Mbowe hafai kuwa KUB

Mbowe hafai kuwa KUB

Mbowe ni mjasiliamali wa kisiasa,kwake ni pesa kwanza CHADEMA baadaye.Wengi wanaimtetea Mbowe humu ni kwasababu wametawaliwa na hisia za kishabiki,wangekuwa tayari kuelewa yanayoendelea hapa nchini wangeandamana mara moja kutaka Mbowe asigombe nafasi ya KUB.Nawakumbusha kuhusu sakata la ESCROW, hivi nini kilimshawishi Mbowe kumwamini Zitto hata kuiunga mkono ripoti yake ya kupikwa ya ESCROW? Sote tunajua kwamba ile ripoti ya kamati ya akina Zitto ilipikwa kuwalinda vigogo flani ndani ya serikali,katika taasisi za dini,wanasiasa na familia za viongozi.Ina maana Mbowe na umakini wake wote hakuyajua haya au alipiga fedha za ESCROW? Mbaya zaidi Mbowe huyu huyu na huyu anayemwita hasimu wake wa kisiasa Zitto wakaungana tena kuja na maazimio yao uchwara dhidi ya serikali kumbe walikuwa wanatuzuga tu,mbona hatusikii tena kuhusu yale maazimio yao dhidi ya serikali?yalitekelezwa?Wana CHADEMA shtukeni,hapo hakuna Mwenyekiti wa CHADEMA ila kuna mpiga dili tu.


Mpiga dili yupo MSOGA.. Hamumtaki coZ anawafanya msilale kwa mipango ya hatar formation isiyoeleweka hadi beki anafunga.. Forward anakaba balaa..viungo wanadaka hamjui mumkabe Nani mumuache Nani shenZ
 
Umevurugwa ndugu. Sababu ulizohorodhesha haziendan na shughuri za kiongozi wa kambi rasmi bungeni. Hii inadhihilisha unakurupuka tuuuu. Hakika mbowe ni mti wenyematunda, lazima upigwe mawe
 
mbowe hafai ni mfanya biashara anaangalia maslahi yake kwanza.... nina hakika mzee lowassa anajuta kumfahamu mbowe akiangalia salio lake benki ..
 
MBOWE HAFAI KUWA KUB!

Mhe Mbowe hafai tena kuendelea kuwa Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni(KUB), kiongozi huyu amekosa sifa hizo baada ya kuonekana kuwa na tamaa hasa ya hela badala ya kuwatumikia wananchi

1: Mbowe aliamua dhahiri kutoa nafasi ya Dr slaa kwa Lowassa kwa kinachodaiwa kula alikula mshiko.

2: Alichangisha michango wananchi, bila kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hela zile hadi sasa.

Kwa mtazamo huu, huyu si kiongozi na hafai kuwa KUB.

UKAWA tushtuke jamani

Kwani wewe ni Ukawa? Pilipili usizozila zinakuwashia nini. Naona mnamwogopa sana. Na bado.
 
Ha ha CCM mnamuogopa Mbowe kama ukoma. Mbowe anazidi kupunguza RUZUKU pale Lumumba saa hizi vijana wa Lumumba wako hoi 40% imekatwa kwenda UKAWA. Mbowe uyo uyo kaweza kuisimamisha UKAWA mpaka leo. Mbowe uyo uyo Maalim Seif hawezi kumsahau kwa kumuwezesha kupata usindi wa Kimbunga kule zanzibar especially Majimbo ya Unguja kwa kumpokea Lowasa.
Mtasanda sfari hii moto wake Bungeni hautatosha ni moto wa Gesi subiri uone.
 
Mh. MBOWE ATOSHA hatuhitaji KUB mwingine.
Ana uwezo mkubwa na utendaji uliotuka katika kusimamia wabunge wote wa Upinzani. Tunampenda tunamuhitaji atuongozi kamanda wetu Mkuu Mh. FREEMAN MBOWE
 
hata nami km mwana chadema siungi mkono mhe. Mbowe kuwa kub ningemshauri yeye abaki km mwenyekiti wa chama alaf hii nafasi awaachie wengine.na kwa kuwa wana umoja wa ukawa mhe. Mbatia,mnyika,lissu au wabunge wa cuf.

kama wewe ni mwana cdm basi huelewi maana ya siasa au hujui kupambanua masuala
 
dj mbowe ni tapeli la kisiasa, kwake yeye muhimu ni pesa, sio maendeleo ya watanzania; wapumbavu mmechangishwa pesa nyingi, then kaenda ku invest japan kwenye kampuni yake, na mipumbavu na milofa ya chadema imekaa kimya, inashangilia gia za angani.
Ukimshangilia dj mbowe na ushenzi wake lazima utakuwa na matatizo ya akili makubwa.
The conman mbowe has lost legitimacy to speak about tanzanians' development

huo muwasho sio wa kawaida, inakuhusu au inakuuma nini kama wewe sio cdm? Au na wewe ulichangishwa dada?
 
Mh. MBOWE ATOSHA hatuhitaji KUB mwingine.
Ana uwezo mkubwa na utendaji uliotuka katika kusimamia wabunge wote wa Upinzani. Tunampenda tunamuhitaji atuongozi kamanda wetu Mkuu Mh. FREEMAN MBOWE

Mkuu hilo halina ubishi kila mtu anafahamu ndiomaana Fisiemu wanapambana kucreate operation chaos ya kitotoo ambayo inadhihirisha wanamuhofia sana akisimama kama KUB.
 
Vipi uraia wa kiongozi mkuu umeshapatiwa ufumbuzi😆

U must be not ok upstairs.......he is officially registered and sworn in Kigoma urban MP. MP is for Tanzanians only...... Dude jiongezee
 
U must be not ok upstairs.......he is officially registered and sworn in Kigoma urban MP. MP is for Tanzanians only...... Dude jiongezee

Narudia kuuliza je issue ya uraia wa kiongozi mkuu imeisha?
 
mbowe hafai ni mfanya biashara anaangalia maslahi yake kwanza.... nina hakika mzee lowassa anajuta kumfahamu mbowe akiangalia salio lake benki ..

Mfanyabiashara ni mzee wa msoga
 
Back
Top Bottom