Mbowe azindua mkakati mzito CHADEMA

Mbowe azindua mkakati mzito CHADEMA

Chadema jitahidini kusambaza vifaa kama bendera,kadi na katiba ya chama hasa katika mikoa ya ruvuma,njombe na lindi! CHADEMA ndo tegemeo jipya la watanganyika.
 
Ccm ni chama cha kitaifa wacha kuhangaika mkuu ndio maana hata baba yako hajakiondoka ccm mpaka leo.

Ccm imebakia makumbusho tu hiki ni kizazi cha digital, chama cha kurithishana hatukitaki tena, hebu ona majina ya wamiliki wa ccm, William malecela, Vita kawawa, January Makamba, Makongoro Nyerere, Nape Mnauye, Hussein Mwinyi, Ridhiwan Kikwete, na makamanda wengine wataendelea kuwataja, sisi wananchi wa kawaida hicho si chama chetu, zamani kilipokuwa cha wakulima na wafanyakazi ndo kilikuwa chetu, lakini tangu kiwe cha wafanyabiashara na viongozi basi sisi wananchi tumehamia kwenye chama kinachotusemea bungeni na hata majukwaani, peoplessssssssssssssssssssssssssss. M4C idumu daima.
 
Chadema jitahidini kusambaza vifaa kama bendera,kadi na katiba ya chama hasa katika mikoa ya ruvuma,njombe na lindi! CHADEMA ndo tegemeo jipya la watanganyika.

Hapo mkuu nakuunga mkono asilimia zote, kwa mfano jimbo la Tunduru kusini lina wapenzi wengi sana wa cdm lakina hakuna kadi wala ofisi, tafadhali kamanda Mnyika kama utaona ujumbe huu, tafadhali pangeni mipango mvamie jimbo lile, bwana Mtutura hatakiwi tena kule watu wamemchoka, M4C idumu!!!!
 
Back
Top Bottom