Dj Mbowe ni tapeli la kisiasa, kwake yeye muhimu ni pesa, sio maendeleo ya watanzania; wapumbavu mmechangishwa pesa nyingi, then kaenda ku invest japan kwenye kampuni yake, na mipumbavu na milofa ya chadema imekaa kimya, inashangilia gia za angani.
Ukimshangilia dj mbowe na ushenzi wake lazima utakuwa na matatizo ya akili makubwa.
The conman Mbowe has lost legitimacy to speak about Tanzanians' development
 
Mtoa mada inawezekana ana hoja ya msingi.
Tusikurupuke kumpiga mawe kwa sababu za kishabiki.
Wacha tuchambue hoja yake kipengele kwa kipengele.
Nadhani ye ametoa vipengele ambavyo machoni mwake vimemuongoza kuleta mada hii. Am sure wako wengi sana wanaweza kuwa na hoja aidha zinazo support ama zinazopinga.
Wacha mjadala uendelee kiustaarabu.
Siasa wekeni kando mkitaka kuangalia mambo kwa macho yenye uang'avu toshelevu.
 
Hafai hata kidogo na haya si majungu..... Mbowe ni mfanya biashara ya kisiasa. Nadhani kama ni faida ya pesa tena isiyo kuwa na kodi ameikusanya vya kutosha. Wasiposhtuka ataendelea kupiga deal tu za kisiasa kwa kuwa hakuna TRA au TAKUKURU wa kumhoji
 
Nanaona magamba yanatoa mada na kuchangia yenyewe. Jitahidini vijana mbeleni mnaweza kuteuliwa hata ukuu wa wilaya.
 
Dj Mbowe ni tapeli la kisiasa, kwake yeye muhimu ni pesa, sio maendeleo ya watanzania; wapumbavu mmechangishwa pesa nyingi, then kaenda ku invest japan kwenye kampuni yake, na mipumbavu na milofa ya chadema imekaa kimya, inashangilia gia za angani.
Ukimshangilia dj mbowe na ushenzi wake lazima utakuwa na matatizo ya akili makubwa.
The conman Mbowe has lost legitimacy to speak about Tanzanians' development

Punguza jabza umepanic.
Kama Mbowe ni tapeli inamaanisha sio threat kwa nyie fisiemu, sasa mbona mnatulazimisha tumuweke pembeni kama haisumbui fisiemu?
 
Kwa akili yako ndivyo uonavyo, jiulize CCM walikuwa na viti vingapi uchaguzi uliopita na leo wana vingapi na UKAWA vipi! Ni jambo la kutumia akili yako kwa 5% tu, ila sidhani kama unazo sawasawa.

Itakuwa haujaelewa nachozungumzia,mie sifikiri kichama sio kila mtu humu ni mtumwa wa chama.
 
Mbowe hayupo kisiasa yupo kibishara zaid siku hizi siasa ni biashara kwa matajiri huoni jinsi wanavopapatikia ubunge na kuacha biashara zao kisingizio eti kusaidia wanyonge hivo mboe yupo kibiashara
 
Rais Mpya, spika mpya, waziri mkuu mpya, halafu KUB wa zamani wala haziendani kabisa.
 
Sasa hao wapinzani?tunaitaji mabadiliko!Tunaitaji KUB aliyemsafi na atakaeweza kuwakilisha vyema bungeni

Basi mweke Chenge au hata huyo Spika mkiamua awe KUB ni sawa pia... Nchi si ni yenu hii
 
Inashangaza wanaccm wanavyolazimisha kutupangia kiongozi wa upinzani bungeni.
Utaratibu unasema kambi rasmi ya upinzani utaundwa na chama pinzani chenye wabunge wengi ambao mpaka sasa na chadema.
Sisi chadema tumeamua KUB awe ni Mh. Mbowe na maamuzi yetu yaheshimiwe.

Unajua wao wanadhani Upinzani wote ni kama ACT au UDP, kwamba viongozi wake ni wale ambao kabla hajatoa tamko lolote linapelekwa ccm na kuuliza jee hili halitawaharibia au kuwaudhi?
 
Malofa tumeachwa angani,yeye na Mtei wanafuraia mapato

Ficha unafiki na upumbavu wako. Tangu lini wwe umekuwa mwana ukawa? Mbowe ndiye aliyewaambia tuma wamtangaze magufuli ambaye kura hakutosha?

Mbowe ndiey alitoa amri kwa tume watangaze wabunge wote wa ccm ila pale ambapo wananchi wakikomaa sana ndipo UKAWA watangazwe?

Pumbavu kweli kweli.

Sijui kwa nini mnadhani mko smart sana kwamba Watanzania hawazijui kampeni zenu za kipumbavu dhidi ya UKaWA?

Pumbavu sana wewe.
 
Back
Top Bottom