playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,661
- 1,581
Husimponze akapigwa yeye
Mwache aende babu maana anaona simpo kama kumsukuma mlevi
Husimponze akapigwa yeye
Acheni watu waendeshe vyama vyao. Kama unataka asiwe Mbowe, kagombee umshinde. Bure kabisa
Mbowe ni mjasiliamali wa kisiasa,kwake ni pesa kwanza CHADEMA baadaye.Wengi wanaimtetea Mbowe humu ni kwasababu wametawaliwa na hisia za kishabiki,wangekuwa tayari kuelewa yanayoendelea hapa nchini wangeandamana mara moja kutaka Mbowe asigombe nafasi ya KUB.Nawakumbusha kuhusu sakata la ESCROW, hivi nini kilimshawishi Mbowe kumwamini Zitto hata kuiunga mkono ripoti yake ya kupikwa ya ESCROW? Sote tunajua kwamba ile ripoti ya kamati ya akina Zitto ilipikwa kuwalinda vigogo flani ndani ya serikali,katika taasisi za dini,wanasiasa na familia za viongozi.Ina maana Mbowe na umakini wake wote hakuyajua haya au alipiga fedha za ESCROW? Mbaya zaidi Mbowe huyu huyu na huyu anayemwita hasimu wake wa kisiasa Zitto wakaungana tena kuja na maazimio yao uchwara dhidi ya serikali kumbe walikuwa wanatuzuga tu,mbona hatusikii tena kuhusu yale maazimio yao dhidi ya serikali?yalitekelezwa?Wana CHADEMA shtukeni,hapo hakuna Mwenyekiti wa CHADEMA ila kuna mpiga dili tu.
MBOWE HAFAI KUWA KUB!
Mhe Mbowe hafai tena kuendelea kuwa Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni(KUB), kiongozi huyu amekosa sifa hizo baada ya kuonekana kuwa na tamaa hasa ya hela badala ya kuwatumikia wananchi
1: Mbowe aliamua dhahiri kutoa nafasi ya Dr slaa kwa Lowassa kwa kinachodaiwa kula alikula mshiko.
2: Alichangisha michango wananchi, bila kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hela zile hadi sasa.
Kwa mtazamo huu, huyu si kiongozi na hafai kuwa KUB.
UKAWA tushtuke jamani
hata nami km mwana chadema siungi mkono mhe. Mbowe kuwa kub ningemshauri yeye abaki km mwenyekiti wa chama alaf hii nafasi awaachie wengine.na kwa kuwa wana umoja wa ukawa mhe. Mbatia,mnyika,lissu au wabunge wa cuf.
dj mbowe ni tapeli la kisiasa, kwake yeye muhimu ni pesa, sio maendeleo ya watanzania; wapumbavu mmechangishwa pesa nyingi, then kaenda ku invest japan kwenye kampuni yake, na mipumbavu na milofa ya chadema imekaa kimya, inashangilia gia za angani.
Ukimshangilia dj mbowe na ushenzi wake lazima utakuwa na matatizo ya akili makubwa.
The conman mbowe has lost legitimacy to speak about tanzanians' development
Mh. MBOWE ATOSHA hatuhitaji KUB mwingine.
Ana uwezo mkubwa na utendaji uliotuka katika kusimamia wabunge wote wa Upinzani. Tunampenda tunamuhitaji atuongozi kamanda wetu Mkuu Mh. FREEMAN MBOWE
Tamaa yako ni tofauti na uhalisia. Kama mpenda Disco nenda kumbi zingine ...Nae huyu cjui ilikuwaje akapata ubunge,nilitaman nae aende akapige disco pale Bills
Ar u dreaming? Mwanamkakati wenu wa Lowasa si Mtanzania....amerudishwa Kenya.
Vipi uraia wa kiongozi mkuu umeshapatiwa ufumbuzi😆
Umevurugwa ndugu. Sababu ulizohorodhesha haziendan na shughuri za kiongozi wa kambi rasmi bungeni. Hii inadhihilisha unakurupuka tuuuu. Hakika mbowe ni mti wenyematunda, lazima upigwe mawe
U must be not ok upstairs.......he is officially registered and sworn in Kigoma urban MP. MP is for Tanzanians only...... Dude jiongezee
Narudia kuuliza je issue ya uraia wa kiongozi mkuu imeisha?
mbowe hafai ni mfanya biashara anaangalia maslahi yake kwanza.... nina hakika mzee lowassa anajuta kumfahamu mbowe akiangalia salio lake benki ..
Otherwise he would not have been sworn in
Otherwise he would not have been sworn in