Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Ni nia nzuri sana kwa maana Mbowe,Slaa,Lisu,Mnyika,Mdee,Lema,Sugu na wengineo wanajitoa sana ktk kujenga Chama, ni jambo la busara na hekima kuona wale wanaopigania haki wanahakikisha haki zinapatikana kwa wote,
Na sio wengine wajenge chama huku wengine wakiwaza kiti cha rais
Na sio wengine wajenge chama huku wengine wakiwaza kiti cha rais