Mbowe, Dr Slaa kulitikisa Jiji la Dar Jumamosi Ijayo

Mkuu wangu nikisema mimi nitakuwa live nitakuwa ninakosea sana kwa sababu mimi si mtandao.Mimi ni Molemo.Ni lazima niipe haki yake JF.Mimi ni lawyer by proffessiona sasa nikuulize hivi Star TV ikitangaza mkutano wa CDM utasema mtangazaji wa Star TV yuko live badala ya kusema Star TV iko live? Je yule mwandishi angeweza kurusha ule mkutano live bila chombo chenyewe cha kurushia matangazo? Narudia tena kuiambia Dunia mtandao wao waupendao wa JF utakuwa Live kutoka viwanja vya Jangwani.

Usibishane na watu waliomo ndani ya box.
 
Mimi nitakuwa uwanjani nikiwa nasikiliza hotuba nzito za waheshimiwa wetu Slaa na Mbowe ambao ndio watafanya siku zijazo niweze kuangalia mpira kwa raha huku nikiwa na hela mfukoni sio sasa hivi sina hata senti nikashabikie wakina drogba muda huu nashabikia mabadiliko kwanza starehe baadae
 
Wadau nimepatA tarifa toka chuo kikuu udsm maproff wametangaza test za kufa me2 siku iyo na wamepiga biti mbaya atakaye kosa anejifukuza chuo mwenyewe
Sasa 2mekosa wadau toka udsm
kwa kutumia prospectus gani kwamba mtu ukikosa test moja utakuwa umejifukuzisha chuo? hao ni maprofessor njaa au ambao wamecopy copy paper za watu wakapewa uprofessor ila kama ni professor kweli kweli hawawezi kufanya upuuzi huo au kutumiwa na wanasiasa!!
 
fursa adimu. tumehitaji sana hii kitu. nadhani kimkakati imechelewa kidogo, but never late than never! kazi ni kwetu wana Dar!
 
Mimi nitakuwa uwanjani nikiwa nasikiliza hotuba nzito za waheshimiwa wetu Slaa na Mbowe ambao ndio watafanya siku zijazo niweze kuangalia mpira kwa raha huku nikiwa na hela mfukoni sio sasa hivi sina hata senti nikashabikie wakina drogba muda huu nashabikia mabadiliko kwanza starehe baadae

Pamoja sana Kamanda.
 
Wadau nimepatA tarifa toka chuo kikuu udsm maproff wametangaza test za kufa me2 siku iyo na wamepiga biti mbaya atakaye kosa anejifukuza chuo mwenyewe
Sasa 2mekosa wadau toka udsm

Through medias watapata feedback na haitakuwa sababu ya kuwazuia kupiga kura so wanajidanganya tu na ni wavivu kufikiria na sidhani kama elim waliyonayo kama imewasaidia chochote cjui tuwaite maprofesaccm!?
 
Through medias watapata feedback na haitakuwa sababu ya kuwazuia kupiga kura so wanajidanganya tu na ni wavivu kufikiria na sidhani kama elim waliyonayo kama imewasaidia chochote cjui tuwaite maprofesaccm!?

Well said mkuu.....
 
Huu ndo wakati wakuizika ccm na magamba yake
Viongozi wakuu wa CDM wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa Jumamosi ijayo tarehe 26/05/2012 watalitikisa jiji kuu la Dar kwa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Jangwani.

Mkutano huo utakuwa ni maalum kuzungumza na kuwaelimisha wananchi kuhusiana na Katiba mpya. Pia viongozi hao wanatarajiwa kulaani uamuzi wa halmashauri kuu ya CCM kutenga mambo kadhaa na kuwaamuru wananchi kutoyajadili kwani yanapaswa kubaki kwenye katiba kama yalivyo.

Mkutano huo pia utahudhuriwa na Naibu katibu mkuu Zitto Kabwe, Mnadhimu mkuu wa upinzani Tundu Lissu, Mwanasheria maarufu Mabere Marando,wabunge wote wa chama hicho na wajumbe wote wa kamati kuu.

Itakumbukwa mara ya mwisho CDM kufanya mkutano mkubwa kama huo Dar ni siku ya uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa chama hicho mwezi Agosti mwaka juzi.

Mkutano huo unatarajiwa kulitikisa jiji la Dar na Taifa kwa ujumla kwani Maelfu ya wana-CCM wanatarajiwa kuvua Gamba na kuvaa Gwanda.

Source: John Mnyika-CDM
 
kwa kutumia prospectus gani kwamba mtu ukikosa test moja utakuwa umejifukuzisha chuo? hao ni maprofessor njaa au ambao wamecopy copy paper za watu wakapewa uprofessor ila kama ni professor kweli kweli hawawezi kufanya upuuzi huo au kutumiwa na wanasiasa!!

huyo naye kakurupuka tu, wengi pale wameshamaliza hizo anazoziita test...hata zikiwepo haziwezi kuwa zote kwa wakati mmoja...asisingizie maprofesa
 
Back
Top Bottom