Mbowe, Dr Slaa kulitikisa Jiji la Dar Jumamosi Ijayo

Mkuu unakosea unavyosema siku hiyo JF itakuwa Live, acha kupotosha JF sio mali ya Chadema ni jukwaa huru...sema mie takuwepo usihusishe mkutano wa Chadema na JamiiForums.


Ni wivu au ni nini? Sielewi????
 
Last edited by a moderator:
ha2taki fujo hapa mjin kwe2,kafanyen vurugu zenu uko vijijin kwenu mlikotoka,mmeuvamia mji km wenu,bora mjitenge uko,mkabaguane wenyew wachaga,wawapi!,
2shawachokeni kwenye mji we2,2wacheni na mji we2 2jfarague na 2jitanafas,
mambo yenu ovyooo...
 
ha2taki fujo hapa mjin kwe2,kafanyen vurugu zenu uko vijijin kwenu mlikotoka,mmeuvamia mji km wenu,bora mjitenge uko,mkabaguane wenyew wachaga,wawapi!,
2shawachokeni kwenye mji we2,2wacheni na mji we2 2jfarague na 2jitanafas,
mambo yenu ovyooo...

mkuu toka lini Dar ikawa Zanzibar? hivi si wewe ulikuwa unashabikia Zanzibar kuvunja muungano kwa kutumia kigezo cha dini kwenye mojawapo ya thread humu jamvini?
 
mkuu toka lini Dar ikawa Zanzibar? hivi si wewe ulikuwa unashabikia Zanzibar kuvunja muungano kwa kutumia kigezo cha dini kwenye mojawapo ya thread humu jamvini?

Kinachomsumbua huyo ni ufinyu wa mawazo tu.....
 
Jumamosi ni siku nzuri kwani hata sisi wafanyakazi tutapata nafasi ya kuhudhuria mkutano huo wa vua gamba vaa gwanda
 
ha2taki fujo hapa mjin kwe2,kafanyen vurugu zenu uko vijijin kwenu mlikotoka,mmeuvamia mji km wenu,bora mjitenge uko,mkabaguane wenyew wachaga,wawapi!,
2shawachokeni kwenye mji we2,2wacheni na mji we2 2jfarague na 2jitanafas,
mambo yenu ovyooo...

taratibu kaka/dada dar ina wenyewe inaonekana u
 
Nasubiri kwa hamu kubwa mkutano huo ili nione upepo unavyozidi kuvuma.
 
Naomba Kufahamu kama mtatumia Radio pia kurusha Matangazo hayo kama ilivyokuwa kwa VuaGamba va Gwanda Arusha NMC tuliwapata vizuri sana Kupitia Arusha Mambo Nashauri Pia Na Huo wa Dar Mngetumia Huduma Ile ile ili umma mkubwa zaidi wa Chadema Ufaidike Tafadhali ! I ll tun on expecting that U ll air the meeting through It!.. Itakuwa Saa Ngapi Tafadhali!....
 
Naomba Kufahamu kama mtatumia Radio pia kurusha Matangazo hayo kama ilivyokuwa kwa VuaGamba va Gwanda Arusha NMC tuliwapata vizuri sana Kupitia Arusha Mambo Nashauri Pia Na Huo wa Dar Mngetumia Huduma Ile ile ili umma mkubwa zaidi wa Chadema Ufaidike Tafadhali ! I ll tun on expecting that U ll air the meeting through It!.. Itakuwa Saa Ngapi Tafadhali!....

Nadhani Mnyika yumo humu jamvini.Tafadhali asikilize maoni ya wadau.
 
ikiwezekana mh mnyika turushieni live kwenye TV tupo wengi garama ttunachangia na tutaendelea kuchangia pls tupeni live we real need it
 
unawakaribsha dar we km nan hapa mjini?,umetoka kijijini juz saiv umekua mwenyej mpk umefkia ha2a unawakarbsha ao wehu wenzio,mji we2 ha2taki nenden kwenu uko arusha na mosh

ukisikia kuweweseka ndio huku!? Kwenu kwenu, unakwako wewe umekuwa kobe? Au wewe ni konokono wa baharini. Maana ndio wana kwao! Wewe kwako ni wapi?
 
ikiwezekana mh mnyika turushieni live kwenye TV tupo wengi garama ttunachangia na tutaendelea kuchangia pls tupeni live we real need it

Tv zote ni za magamba! Umesahau Marini Hassan alivyonusurika kipigo baada ya tbccm kukata mawasiliano hapo jangwani?
 
ha2taki fujo hapa mjin kwe2,kafanyen vurugu zenu uko vijijin kwenu mlikotoka,mmeuvamia mji km wenu,bora mjitenge uko,mkabaguane wenyew wachaga,wawapi!,
2shawachokeni kwenye mji we2,2wacheni na mji we2 2jfarague na 2jitanafas,
mambo yenu ovyooo...

taratibu kaka/dada dar ina wenyewe inaonekana u
kCAUwcFykZ62bF6nrWezO6OFnyiBiAhjtvM0N6HWm1U6Kgk5ACVAq1MgfV5o88Zy5mnEAAAAASUVORK5CYII=
By kkitabu kanisa linajaribu kuingia dar. Kwani halipo una kazi ya kufanya nin
kCAUwcFykZ62bF6nrWezO6OFnyiBiAhjtvM0N6HWm1U6Kgk5ACVAq1MgfV5o88Zy5mnEAAAAASUVORK5CYII=
By abu alfauzaan unawakaribsha dar we km nan hapa mjini?,umetoka kijijini juz saiv umekua mwenyej mpk umefkia ha2a unawakarbsha ao wehu wenzio,mji we2 ha2taki nenden kwenu uko arusha na mosh
Maumivu ya kichwa huanza taratibu...
 
ha2taki fujo hapa mjin kwe2,kafanyen vurugu zenu uko vijijin kwenu mlikotoka,mmeuvamia mji km wenu,bora mjitenge uko,mkabaguane wenyew wachaga,wawapi!,
2shawachokeni kwenye mji we2,2wacheni na mji we2 2jfarague na 2jitanafas,
mambo yenu ovyooo...

taratibu kaka/dada dar ina wenyewe inaonekana u
nchi ndio inakombolewa hutaki saga chupa ule
 
Back
Top Bottom