Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Acheni watu waendeshe vyama vyao. Kama unataka asiwe Mbowe, kagombee umshinde. Bure kabisa
mkuu, tumia elimu vizuri
Acheni watu waendeshe vyama vyao. Kama unataka asiwe Mbowe, kagombee umshinde. Bure kabisa
MBOWE HAFAI KUWA KUB!
Mhe Mbowe hafai tena kuendelea kuwa Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni(KUB), kiongozi huyu amekosa sifa hizo baada ya kuonekana kuwa na tamaa hasa ya hela badala ya kuwatumikia wananchi
1: Mbowe aliamua dhahiri kutoa nafasi ya Dr slaa kwa Lowassa kwa kinachodaiwa kula alikula mshiko.
2: Alichangisha michango wananchi, bila kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hela zile hadi sasa.
Kwa mtazamo huu, huyu si kiongozi na hafai kuwa KUB.
UKAWA tushtuke jamani
Hata kumi sitoi tena
MBOWE HAFAI KUWA KUB!
Mhe Mbowe hafai tena kuendelea kuwa Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni(KUB), kiongozi huyu amekosa sifa hizo baada ya kuonekana kuwa na tamaa hasa ya hela badala ya kuwatumikia wananchi
1: Mbowe aliamua dhahiri kutoa nafasi ya Dr slaa kwa Lowassa kwa kinachodaiwa kula alikula mshiko.
2: Alichangisha michango wananchi, bila kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hela zile hadi sasa.
Kwa mtazamo huu, huyu si kiongozi na hafai kuwa KUB.
UKAWA tushtuke jamani
Ndiyo maana unaitwa jingalao. Walio kutuma kuanzisha nyuzi za CHADEMA AU MBOWE, waambie tupo bize na report ya CAG.Mnamwogopa sana kwa jinsi anavyowachachafya. Ulitaka akupe wewe taarifabza michango? Wewe CCM mambo ya uKUB yanakuhusu nini?
Ripoti ya CAG inaitaja halmashauri ya Mbowe na ya Chadema ndio vinara wa hati chafu...endeleeni kuwa busy!Ndiyo maana unaitwa jingalao. Walio kutuma kuanzisha nyuzi za CHADEMA AU MBOWE, waambie tupo bize na report ya CAG.
Mkurugenzi naye si Ilikuwa wa CHADEMA. Pengine Wewe na mimi siyo mkaguzi wa ndani wa popote achilia mbali halimashauri husika, kuna hila nyingi, kwa hila na rough za kisiasa vipi kama Mkurugenzi alitumika pasipo kujijua kutoa mafungu kushindana unategemea nn hapo!?Ripoti ya CAG inaitaja halmashauri ya Mbowe na ya Chadema ndio vinara wa hati chafu...endeleeni kuwa busy!
Acheni watu waendeshe vyama vyao. Kama unataka asiwe Mbowe, kagombee umshinde. Bure kabisa
Saafi sana...akichoka furaha ya kwetu lumumba.....hatuna haja ya kuwashaur ....Kachoka sana huyo Mbowe
Watumishi sita wamesimamishwa na mbowe pale Hai kabla hata ya CAG kutoa ,ripoti...yakeRipoti ya CAG inaitaja halmashauri ya Mbowe na ya Chadema ndio vinara wa hati chafu...endeleeni kuwa busy!
Acha usanii bwa mdogo ....wale watumishi walisimamishwa kwa kazi nzuri ya Mganga mkuu wa Machame hospital sio Mbowe...sakata lenyewe lilikuwa la ulaji wa fedha za madaktari.Watumishi sita wamesimamishwa na mbowe pale Hai kabla hata ya CAG kutoa ,ripoti...yake