Mbowe hafai kuwa KUB

Mbowe hafai kuwa KUB

Wewe ni kilaza mkubwa sana mtumwa wa lumumba, vumilia mkamuliwe maana magamba mkimuona mbowe mnatetemeka
 
Tuna imani na Mbowe, na tulimwona bunge lililopita alivyoitendea haki iyo nafasi ya KUB. Ningefurahi nikimwona tena wakati huu
 
Acheni watu waendeshe vyama vyao. Kama unataka asiwe Mbowe, kagombee umshinde. Bure kabisa

Japo umepata vijilike.....ulichoandika ni pumba tu. Ni lini mbowe anakubali kushindanishwa kwenye nafasi ya uenyekiti? Tumeona waliojaribu kushindana nae wameishia kupewa majina mbali mbali na nyie mashabiki wake. Mbowe will be chairman for life.....hana tofauti na Kagame, Museveni, Mugabe au Kabila.
 
Japo umepata vijilike.....ulichoandika ni pumba tu. Ni lini mbowe anakubali kushindanishwa kwenye nafasi ya uenyekiti? Tumeona waliojaribu kushindana nae wameishia kupewa majina mbali mbali na nyie mashabiki wake. Mbowe will be chairman for life.....hana tofauti na Kagame, Museveni, Mugabe au Kabila.

Najua una machungu sana baada ya zzk kupewa red card
 
Japo umepata vijilike.....ulichoandika ni pumba tu. Ni lini mbowe anakubali kushindanishwa kwenye nafasi ya uenyekiti? Tumeona waliojaribu kushindana nae wameishia kupewa majina mbali mbali na nyie mashabiki wake. Mbowe will be chairman for life.....hana tofauti na Kagame, Museveni, Mugabe au Kabila.

Chuki za kina kalumanzira
 
Naona bado unaweweseka pamoja na kuweka makapi yenu kutoka cdm bado mmeangukia pua😆😆😆😆

Pamoja na kuchukua kapi/makapi toka ccm bado mmeanguka
 
Back
Top Bottom